Elections 2015 Magufuli akutana na nguvu ya Umma Mbeya, azomewa, aambiwa wanamtaka Lowassa

kuzomea ni kitendo cha uoga na kushindwa hoja...ni upuuzi na propaganda za kitoto.
 
kuzomea ni kitendo cha uoga na kushindwa hoja...ni upuuzi na propaganda za kitoto.
jiulize kwanini wananchi wanazomea halafu mwishoni wanatishiwa kua wakichagua mtu tofauti na anayetakiwa hawatapewa maendeleo ya kujengewa barabara. Je kutishia sio uhalifu?
 
This is a clear message kuwa hawakubaliani na "ukatili" wake! Ukikubali ukweli huo, basi utakuwa mstaarabu sana! and you get a to make reformation of your deeds! Huyo ndugu yako ametesa watu sana, kuna maumivu makali mioyoni mwa watu!
 
Kipaumbele cha kwanza elimu
cha pili elimu
cha tatu elimu.

Mgombea urais chadema 2015.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…