Magonjwa na tiba

Joined
Mar 1, 2019
Posts
35
Reaction score
7
Jamani naomba anayejua dalili za tibii aina zote naomba anisaidie kuwa ni zipi, nina zaidi ya mwaka mmoja mwili hauna nguvu na kichwa kinauma kwa ndani mpaka juu ya kichwa lakini usiku nakohoa sana kikohozi kikavu nikitoa makohozi ni kidogo sana meupe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…