joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Akisema rais wa nchi, maana yake makubaliano yote yaliyofanywa na wachini yake yamefutwa.heheeee...kumbe atachukua walimu wa tanzania pia..nafikiria kawaacha wakenya...bwahahaa
Yaaani Wakenywa Magufuli kawashika pabayaTanzania Lazima Iende Mbele
Ndio sababu wanamchukia sanaYaaani Wakenywa Magufuli kawashika pabaya
Ninawashauri wakenya waungane na kufanya kazi na Magufuli badala ya kushindana naye.
Nimefurahi Mr President Kampa na vitabu vya kiswahili vilivyoandikwa Chuo Kikuu cha DSM [emoji23][emoji23][emoji23]
Ikiwemo kamusi kutoka TUKI
Nilishangaa kuona Magufuli anaenda kuhudhuria sherehe wakati sio kawaida yake, tena alitumia Airbus ya Air Tanzania, kumbe alikua yuko katika "mission " maalumu ya kuyachinja tena Nyang'au, ama kweli Magufuli ni kiboko ya wakenya. Kumbe Airbus yote ili alijaza vitabu vya kiswahili kuwapelekea wazulu na Xosa wajifunze lugha yetu hadhimu ya kiswahili. Magufuli hoyeeeeeeeeee.Hongera JPM,
Tulisema humu kuwa MoU ni karatasi tu mpaka hapo utakapo sign a PSA ndio uanze kushangilia...
Bao hili la mkono halina tofauti na lile la Bomba la mafuta na SGR....
Aah wapi, kazi kuiga tu, mbona hizi fursa zilikuwepo kabla ya Kenya kuzichangamkia? Kenya ndio baba yao A.M. tukifanya lolote mnafatilia kwa umakini wa hali ya juu ili mjifunze. Hamna idea, mpo mpo tu.Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Ni Mpambanaji Anajua Kila Siku Anasikia Wanayoyataka Watanzania
Nilishangaa kuona Magufuli anaenda kuhudhuria sherehe wakati sio kawaida yake, tena alitumia Airbus ya Air Tanzania, kumbe alikua yuko katika "mission " maalumu ya kuyachinja tena Nyang'au, ama kweli Magufuli ni kiboko ya wakenya. Kumbe Airbus yote ili alijaza vitabu vya kiswahili kuwapelekea wazulu na Xosa wajifunze lugha yetu hadhimu ya kiswahili. Magufuli hoyeeeeeeeeee.
Lengo la Magufuli ni kuwavurugia kama alivyofanya katika bomba la Uganda.Aah wapi, kazi kuiga tu, mbona hizi fursa zilikuwepo kabla ya Kenya kuzichangamkia? Kenya ndio baba yao A.M. tukifanya lolote mnafatilia kwa umakini wa hali ya juu ili mjifunze. Hamna idea, mpo mpo tu.
TUKI ndo baba la mababa wa Kiswahili,Na Rwanda nao officially wameachana na Kifaransa Lugha yao sasa ni Kiswahili..Ngoja nikaombe kazi ya kufundishwa Rwanda https://www.watchdoguganda.com/news...rops-english-french-in-favour-of-swahili.htmlNimefurahi Mr President Kampa na vitabu vya kiswahili vilivyoandikwa Chuo Kikuu cha DSM [emoji23][emoji23][emoji23]
Ikiwemo kamusi kutoka TUKI
Dah! Alafu yeye sasa ndio mnamuita akili kubwa? Kenya hatukuwaza kuhusu mtu yeyote yule tulipochangamkia fursa na tukafanikiwa. Tafakari hayo.Lengo la Magufuli ni kuwavurugia kama alivyofanya katika bomba la Uganda.