Changamoto kubwa na za kawaida kwa nguruwe ni kama ifuatavyo :-
Kwa vitoto_ upungufu wa damu (wachome iron dextran), kuhara (imarisha usafi, wachome sulphur drug) na homa ya mapafu yaani pneumonia (epuka ubaridi wa sakafu, wachome antibiotic hata OTC).
Wakubwa, hawa kushambuliwa na magonjwa sio sana, ila tatizo lao kubwa ni kushambuliwa na vinyonyaji (parasites) hasa minyoo na utitiri unaopelekea ukurutu na kujikuna (wape dawa za minyoo kila baada ya miezi mitatu na dawa za utitiri, imarisha usafi wa banda). Lishe bora ni muhimu sana. Matatizo mengine yanasababishwa na lishe duni, abnormal metabolism, ajali mbali mbali n.k....
Karibu.