kaburi jeusi
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 258
- 145
Unafahamu kwamba hiyo mitiki huuzwa kwa njia ya mnada....na shamba lamitiki mtibwa ndo wanahusika na hayo mauzo??....kodi zote zinalipwa,anzia vat,cess ya halmashauri na nyingine zote.....na shamba la mtibwa wanatuma cess ya halmashauri moja kwa moja,kupitia bank.....so ondoa hofu mitiki yote inayouzwa mtibwa hulipiwa kodi.....kuhusu shamba la sukari....hili linakuzidi ukubwa,ukielezwa unaweza kizimia maana unaonekana una stress za maisha na hayo madai yako!