Magolikipa wa NBCPL wajifunze kwa Diara

Magolikipa wa NBCPL wajifunze kwa Diara

Umkonto

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2018
Posts
2,652
Reaction score
4,593
Magolikipa wa NBCPL wanaweza kujifunza mambo kadhaa kutoka kwa Diara. Katika mechi ya jana kati ya Yanga vs JKT kuna mipira ilipigwa kwa Diara ikaokolewa vizuri, lakini ikawa na madhara kwa golikipa wa JKT.

Baadhi ya mambo ambayo magolikipa wengine wanaweza kujifunza kutoka kwa Diara:

1. Golikipa kurudishiwa pasi na kuipiga tena kwa mguu
Hapa inabidi magolikipa wafanye mazoezi ya kuuchezea mpira kwa miguu ili iwe rahisi wanaporudishiwa mipira na kupiga pasi ndefu au fupi na iwafikie wachezaji wao ili kuanzisha shambulizi. Hapa naamanisha, Diara akirudishiwa mpira na beki anahakikisha anapiga pasi inayofika kwa wachezaji wake iwe pasi fupi au ndefu. Diara habutui tu ilimradi mpira uende mbele tu. Kubutua mpira bila mwelekeo inakuwa ni hamsini kwa hamsini kule unapotua.

Jana tuliona golikipa wa JKT alipiga pasi ikadondokea kwa adui na mwisho wa siku ikazalisha faulo. Huyu kipa hana mazoezi ya kucheza mipira mirefu na mifupi kwa miguu.

2. Panchingi kwa mikono
Magolikipa lazima wajifunze wanapopanchi mipira iwe inaenda mbali ili hata kama inamfikia adui isiwe rahisi kushambulia kwa haraka. Hapa lazima mikono iwe na nguvu na wakipanchi wahakikishe mipira inaenda kwa juu tena pembeni.

Jana tuliona Diara alipanchi ila kwa kutoa pasi ambapo panchi ile ilienda pembeni kwa beki ya kushoto na shambulizi likaendelea, lakini golikipa wa JKT alipanchi shuti la Max na kumrudishia Max ndani ya uwanja. Diara asingepanchi vile kabisa.

Yote kwa yote, nilichokiona Diara yupo makini sana uwanjani. Macho yake na akili yake vinafanya kazi kwa ushirikiano mkubwa, hivyo inakuwa rahisi kucheza mipira inayoelekezwa golini, ndio maana Diara hata kama anafungwa lakini lazima mpira aufuate. Ni nadra sana Diara aende kulia, goli lipite kushoto.

Nawasilisha.
 
Hata darasani wote tunafundishwa pamoja lkn kwenye mtihani atapatikana wa kwanza hadi wa mwisho.

Hao unasema wajifunze kwa diarra hata wao wana waalimu wa magolikipa kama diarra alivyo na mwalimu.

Mwisho wa siku ni uwezo wa mtu ndio unaamua hayo maana hata akija pep kuifundisha yanga usitegemee ndio itachukua kombe la africa kirahisi.

Kila mchezaji ana uwezo wake hata umfundishe vipi kiwango chake kikifikia mwisho ni basi.
 
Hata darasani wote tunafundishwa pamoja lkn kwenye mtihani atapatikana wa kwanza hadi wa mwisho.

Hao unasema wajifunze kwa diarra hata wao wana waalimu wa magolikipa kama diarra alivyo na mwalimu.

Mwisho wa siku ni uwezo wa mtu ndio unaamua hayo maana hata akija pep kuifundisha yanga usitegemee ndio itachukua kombe la africa kirahisi.

Kila mchezaji ana uwezo wake hata umfundishe vipi kiwango chake kikifikia mwisho ni basi.
Kinachoshangaza zaidi, magolikipa wengine wa NBCPL wanafanya makosa rahisi sana ambayo wasingeyafanya kama wangefanya mazoezi vizuri.

Labda, wakati mwingine tatizo litakuwa kwa makocha wao. Haiwezekani kwenye mazoezi kocha umeruhusu mabeki warudishe pasi kwa golikipa halafu haumkazanii golikipa wako awe mahiri kupiga pasi fupi na ndefu kwa miguu.

Nakumbuka soka la miaka hiyo la mchangani, mnafanya mazoezi ya jumla ya kuwomapu, baadae magolikipa wanaenda pembeni na kocha wao wanaanza kurukishana. Kipindi hicho mabeki ni kubutua mbele kwa mbele. Lakini kwa sasa makocha wanaruhusu mabeki kurudisha mipira kwa kipa na makipa wanafanya mashambulizi, hivyo magolikipa wakiona mfumo huo upo ndani ya timu, ni lazima wafanye mazoezi ya kupiga pasi fupi na ndefu (volley) ili wasijekuyakanyaga katika mechi.

Mbona rahisi tu, labda kama hawataki kujifunza.


Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Magolikipa wa NBCPL wanaweza kujifunza mambo kadhaa kutoka kwa Diara. Katika mechi ya jana kati ya Yanga vs JKT kuna mipira ilipigwa kwa Diara ikaokolewa vizuri, lakini ikawa na madhara kwa golikipa wa JKT.

Baadhi ya mambo ambayo magolikipa wengine wanaweza kujifunza kutoka kwa Diara:

1. Golikipa kurudishiwa pasi na kuipiga tena kwa mguu
Hapa inabidi magolikipa wafanye mazoezi ya kuuchezea mpira kwa miguu ili iwe rahisi wanaporudishiwa mipira na kupiga pasi ndefu au fupi na iwafikie wachezaji wao ili kuanzisha shambulizi. Hapa naamanisha, Diara akirudishiwa mpira na beki anahakikisha anapiga pasi inayofika kwa wachezaji wake iwe pasi fupi au ndefu. Diara habutui tu ilimradi mpira uende mbele tu. Kubutua mpira bila mwelekeo inakuwa ni hamsini kwa hamsini kule unapotua.

Jana tuliona golikipa wa JKT alipiga pasi ikadondokea kwa adui na mwisho wa siku ikazalisha faulo. Huyu kipa hana mazoezi ya kucheza mipira mirefu na mifupi kwa miguu.

2. Panchingi kwa mikono

Magolikipa lazima wajifunze wanapopanchi mipira iwe inaenda mbali ili hata kama inamfikia adui isiwe rahisi kushambulia kwa haraka. Hapa lazima mikono iwe na nguvu na wakipanchi wahakikishe mipira inaenda kwa juu tena pembeni.

Jana tuliona Diara alipanchi ila kwa kutoa pasi ambapo panchi ile ilienda pembeni kwa beki ya kushoto na shambulizi likaendelea, lakini golikipa wa JKT alipanchi shuti la Max na kumrudishia Max ndani ya uwanja. Diara asingepanchi vile kabisa.

Yote kwa yote, nilichokiona Diara yupo makini sana uwanjani. Macho yake na akili yake vinafanya kazi kwa ushirikiano mkubwa, hivyo inakuwa rahisi kucheza mipira inayoelekezwa golini, ndio maana Diara hata kama anafungwa lakini lazima mpira aufuate. Ni nadra sana Diara aende kulia, goli lipite kushoto.

Nawasilisha.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Acha upuuzi. Sema diara ajifunze kwa Ally salim
 
Huyu Diara aliyetobolewa na Simba kwa penalty halafu Salim akazidaka karibia zote!??

Mpira ukipigwa na mchezaji mchovu golikipa ataupanchi vizuri na ataonekana anajua sana.
 
Magolikipa wa NBCPL wanaweza kujifunza mambo kadhaa kutoka kwa Diara. Katika mechi ya jana kati ya Yanga vs JKT kuna mipira ilipigwa kwa Diara ikaokolewa vizuri, lakini ikawa na madhara kwa golikipa wa JKT.

Baadhi ya mambo ambayo magolikipa wengine wanaweza kujifunza kutoka kwa Diara:

1. Golikipa kurudishiwa pasi na kuipiga tena kwa mguu
Hapa inabidi magolikipa wafanye mazoezi ya kuuchezea mpira kwa miguu ili iwe rahisi wanaporudishiwa mipira na kupiga pasi ndefu au fupi na iwafikie wachezaji wao ili kuanzisha shambulizi. Hapa naamanisha, Diara akirudishiwa mpira na beki anahakikisha anapiga pasi inayofika kwa wachezaji wake iwe pasi fupi au ndefu. Diara habutui tu ilimradi mpira uende mbele tu. Kubutua mpira bila mwelekeo inakuwa ni hamsini kwa hamsini kule unapotua.

Jana tuliona golikipa wa JKT alipiga pasi ikadondokea kwa adui na mwisho wa siku ikazalisha faulo. Huyu kipa hana mazoezi ya kucheza mipira mirefu na mifupi kwa miguu.

2. Panchingi kwa mikono
Magolikipa lazima wajifunze wanapopanchi mipira iwe inaenda mbali ili hata kama inamfikia adui isiwe rahisi kushambulia kwa haraka. Hapa lazima mikono iwe na nguvu na wakipanchi wahakikishe mipira inaenda kwa juu tena pembeni.

Jana tuliona Diara alipanchi ila kwa kutoa pasi ambapo panchi ile ilienda pembeni kwa beki ya kushoto na shambulizi likaendelea, lakini golikipa wa JKT alipanchi shuti la Max na kumrudishia Max ndani ya uwanja. Diara asingepanchi vile kabisa.

Yote kwa yote, nilichokiona Diara yupo makini sana uwanjani. Macho yake na akili yake vinafanya kazi kwa ushirikiano mkubwa, hivyo inakuwa rahisi kucheza mipira inayoelekezwa golini, ndio maana Diara hata kama anafungwa lakini lazima mpira aufuate. Ni nadra sana Diara aende kulia, goli lipite kushoto.

Nawasilisha.
Simba pekee wanamjulia
 
Ni kweli Diara akikutana na vitu vidogo anaonekana bora sana
 
Magolikipa wa NBCPL wanaweza kujifunza mambo kadhaa kutoka kwa Diara. Katika mechi ya jana kati ya Yanga vs JKT kuna mipira ilipigwa kwa Diara ikaokolewa vizuri, lakini ikawa na madhara kwa golikipa wa JKT.

Baadhi ya mambo ambayo magolikipa wengine wanaweza kujifunza kutoka kwa Diara:

1. Golikipa kurudishiwa pasi na kuipiga tena kwa mguu
Hapa inabidi magolikipa wafanye mazoezi ya kuuchezea mpira kwa miguu ili iwe rahisi wanaporudishiwa mipira na kupiga pasi ndefu au fupi na iwafikie wachezaji wao ili kuanzisha shambulizi. Hapa naamanisha, Diara akirudishiwa mpira na beki anahakikisha anapiga pasi inayofika kwa wachezaji wake iwe pasi fupi au ndefu. Diara habutui tu ilimradi mpira uende mbele tu. Kubutua mpira bila mwelekeo inakuwa ni hamsini kwa hamsini kule unapotua.

Jana tuliona golikipa wa JKT alipiga pasi ikadondokea kwa adui na mwisho wa siku ikazalisha faulo. Huyu kipa hana mazoezi ya kucheza mipira mirefu na mifupi kwa miguu.

2. Panchingi kwa mikono
Magolikipa lazima wajifunze wanapopanchi mipira iwe inaenda mbali ili hata kama inamfikia adui isiwe rahisi kushambulia kwa haraka. Hapa lazima mikono iwe na nguvu na wakipanchi wahakikishe mipira inaenda kwa juu tena pembeni.

Jana tuliona Diara alipanchi ila kwa kutoa pasi ambapo panchi ile ilienda pembeni kwa beki ya kushoto na shambulizi likaendelea, lakini golikipa wa JKT alipanchi shuti la Max na kumrudishia Max ndani ya uwanja. Diara asingepanchi vile kabisa.

Yote kwa yote, nilichokiona Diara yupo makini sana uwanjani. Macho yake na akili yake vinafanya kazi kwa ushirikiano mkubwa, hivyo inakuwa rahisi kucheza mipira inayoelekezwa golini, ndio maana Diara hata kama anafungwa lakini lazima mpira aufuate. Ni nadra sana Diara aende kulia, goli lipite kushoto.

Nawasilisha.
Kwa kweli umechambua kwa undani na ukweli kabisa. Tatizo la Magolikipa wengi wa Ndani (Watanzania) pamoja na baadhi ya Wageni lipo kwenye hayo masuala mawili uliyochambua. Kwa suala namba 1; Magolikipa wanatakiwa wawe sehemu ya wachezaji wa ndani kwa kuanzisha na kuchochea mashambulizi. Kwa suala namba 2; Magolikipa wanatakiwa kupunch mpira na kuhakikisha mpira unatoka nje ya eneo la 18 na uende pembeni kwa full backs kwa ajili ya kuanzisha mashambulizi au kutoka nje ya uwanja badala ya kwenda katikati. Diara ni mfano halisi wa magolikipa wanaotimiza majukumu yao vyema katika masuala hayo mawili.
 
Tukiondoa ushabiki wa Simba / Yanga... ! Kama makipa wengi wazawa hawajajifunza kitu kwa Diarra basi watakua ni wajinga... Jamaa ni kimo tu changamoto ila langoni yupo vyema sanaa..
 
Back
Top Bottom