Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Anataka bunge lihamie kule mumewe aliishia kujenga Bunge dogoNimeshangaa kuona Magreth Sitta anapiga hadi magoti kuomba kura..
Hivi Kwa muda wote aliokuwa bungeni amefanya nini?
Anataka kwenda kufanya nini?
Kwani lazima kuwa mbunge?
Sijaelewa kabisa...
Kugombea nafasi za kisiasa ni uraibu kama uraibu mwingine tu.Nimeshangaa kuona Magreth Sitta anapiga hadi magoti kuomba kura..
Hivi Kwa muda wote aliokuwa bungeni amefanya nini?
Anataka kwenda kufanya nini?
Kwani lazima kuwa mbunge?
Sijaelewa kabisa...
mi mpaka sasa sielewik nimemuona sura nikawa namkumbukA SASA nakuja kujua ni mama sita nikasema huu ni upuuzi anataka ubunge wa nini?Nimeshangaa kuona Magreth Sitta anapiga hadi magoti kuomba kura..
Hivi Kwa muda wote aliokuwa bungeni amefanya nini?
Anataka kwenda kufanya nini?
Kwani lazima kuwa mbunge?
Sijaelewa kabisa...
Mkuu Bungeni ndio eneo unalolipwa kwa kukaa kwenye kiti chako cha kazi.
Ni eneo unalonunua gari lako na nusu ya pesa inalipwa a kodi za mlalahoi wa dola 1 kwa siku
Ndilo eneo unalopewa pesa ya mafuta kwa kwenda kazini kwako
Ndilo eneo unalolipwa kwa kuwa kwenye kamati ya kazi yako mwenyewe.
Ni eneo unaloweza kulala tu kutwa nzima na hakuna anaykuuliza ''deliverables'
Ni eneo unalolipwa kiinua mgongo kikali kuliko kazi nyingine yoyote nchini
Ni eneo ambalo husubiri miaka 65 kupata mafao, siku ya mwisho unapata mamilioni karibu na bilioni.
Kwanini anakwenda Bungeni? Ni ''addiction' ya pesa. Ili aache na abaki salama bila withdraw symptoms, lazima umpe pesa kidogo kidogo kwa miaka 5 . Kidogo kidogo I mean kama milioni 10 kwa mwezi
Kuongeza idadi ya wabunge.Nimeshangaa kuona Magreth Sitta anapiga hadi magoti kuomba kura..
Hivi Kwa muda wote aliokuwa bungeni amefanya nini?
Anataka kwenda kufanya nini?
Kwani lazima kuwa mbunge?
Sijaelewa kabisa...
Yule mama sijawahi ona impact yake jamani..hivi hawaoni hata aibu jamani mbwa Hawa!Nimeshangaa kuona Magreth Sitta anapiga hadi magoti kuomba kura..
Hivi Kwa muda wote aliokuwa bungeni amefanya nini?
Anataka kwenda kufanya nini?
Kwani lazima kuwa mbunge?
Sijaelewa kabisa...
Huyo unamuonea tu ni mjane, anakwenda kutafuta riziki ya kujikimu.Nimeshangaa kuona Magreth Sitta anapiga hadi magoti kuomba kura..
Hivi Kwa muda wote aliokuwa bungeni amefanya nini?
Anataka kwenda kufanya nini?
Kwani lazima kuwa mbunge?
Sijaelewa kabisa...
Dah GT, kwa huyu mama tumuache aende bungeni hadi achoke. TusiMuonee na kumuandama. She's so humble and innocent she can't even hurt a fly.
Mungu amjalie maisha marefu na afya njema.
Kosa lao. Wanachagua vipi mtu asie muwakilishi makini kwao ?Hata mmewe hakufanya lolote zaidi ya kujenga office ya spika Urambo. Ile ofisi sijui leo inatumiwa na nani ?Je huko ni kuwatendea haki watu wa Jimbo lake?
Dah GT, kwa huyu mama tumuache aende bungeni hadi achoke. TusiMuonee na kumuandama. She's so humble and innocent she can't even hurt a fly.
Mungu amjalie maisha marefu na afya njema.
Kuna wanawake hawafai hata kuitwa wajane...huyu mumewe kafa lakini uhakika wa maisha upo..si ana mtoto mkubwa tu huko....atupishe ziingie damu changaHuyo unamuonea tu ni mjane, anakwenda kutafuta riziki ya kujikimu.
Maajabu yapo jimbo la Mchinga, Salma Kikwete Mungu amenyima nini?
Kama Watanzania wangekuwa wanajitambuwa hawa wamama wawili ni wa kupigwa chini ili wakajifunze busara kwanza.
Ulaji! Si unajua na hali yake ya ujane.Nimeshangaa kuona Magreth Sitta anapiga hadi magoti kuomba kura..
Hivi Kwa muda wote aliokuwa bungeni amefanya nini?
Anataka kwenda kufanya nini?
Kwani lazima kuwa mbunge?
Sijaelewa kabisa...
Wapiga kura jimboni kwake wanajua kile atakachokwenda kufanya bungeni, waachie wao. Kama wanaona anawafaa, watamruhusu, na kama hawafai, hawatamruhusuNimeshangaa kuona Magreth Sitta anapiga hadi magoti kuomba kura..
Hivi Kwa muda wote aliokuwa bungeni amefanya nini?
Anataka kwenda kufanya nini?
Kwani lazima kuwa mbunge?
Sijaelewa kabisa...
Mkoa wenyewe wa Tabora watu wamelala sana.Je huko ni kuwatendea haki watu wa Jimbo lake?
Ile milioni 200+ ndo inawatoa roho,bashite akaingia chonjo na katoswa sasa Huyu prezidaa wetu namjua sasa hivi utaskia "wabunge mkimaliza mda wenu mtapewa 200 mukakae kwenu mulee watoto"Nafikiri kama tunataka seriously kuchuja wagombea dizain hii ni kupunguza posho na zingine kufuta kabisa..
Ikiwezekana mbunge na katibu wizara na DC wasiwe tofauti kimshahara na posho
KUWAKILISHA WANANCHINimeshangaa kuona Magreth Sitta anapiga hadi magoti kuomba kura..
Hivi Kwa muda wote aliokuwa bungeni amefanya nini?
Anataka kwenda kufanya nini?
Kwani lazima kuwa mbunge?
Sijaelewa kabisa...