Magufuli aanza kuwafundisha Kazi marais wa Afrika, aanza na M7

Magufuli aanza kuwafundisha Kazi marais wa Afrika, aanza na M7

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617


Kwa kile kinachodhihirisha kwamba Magufuli ndio rais bora kwa sasa hapa Afrika, kama ambavyo vyombo mbalimbali vya kimataifa vimesema hivyo, rais Magufuli ameanza kuifanya Kazi yake ya kuwafundisha marais wengine wa Afrika ambao wanaonekana kutotimiza wajibu wao badala yake wanazunguka na kutangatanga duniani bila malengo yoyote.

Ukimaliza kusikiliza hii video, tafadha toa pendekezo lako, ni rais nani angestahili kupewa hili somo baada ya Museven?.
 


Kwa kile kinachodhihirisha kwamba Magufuli ndio rais bora kwa sasa hapa Afrika, kama ambavyo vyombo mbalimbali vya kimataifa vimesema hivyo, rais Magufuli ameanza kuifanya Kazi yake ya kuwafundisha marais wengine wa Afrika ambao wanaonekana kutotimiza wajibu wao badala yake wanazunguka na kutangatanga duniani bila malengo yoyote.

Ukimaliza kusikiliza hii video, tafadha toa pendekezo lako, ni rais nani angestahili kupewa hili somo baada ya Museven?.
Magu alivyo enda Nairobi, wakati wanapata dinner na viongozi waandamizi wa Kenya. Alivyo enda kutoa hotuba fupi, alisema "Kenya mko vizuri sehemu nyingi, mnaweza kufanya vizuri zaidi ila Kinacho waangusha ni ukabila". Dah, yani ukumbi ulipooza kama jini kapita. Magu ni mkweli sana, hajui kupindisha maneno. Nina amini hamna na haito tokea mtu (Raisi) akawa ambia ukweli wa Kenya kama Magu siku ile. Hii ikanikumbusha Nyerere na yeye alikuwa anawachana ila akitumia masikhara akawabatiza jina la Manyang'au.
 
Magu alivyo enda Nairobi, wakati wanapata dinner na viongozi waandamizi wa Kenya. Alivyo enda kutoa hotuba fupi, alisema "Kenya mko vizuri sehemu nyingi, mnaweza kufanya vizuri zaidi ila Kinacho waangusha ni ukabila". Dah, yani ukumbi ulipooza kama jini kapita. Magu ni mkweli sana, hajui kupindisha maneno. Nina amini hamna na haito tokea mtu (Raisi) akawa ambia ukweli wa Kenya kama Magu siku ile. Hii ikanikumbusha Nyerere na yeye alikuwa anawachana ila akitumia masikhara akawabatiza jina la Manyang'au.
Nyie nanyi mko vizuri ila mnapenda kuabudu binadamu. Mungu pekee ndiye aogopwe
 


Kwa kile kinachodhihirisha kwamba Magufuli ndio rais bora kwa sasa hapa Afrika, kama ambavyo vyombo mbalimbali vya kimataifa vimesema hivyo, rais Magufuli ameanza kuifanya Kazi yake ya kuwafundisha marais wengine wa Afrika ambao wanaonekana kutotimiza wajibu wao badala yake wanazunguka na kutangatanga duniani bila malengo yoyote.

Ukimaliza kusikiliza hii video, tafadha toa pendekezo lako, ni rais nani angestahili kupewa hili somo baada ya Museven?.

Sisi tuliwacha kuabudu binadamu enzi za Moi.
 
Sisi tuliwacha kuabudu binadamu enzi za Moi.
Ninyi mlikua mbalazimishwa kufanya hivyo, ila sasa hivi kwa Magufuli sio watanzania tu wanaompenda na kumsifu, karibu Africa nzima inamsifia, fuatilia video zake na usome comments chini ndio utajua Magufuli sio wa karne hii.
 
Angalia hii video, kisha usome comments jinsi wakenya wanavyomsifia na kumkubali Magufuli, ni zaidi ya watanzania.https://youtu.be/WRxLvNpDpIs
Waķenya wengine bado wanataka leader strong dictator. Bado wanamiss Moi lakini ole wao enzi hio ilishapita.
 
Waķenya wengine bado wanataka leader strong dictator. Bado wanamiss Moi lakini ole wao enzi hio ilishapita.
Hapo nimekutajia wakenya, ila karibu raia wote wa Africa wanamtamani Magufuli. Hivi katika hali ya kawaida, matendo anayofanya Magufuli, kama hilo katika hiyo video, utaacha kumkubali?. Ukweli lazima tuuseme, "Magufuli is the best president in Africa" kwa sasa.
 
Akitoka huko aje kwa rais wa WCB huyu jamaa anasababisha taharuki mtaani kwa vitu anavyoachia kila kukicha..
Hii remix aliyotoa leo ni 🔥🔥🔥
 
Mafisadi wa KENYA jasho linawatoka. Magufuli alimwbia UK haache wafualia mafisadi wafanye kazi..... Na UK KUKAA kimya
 
Back
Top Bottom