0021
Senior Member
- Oct 24, 2012
- 160
- 60
Navuta picha hili goli la 2 na 4 waliyofunga Barca dhidi ya R.Madrid yangefungwa kwenye mechi kati ya Yanga na Azam halafu ndo yanga wamefungwa hivyo...daaaaaa refa Martin Sanya angeshatoka damu kwa ngumi za Stevn Mwasika....Hii ndo tofauti ya Soka la Bongo na Ulaya....sometimes tisishangae tunaharibu kwenye soka la Kimataifa hatujui sheria za maamuzi na hata waamuzi wakitenda haki wachezaji wanawapiga marefa...Kwanini warefa wa Kibongo hawachezeshi hata friend match za kimataifa?Sababu wanafanya makosa mengi yanayowanyima credit kimataifa..Natafakari tu jamani