Uchaguzi 2020 Magufuli aahidi kufanya Wilaya ya Mwanga kuwa na hospitali mbili za Wilaya

Uchaguzi 2020 Magufuli aahidi kufanya Wilaya ya Mwanga kuwa na hospitali mbili za Wilaya

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. John Magufuli ameahidi kufanya Kituo cha Afya cha Mwanga kuwa hospitali ya Wilaya.

Kwa sababu hiyo kutakuwa na hospitali mbili za wilaya ambayo amesema wilaya hiyo ina hospitali ya wilaya ambayo iko Usangi.

Amesema hakuna ubaya kwa wilaya moja kuwa na hospitali za wilaya Mbili, kwa hiyo zote zitakuwepo na kutibu watu wote.
 
Milioni hamsini kwa kila kijiji....LISSU endelea kupiga spana
 
Huku Chato akutjengea Hospitali kubwa,kura zetu hatumpi zinaenda kwa Lisu.
 
Amemaliza kipeleka maendeleo kule wako mpa kura?

Mzee huko hawa hongeki!

Tafuta njia nyingine ya kuomba. Kura ukanda huo. Maana huko kila kitu kipo kabla hujazaliwa.
 
Back
Top Bottom