Magogo ya mitiki yanayovunwa Mtibwa, yanalipiwa ushuru kweli?

kaburi jeusi

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2017
Posts
258
Reaction score
145
Jamani watu wa Mvomero mitiki inayovunwa hapo Mtibwa inalipiwa ushuru kweli? Maana inapitshwa handeni na kupelekwa bandarini Tanga.

Wakati huo halmashauri inadai haina fedha za kulipa madeni ya watumishi pia na kiwanda cha Mtibwa mapato yake yanakwenda wapi?

Nina mashaka na hilo, wana Mvomero muamke alafu mnalalamika njaa wachache wananufaika na mapato hayo.

Mh apeleke wakaguzi pale halmashauri.
 
Unafahamu kwamba hiyo mitiki huuzwa kwa njia ya mnada....na shamba lamitiki mtibwa ndo wanahusika na hayo mauzo??....kodi zote zinalipwa,anzia vat,cess ya halmashauri na nyingine zote.....na shamba la mtibwa wanatuma cess ya halmashauri moja kwa moja,kupitia bank.....so ondoa hofu mitiki yote inayouzwa mtibwa hulipiwa kodi.....kuhusu shamba la sukari....hili linakuzidi ukubwa,ukielezwa unaweza kizimia maana unaonekana una stress za maisha na hayo madai yako!
 
Ahahaha nmecheka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…