Zipo nyuzi mbili za hivi moja inawachangiaji.Kama huu uzi una zaidi ya miaka 10 na haukupata wachangiaji,basi hata sisi tunastahili lawama coz tuliuignore pia,
Inawezekana hatukuona umuhimu wake kipindi hicho.
ππ
Aisee : Trump ni Nabii!Dah na Uzi tuliususa tukakimbilia kuchangia nyuzi za mapenzi na viongozi nao wakafikiria matumbo yao. Mchawi wa hii nchi na wananchi wenyewe ni mamburula kupindukia.
Mbona kama sura yake, imepachikwa hapo?
ππ sijajua kwa kweliMbona kama sura yake, imepachikwa hapo?
ππππUzi huu sasa utapata Wachangiaji!
Hatimae kaburi lafukuliwaDuuh!
Pongezi hizi ni maalumu kwa Rais Dkt.
Kuna uzi kibao humu km hizi hazipati wachangiaji mpaka tukio litokee ila kila siku watu wanapishana naoUzi huu sasa utapata Wachangiaji!
Wamemfanya mungu mtuAmiina.. kama viongozi ndio kina chalamila na mwanaFA wao kitwa nikumahukuru mama yao
π€£πHatimae kaburi lafukuliwa
Chukulia mfano wenye hayo magorofa wapo Bungeni nani wa kuyabomoa?Kumbe Kuna magorofa yanatakiwa kubomololewa fasta
Madiwani si wanapewa bahasha tuVikao vya madiwani kuamua!
Unategemea madiwani wataamua cha maana
Mkaguzi yupi? wa wakati wa Ujenzi au huyu aliyezungumziwa kwenye huu uziChanzo ni rushwa na ufisadi. Mkaguzi alipoona sheria haikufuatwa alichukuwa hatua gani? Au alichukuwa hatua ila fisadi kazuia kwa kutoa kitu.