Magonjwa ya watoto wa kisasa - (Afya ya ubongo)

Magonjwa ya watoto wa kisasa - (Afya ya ubongo)

iArmaniAdamson

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2015
Posts
944
Reaction score
289
Autism: Watoto wa Kisasa na - (afya ya ubongo)


watoto wengi wanaozaliwa sasa wana matatizo ya ubongo, brain spectrum, yaani autism. hata nchi zilizoendelewa zimekumbwa na janga hili kubwa.


soma aina za watoto hapo na chagua mtoto wako ni wa aina gani na soma maelezo zaidi.


aina ya mtoto wa 1:
unaweza pata mtoto akawa na akili sana darasani, ukweli ni kwamba sio akili bali ni kumbukumbu kubwa sana, na mtoto huwa wa kwanza akifeli sana basi ni wa pili. LAKINI akiwa nyumbani hawezi kucheza wengine, au hajui kucheza kabisa. mpaka unashangaa mtoto ana akili na hajui kucheza na wenzie. huyo ana matatizo


aina ya mtoto wa 2:
Mtoto wako anaweza kuwa nunda sana (dyslexis) yaani shule haipandi hata umchape vipi, lakini akirudi nyumbani anaweza kukwambia majina ya first eleven (kumi na moja wa kwanza) wa timu ya Chelsea na pia anakumbuka majina risevu au hakuimbie mwimbo wa bongo flava mwanzo mpaka mwisho bila kusita. huyu ana matatizo


aina ya mtoto wa 3:
mtoto mpole mpole tu, kila wakati anafuatisha kila unachosema, ila jinsi anavyokuwa mkubwa hawezi kufanya mambo yake mwenyewe lazima umchagulie mpaka combi (masomo ya kidato cha tano na sita); - unakuta mtoto hata akifaulu anashindwa achague kazi gani, anakuwa goigoig mpaka umsukume sukume - huyu ana matatizo pia.


aina ya mtoto wa 4:
mtoto atulii, yaani wanaita "antention deficity disorder - ADD" hawa ni wale watoto hawawezi kabisa kutulia, hata ufanye nini, hata ukimtishia kumpeleka polisi wao hawawezi kukaa chini zaidi ya sekunde 30, lazima amesimama. au mara ameshika kitu amerusha, mara ameingiza unga kwenye deki ya video, au ameweka mguu kwenye sahani ya chakula n.k. huyu pia si haba ana matatizo hatulii full stop!


MAELEZO:
hii hali ya autism (kitaalamu), kwa afrika hasa tanzania haijulikani sana na wazazi wengi uishia kuchapa tu watoto mpaka unaweza kusikia mzazi akisema, "huyu mtoto nitamvunja" lakini mtoto wala hajirudi.


hata nchi zilizoendelea, kama US hili ni jangwa kubwa la taifa. na wazazi wamekuwa wakilia na serikali kama ya Obama kutaka kupata suluhu ya tatizo hili. wazazi wa nchi zilizoendelea wanabana serikali zao ili waweke fedha nyingi kando ili wanasayansi wafanye uchunguzi kujua tatizo linasababishwa na nini.


SABABU mbadala:
1 - gene za mwanadamu kwa kiasi kikubwa zimedhoofika. hii ni sababu ya magonjwa mengi yasiyoambukizwa kwa sasa, kwa kipindi kirefu inaaminiwa kwamba mwanadamu amekuwa na jini zinazoendelea kudhoofika na hii usababisha muongezeko wa magonjwa yasiyo ya kuambukizwa na udhoofu wa ubongo


2 - wakina mama kula vyakula vya wanga mwingi, kusema kweli vyakula vinavyoliwa sasa vina ongezeko kubwa la wanga (junk) na hii inasababisha watoto wengi kuwa na matatizo mbalimbali ya ubongo kutokana na sababu mbalimbali za matatizo ya kula wanga nyingi.


3 - aina ya life style, wakina mama wengi kwasasa hawafanyi kazi ngumu kama zamani ambazo zilizokuwa na faida kujenga misuli na kufanya mwili uwe mkakamavu na afya bora. wakina mama wengi wamebweteka na kukaa tu, kwenye tv au kutumia visaidi vya kazi kwa kila kitu - bado tatizo hili likumbukwe linaathiri familia 'tajiri zaidi' hata maeneo ya tanzania, ila athari pia ziko kwa familia maskini.


- nitaendelea kuelezea jinsi tukiendelea kuchangia




Sir. Armani Adamson
 
Kaka umeshawahi kuwasikia hawa jamaa waitwao ILLUMINATI a.k.a SILENT KILLERS? Hebu kuwa mchokonozi kwenye mitandao utapata habari zao ni namna gani wana mkono wao kwenye hilo tatizo ulilolizungumzia.
 
Tembelea illuminati.com/new illuminati vaccinations causes autism
 
tuache double standard, haya matatizo tunayo. Ni kuwa nyuma sana kimaendeleo na umaskini ndio maana tunadhani hayapo na kutoa kipaumbele kwenye magonjwa mengine. Hizo type hapo juu tunazishuhudia sana muda mrefu, na kwasasa zinajitokeza kwa wingi kwenye familia za rising middle class. Kwakweli lina impact kubwa sana katika jamii kama nchi, na sijui tiba yake ni nini. Nakatika kizazi hiki subjected to junk food, genetically modiffied menus, pombe, processed foods, air polution. Very bad life style. Hawa wanetu sijui itakuaje.... Yani sasa nimeanza kuona how valuable healthy our life styles were during seventies and eighties, matunda yalikua natural nakilamsimu matunda yake porini, mahindi natural kuku kienyeji nyama sio zenye kupewa madawa kibao, mtu ilikuaunakula nyama vipande 2 tu sio nusu kilo au kilo nzima. Soda ni mpaka sikukuu, bia wana kunywa selected elites.....cosmetics sio kali kihivyo kina mama walikua wanachoma nywele kupendeza, yani...sasa hv mnawaanzishia watoto mapema makemicals kichwani.
 
tuache double standard, haya matatizo tunayo. Ni kuwa nyuma sana kimaendeleo na umaskini ndio maana tunadhani hayapo na kutoa kipaumbele kwenye magonjwa mengine. Hizo type hapo juu tunazishuhudia sana muda mrefu, na kwasasa zinajitokeza kwa wingi kwenye familia za rising middle class. Kwakweli lina impact kubwa sana katika jamii kama nchi, na sijui tiba yake ni nini. Nakatika kizazi hiki subjected to junk food, genetically modiffied menus, pombe, processed foods, air polution. Very bad life style. Hawa wanetu sijui itakuaje.... Yani sasa nimeanza kuona how valuable healthy our life styles were during seventies and eighties, matunda yalikua natural nakilamsimu matunda yake porini, mahindi natural kuku kienyeji nyama sio zenye kupewa madawa kibao, mtu ilikuaunakula nyama vipande 2 tu sio nusu kilo au kilo nzima. Soda ni mpaka sikukuu, bia wana kunywa selected elites.....cosmetics sio kali kihivyo kina mama walikua wanachoma nywele kupendeza, yani...sasa hv mnawaanzishia watoto mapema makemicals kichwani.

kasi ni kubwa sana ya hili janga, wazazi wanalia hasa Marekani watoto hawatulii

Mwaka jana walifanya takwimu, watoto weupe 42 kati ya 47 wana mild to severe autism.

Watoto weusi 25 kati ya 45, ukiangalia gene make up, wazungu ndio dhaifu kuliko weusi.

Kwa tanzania, wazazi wala chips ndio tatizo sana, na wengi hawajui, wanadhani mtoto hana akili kumbe ndio hivyo.

Na pia wengi waliobaki either hawajui watoto wana tatizo, as long as sio kichaa hawajali.
 
Na bad news nyingine red bull inasababisha kisukari kwa teenagers, watu wazima wanawaachiaga red bull watoto wadogo chini ya eight....ni mbaya.
 
ila ni mambo ya kiafya zaidi? au.

Ni habari ndefu na yenye kutisha kaka! Kuna watu hapa duniani wanaona wao ndio wenye hakimiliki ya kuishi,wengine hapana.Wametuwekea mkakati wa kutuangamiza taratibu na kimya kimya.
 
Na bad news nyingine red bull inasababisha kisukari kwa teenagers, watu wazima wanawaachiaga red bull watoto wadogo chini ya eight....ni mbaya.

wazazi wa sasa na wenyewe wengi ni watoto, kwahiyo hilo nalo halisaidii
 
Ni habari ndefu na yenye kutisha kaka! Kuna watu hapa duniani wanaona wao ndio wenye hakimiliki ya kuishi,wengine hapana.Wametuwekea mkakati wa kutuangamiza taratibu na kimya kimya.

ila kitaalamu zaidi kuna factors mbali ya freemasons, siamini freemasons wanasababisha mambo hayo hapo juu
 
Back
Top Bottom