Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
- Thread starter
-
- #21
Jiwe aliasisi utamaduni mbaya sana katika hii nchi. Huu uchawa uliasisiwa na Jiwe.Hawa wapumbavu ndo wanaturudisha nyuma kila kukicha
Nakubaliana nawewe, tusubiri majanga mengine yatakayokuwa yamesababishwa na UZEMBE sio janga mojaMagorofa 67 yaliyopo eneo la Kariakoo Manispsaa ya Ilala yamejengwa kinyume cha sheria na taratibu na kwamba baadhi yake yanaweza kuanguka wakati wowote.
Kampuni iliyopewa zabuni ya kufanya ukaguzi wa majengo,Design Plus Architects(DPA) imesema kati ya majengo ya gorofa 90 yaliyokaguliwa 67 yalijengwa bila kuzingatia sheria na kanuni za ujenzi.
Meya wa Manispaa ya Ilala Jery Slaa amesema baraza la madiwani litakutana kujadili taarifa hiyo.
CHANZO:Mwananchi.
MY TAKE:
Tusubiri janga lingine litokee alafu tume iundwe kuchunguza.
Hii ni moja ya matumizi bora kabisa ya kodi zetu!
Ana kichwa kama papai....Hawa wapumbavu ndo wanaturudisha nyuma kila kukicha
Hili jamaa linastahili kuzomewa.
Pro MaxChawa!!
Mpare wa wapi wewe akili kisoda hivi?Na Mm nitaanzisha mada nikisema kiongozi fulani atakufa, halafu baada ya miaka 10 akifa watu waje waniite nabii kwa kutabiri hicho kifo.
Au
Nitabiri kuwa ipo siku simba itashinda kombe la ligi kuu halafu baada ya misimu miwili ashinde halafu mje mniite nabii
Hizo dua wala hazisaidii, huyo unaemuita Mola alishawapa watu wake akili ndio maana wakagundua kua kuna majengo yanayokaribia kuporomoka.Uzi wa 2013, miaka 11 sasa....Mola aepushe zaidi majanga, awape nafuu majeruhi, awape kauli thabit waliotangulia mbele ya haki kwa kadhia hii ...awape subra ndugu na jamaa walio patwa na changamoto
Mkuu una hangover!?Na Mm nitaanzisha mada nikisema kiongozi fulani atakufa, halafu baada ya miaka 10 akifa watu waje waniite nabii kwa kutabiri hicho kifo.
Au
Nitabiri kuwa ipo siku simba itashinda kombe la ligi kuu halafu baada ya misimu miwili ashinde halafu mje mniite nabii
Msimsingizie mzee wa watu.Jiwe aliasisi utamaduni mbaya sana katika hii nchi. Huu uchawa uliasisiwa na Jiwe.
Vibali vya ujenzi nani anatoaaaaaa,tena unakuta wameweka na vibao kabisa kua mkandarasi ameizinishwa so why now????Maghorofa 64 yaliyopo eneo la Kariakoo, Manispaa ya Ilala yamejengwa kinyume na sheria na kwamba baadhi yanaweza kuporomoka kutokana na ujenzi wake kuwa chini ya kiwango.
Kampuni iliyopewa zabuni ya kufanya ukaguzi wa majengo Manispaa ya Ilala, inayoitwa Design Plus Architects (DPA) imebaini kati ya majengo ya ghorofa 90 yaliyokaguliwa, 67 yamejengwa kinyume na sheria.
Uamuzi wa kuipa kampuni binafsi kazi ya kukagua majengo, ulikuja baada ya jengo la ghorofa 16 kuanguka na kuua watu 36 Machi 26, mwaka huu.
Meneja Uendeshaji wa DPA, Mustafa Maulid alisema jana kwamba ukaguzi wa majengo hayo ulianza Julai mwaka huu baada ya kupata zabuni hiyo.
“Hali ni mbaya katika majengo tuliyoyakagua, kuna majengo ya ghorofa yenye nyufa nyingi, pia yapo majengo yanayogusana ambayo ni hatari kwa watumiaji,” alisema.
Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa alipoulizwa hatua za kuchukua, alisema vikao vya madiwani vitaamua hatua za kuchukua baada ya kuipitia ripoti ya ukaguzi huo.
“Ukipita Kariakoo hata kama siyo mtaalamu wa ujenzi utagundua kwamba majengo mengi yamejengwa bila kufuata sheria za ujenzi, baada ya kuanguka kwa jengo katikati ya jiji, tukaamua kuipa kampuni binafsi kazi ya ukaguzi ili kuona ni majengo gani yapo kinyume na sheria,” alisema Silaa.
Akifafanua zaidi, Maulid alisema makosa waliyoyabaini ni watu kuendesha ujenzi bila kuwa na vibali.
Alisema makosa mengine ni ujenzi bila kufuata michoro iliyoidhinishwa na Manispaa ya Ilala.
“Hii ina maana kwamba watu wanajenga majengo tofauti na michoro inayotoka kwa wataalamu wa manispaa. Kwa mfano majengo yote Kariakoo yanatakiwa kuwa na maegesho ya magari lakini wao wanaweka flemu za maduka,” alisema Maulid.
Pia, alisema watu wanahamia kwenye maghorofa kabla hayajaisha kitendo ambacho ni kinyume na sheria.
Kuhusu changamoto walizokutana nazo, Maulid alisema baadhi ya wamiliki wa nyumba walikuwa wakiwazuia kuingia kufanya ukaguzi, huku wengine wakikimbilia kushtaki kwa wanasiasa.
Alisema wengine wamekuwa wakiwatishia kwa lengo la kuwazuia kufanya kazi hiyo na kwamba, wataendelea na kazi hiyo hadi wamalize.
CHANZO:Mwananchi.
MY TAKE:
Tusubiri janga lingine litokee alafu tume iundwe kuchunguza.
Hii ni moja ya matumizi bora kabisa ya kodi zetu!
Kibali ni kwaajili ya kuidhinisha ujenzi sio kupima ubora wa jengo mkuu.Vibali vya ujenzi nani anatoaaaaaa,tena unakuta wameweka na vibao kabisa kua mkandarasi ameizinishwa so why now????
Maana yangu ni kua ukiishstoa kibali kuna watu wanatakiwa kufuatilia huo ujenzi,sizani km inaishia kutoa tuKibali ni kwaajili ya kuidhinisha ujenzi sio kupima ubora wa jengo mkuu.
Mkuu una hangover!?
Mleta mada hakutabiri bali alileta ripoti ya ukaguzi na ripoti imeanza kutoa majibu.
Inasikitisha sana wakuu 😂Mpare wa wapi wewe akili kisoda hivi?
Maghorofa 64 yaliyopo eneo la Kariakoo, Manispaa ya Ilala yamejengwa kinyume na sheria na kwamba baadhi yanaweza kuporomoka kutokana na ujenzi wake kuwa chini ya kiwango.
Kampuni iliyopewa zabuni ya kufanya ukaguzi wa majengo Manispaa ya Ilala, inayoitwa Design Plus Architects (DPA) imebaini kati ya majengo ya ghorofa 90 yaliyokaguliwa, 67 yamejengwa kinyume na sheria.
Uamuzi wa kuipa kampuni binafsi kazi ya kukagua majengo, ulikuja baada ya jengo la ghorofa 16 kuanguka na kuua watu 36 Machi 26, mwaka huu.
Meneja Uendeshaji wa DPA, Mustafa Maulid alisema jana kwamba ukaguzi wa majengo hayo ulianza Julai mwaka huu baada ya kupata zabuni hiyo.
“Hali ni mbaya katika majengo tuliyoyakagua, kuna majengo ya ghorofa yenye nyufa nyingi, pia yapo majengo yanayogusana ambayo ni hatari kwa watumiaji,” alisema.
Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa alipoulizwa hatua za kuchukua, alisema vikao vya madiwani vitaamua hatua za kuchukua baada ya kuipitia ripoti ya ukaguzi huo.
“Ukipita Kariakoo hata kama siyo mtaalamu wa ujenzi utagundua kwamba majengo mengi yamejengwa bila kufuata sheria za ujenzi, baada ya kuanguka kwa jengo katikati ya jiji, tukaamua kuipa kampuni binafsi kazi ya ukaguzi ili kuona ni majengo gani yapo kinyume na sheria,” alisema Silaa.
Akifafanua zaidi, Maulid alisema makosa waliyoyabaini ni watu kuendesha ujenzi bila kuwa na vibali.
Alisema makosa mengine ni ujenzi bila kufuata michoro iliyoidhinishwa na Manispaa ya Ilala.
“Hii ina maana kwamba watu wanajenga majengo tofauti na michoro inayotoka kwa wataalamu wa manispaa. Kwa mfano majengo yote Kariakoo yanatakiwa kuwa na maegesho ya magari lakini wao wanaweka flemu za maduka,” alisema Maulid.
Pia, alisema watu wanahamia kwenye maghorofa kabla hayajaisha kitendo ambacho ni kinyume na sheria.
Kuhusu changamoto walizokutana nazo, Maulid alisema baadhi ya wamiliki wa nyumba walikuwa wakiwazuia kuingia kufanya ukaguzi, huku wengine wakikimbilia kushtaki kwa wanasiasa.
Alisema wengine wamekuwa wakiwatishia kwa lengo la kuwazuia kufanya kazi hiyo na kwamba, wataendelea na kazi hiyo hadi wamalize.
CHANZO:Mwananchi.
MY TAKE:
Tusubiri janga lingine litokee alafu tume iundwe kuchunguza.
Hii ni moja ya matumizi bora kabisa ya kodi zetu!
Amiina.. kama viongozi ndio kina chalamila na mwanaFA wao kitwa nikumahukuru mama yaoUafrikaa ni laaana,Mungu wabariki wazungu..