pesakilakitu
JF-Expert Member
- Aug 17, 2024
- 1,618
- 2,861
Mzee Magoma akihojiwa leo amenukuliwa akisema Yanga slow pancha ilianza muda mrefu.
Mzee Magoma ambaye amesisitiza kua yeye ndio DAKTARI anayejua namna yakuitibu yanga.. kasema na kuwaasa uongozi unaongozwa na Mhandisi Hersi kua wamtafute wayamalize, la sivyo yanga kule ligi ya mabingwa afrika itabeba timu tatu juu, yaani watamaliza wa mwisho, na wakiendeleza kibri, watamaliza wa mwisho ligi kuu...alisisitiza kwa uchungu Daktari Magoma.
Vincenzo Jr
Interlacustrine R
Labani og
ngara23
Yanga hii unaifungajee 😀 😀 😀Mzee Magoma akihojiwa leo amenukuliwa akisema Yanga slow pancha ilianza muda mrefu.
Mzee Magoma ambaye amesisitiza kua yeye ndio DAKTARI anayejua namna yakuitibu Yanga..
Kasema na kuwaasa uongozi unaongozwa na Mhandisi Hersi kua wamtafute wayamalize, la sivyo Yanga kule ligi ya mabingwa afrika itabeba timu tatu juu, yaani watamaliza wa mwisho, na wakiendeleza kibri, watamaliza wa mwisho ligi kuu...alisisitiza kwa uchungu Daktari Magoma.
Vincenzo Jr
Interlacustrine R
Labani og
ngara23
[emoji28]Yanga hii unaifungajee [emoji3] [emoji3] [emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Magoma tupo na wewe mpaka wakugeuze paka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuuMagoma piga kwenye kichwa bado wanapumua
Eeh 😂😂😂alisisitiza kwa uchungu Daktari Magoma.
Mzee kanyagia hapo hapo hadi waombe poo, wewe peke ndiye mwenye uchungu na Yanga hao waliobakia ni mamluki tu wa GSM.