kituo cha polisi jirani.Wadau humu jf, najua wengi humu mnauelewa na maeneo mbalimbali hapa jijini.Napenda kujua kwanini pale magomeni panaitwa magomeni usalama au chang’ombe usalama
Usalama barabarani na uraia sio usalama unaoujua wewe usalama wa vitengo vya kutekana na kutokurudi tena uraiani sio ule usalama unaoujua wewe wa kulinda viongozi madarakani hata km wanaiba na kukwapua mali za umma bila uogapale magomeni panaitwa magomeni usalama au chang’ombe usalama