DOKEZO Magole Kitunda tuna changamoto ya umeme tunaomba TANESCO tuongezewe Transfoma

DOKEZO Magole Kitunda tuna changamoto ya umeme tunaomba TANESCO tuongezewe Transfoma

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

edwin89

Member
Joined
Apr 12, 2016
Posts
95
Reaction score
99
Naomba Meneja wa gongo la Mboto tusaidie kupata transforma kubwa tuna low voltage magole kitunda kwa mpemba mchafu. Tuna mwaka mzima umeme ni mdogo hata friji haziwezi kuwa. Tafadhali, jamii forum naomba mnisaidie kufikisha kilio hiki sehemu husika. Ahsanteni
 
Back
Top Bottom