Magufuli alikosea sehemu moja tu: Kuipenda CCM kuliko Taifa

Magufuli alikosea sehemu moja tu: Kuipenda CCM kuliko Taifa

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Tatizo moja tu ambalo Hayati Magufuli alikuwa nalo ni kupenda chama chake cha siasa CCM kuliko nchi ya Tanzania. Hii ilisababisha sana yeye kuangalia maslahi ya chama bila kujali maafa yake kwa taifa na nitatoa mifano michache

1. Kitendo cha kutumia usalama wa taifa kuchunguza wanasiasa wa upinzani ni kusaidia CCM lakini haijanufaisha taifa. Hii imefanya mpaka sasa watu kutokuamini usalama wa taifa badala yake wanaona ni kama chombo cha kisiasa zaidi kuliko kitengo cha usalama wa nchi

2. Kitendo cha kuzuia mikutano ya siasa bila sababu ya kimsingi ya kikatiba nayo imeweka dosari kubwa sana kwenye taifa na kuweka fikra kwa viongozi wajawo wasiheshimu sheria. Huwezi kuwa Raisi wa nchi halafu ukatumia madara yako kufanya vitu vya kunufaisha upande wa chama chako pekee. Msingi wa katiba ni ushindani wa hoja na uchaguzi huru na kama ukiondoa upinzani ni sawa na kukatalia katiba ambayo wewe mwenyewe umeapa kuilinda.

3. Kitendo cha wanasiasa wa wapinzani kupigwa risasi, kubambikwa kesi na hata wengine kupotea. Nchi kama Tanzania na usalama wake huwezi kupigwa risasi bila watu wa usalama kujua! Hii wala halina mjadala Hayati Magu aliweka mbele chama kuliko taifa. Vilevile walishidwa hata kutoa ushahidi wa wale waliopigwa risasi kama kweli walikuwa wanahatarisha taifa! Huwezi kuagiza au kuruhusu watu wauliwe kwasababu tu ni wa vyama pinzani . Hii ni kujali chama zaidi ya taifa.

4 Uchaguzi wa serikali za mitaa na wa mwaka 2020 usalama wa taifa waliutaifisha. Huwezi kitendo cha kuweka wabunge karibu wote wa CCM kwa kuiba na kubadilisha kura bila kujali nchi au hata wananchi kwa manufaa ya chama sio sawa. Mpedwa wetu alikosea hapa na Mungu amsamehe.Sasa kama mbinu ilikuwa kuongezewa muda wa Uraisi Mungu hakutaka hivyo. Na Hii ndiyo maana ni muhimu kufuata misingi na haki maana huwezi kujua kama utakuwepo!

Kuna mengi kafanya mazuri lakini kwenye siasa mpedwa wetu alikosea sana.

Mama ameona hii na ata jaribu kujali nchi kuliko chama hata kama akipata maadui ndani ya chama ilimradi Mtanzania anaendelea
 
Jamaa aliona kama amefika na ni Raisi wa milele ....!! Kiufupi Tu jamaa alichukuwa nchi bila kujifunza dunia inaendaje , unakuja na mbinu za akina kagame na Mseveni watu waliochukua nchi zikiwa bado mabumbumbu wengi , alaf unakuja kuziapply kwenye nchi ambayo kiwango cha democracy kipo juu , too late , hapo lazima ukumbane na upinzani angle zote na huwez kutoboa
 
Tatizo sio mwendazake tatizo ni la sisi wapiga vigelegele. Tulizidisha kupiga vigelegele mpaka vikamchanganya mwendazake ajui nini awafanyie Watanzania
 
Tatizo moja tu ambalo Hayati Magufuli alikuwa nalo ni kupenda chama chake cha siasa CCM kuliko nchi ya Tanzania. Hii ilisababisha sana yeye kuangalia maslahi ya chama bila kujali maafa yake kwa taifa na nitatoa mifano michache

1. Kitendo cha kutumia usalama wa taifa kuchunguza wanasiasa wa upinzani ni kusaidia CCM lakini haijanufaisha taifa. Hii imefanya mpaka sasa watu kutokuamini usalama wa taifa badala yake wanaona ni kama chombo cha kisiasa zaidi kuliko kitengo cha usalama wa nchi

2. Kitendo cha kuzuia mikutano ya siasa bila sababu ya kimsingi ya kikatiba nayo imeweka dosari kubwa sana kwenye taifa na kuweka fikra kwa viongozi wajawo wasiheshimu sheria. Huwezi kuwa Raisi wa nchi halafu ukatumia madara yako kufanya vitu vya kunufaisha upande wa chama chako pekee. Msingi wa katiba ni ushindani wa hoja na uchaguzi huru na kama ukiondoa upinzani ni sawa na kukatalia katiba ambayo wewe mwenyewe umeapa kuilinda.

3. Kitendo cha wanasiasa wa wapinzani kupigwa risasi, kubambikwa kesi na hata wengine kupotea. Nchi kama Tanzania na usalama wake huwezi kupigwa risasi bila watu wa usalama kujua! Hii wala halina mjadala Hayati Magu aliweka mbele chama kuliko taifa. Vilevile walishidwa hata kutoa ushahidi wa wale waliopigwa risasi kama kweli walikuwa wanahatarisha taifa! Huwezi kuagiza au kuruhusu watu wauliwe kwasababu tu ni wa vyama pinzani . Hii ni kujali chama zaidi ya taifa.

4 Uchaguzi wa serikali za mitaa na wa mwaka 2020 usalama wa taifa waliutaifisha. Huwezi kitendo cha kuweka wabunge karibu wote wa CCM kwa kuiba na kubadilisha kura bila kujali nchi au hata wananchi kwa manufaa ya chama sio sawa. Mpedwa wetu alikosea hapa na Mungu amsamehe.Sasa kama mbinu ilikuwa kuongezewa muda wa Uraisi Mungu hakutaka hivyo. Na Hii ndiyo maana ni muhimu kufuata misingi na haki maana huwezi kujua kama utakuwepo!

Kuna mengi kafanya mazuri lakini kwenye siasa mpedwa wetu alikosea sana.

Mama ameona hii na ata jaribu kujali nchi kuliko chama hata kama akipata maadui ndani ya chama ilimradi Mtanzania anaendelea
Porojo tupu.
 
Asante hayati rais Magufuli kwa kutuachia wosia wa kuacha hofu na kumtegemea Mungu kwa kila jambo.

Kimbunga Jobo na Corona wamekiona cha mtema kuni Tanzania.
 
Tatizo moja tu ambalo Hayati Magufuli alikuwa nalo ni kupenda chama chake cha siasa CCM kuliko nchi ya Tanzania. Hii ilisababisha sana yeye kuangalia maslahi ya chama bila kujali maafa yake kwa taifa na nitatoa mifano michache

1. Kitendo cha kutumia usalama wa taifa kuchunguza wanasiasa wa upinzani ni kusaidia CCM lakini haijanufaisha taifa. Hii imefanya mpaka sasa watu kutokuamini usalama wa taifa badala yake wanaona ni kama chombo cha kisiasa zaidi kuliko kitengo cha usalama wa nchi

2. Kitendo cha kuzuia mikutano ya siasa bila sababu ya kimsingi ya kikatiba nayo imeweka dosari kubwa sana kwenye taifa na kuweka fikra kwa viongozi wajawo wasiheshimu sheria. Huwezi kuwa Raisi wa nchi halafu ukatumia madara yako kufanya vitu vya kunufaisha upande wa chama chako pekee. Msingi wa katiba ni ushindani wa hoja na uchaguzi huru na kama ukiondoa upinzani ni sawa na kukatalia katiba ambayo wewe mwenyewe umeapa kuilinda.

3. Kitendo cha wanasiasa wa wapinzani kupigwa risasi, kubambikwa kesi na hata wengine kupotea. Nchi kama Tanzania na usalama wake huwezi kupigwa risasi bila watu wa usalama kujua! Hii wala halina mjadala Hayati Magu aliweka mbele chama kuliko taifa. Vilevile walishidwa hata kutoa ushahidi wa wale waliopigwa risasi kama kweli walikuwa wanahatarisha taifa! Huwezi kuagiza au kuruhusu watu wauliwe kwasababu tu ni wa vyama pinzani . Hii ni kujali chama zaidi ya taifa.

4 Uchaguzi wa serikali za mitaa na wa mwaka 2020 usalama wa taifa waliutaifisha. Huwezi kitendo cha kuweka wabunge karibu wote wa CCM kwa kuiba na kubadilisha kura bila kujali nchi au hata wananchi kwa manufaa ya chama sio sawa. Mpedwa wetu alikosea hapa na Mungu amsamehe.Sasa kama mbinu ilikuwa kuongezewa muda wa Uraisi Mungu hakutaka hivyo. Na Hii ndiyo maana ni muhimu kufuata misingi na haki maana huwezi kujua kama utakuwepo!

Kuna mengi kafanya mazuri lakini kwenye siasa mpedwa wetu alikosea sana.

Mama ameona hii na ata jaribu kujali nchi kuliko chama hata kama akipata maadui ndani ya chama ilimradi Mtanzania anaendelea
Unajua kwakuwa alijua kabisa kuwadhibiti ccm ili kufanikisha azma yake ya kuwa President wa Muyaya ni kazi rahisi lakini sasa kikwazo kilikuwa ni kwa wapinzani. Alijua kabisa wakiendelea kuwepo bungeni na kwenye mabaraza ya udiwani wangemuwekea kauzibe katika kutimiza azma yake ya kuwa Mtawala wa kudumu kama walivyo marafiki zake na ma Mentor wake.

Sasa akaona dawa ni kuwaondoa kwenye udiwani, kwenye ubunge na popote watakapokuwa.

Alishindwa kutambua kuwa kwa upinzani ulipofikia ni vigumu sana kuumaliza kwa mbinu zozote zile.
 
Unajua kwakuwa alijua kabisa kuwadhibiti ccm ili kufanikisha azma yake ya kuwa President wa Muyaya ni kazi rahisi lakini sasa kikwazo kilikuwa ni kwa wapinzani. Alijua kabisa wakiendelea kuwepo bungeni na kwenye mabaraza ya udiwani wangemuwekea kauzibe katika kutimiza azma yake ya kuwa Mtawala wa kudumu kama walivyo marafiki zake na ma Mentor wake.

Sasa akaona dawa ni kuwaondoa kwenye udiwani, kwenye ubunge na popote watakapokuwa.

Alishindwa kutambua kuwa kwa upinzani ulipofikia ni vigumu sana kuumaliza kwa mbinu zozote zile.
Thanks god for Divine intervation he is gone
 
Tatizo moja tu ambalo Hayati Magufuli alikuwa nalo ni kupenda chama chake cha siasa CCM kuliko nchi ya Tanzania. Hii ilisababisha sana yeye kuangalia maslahi ya chama bila kujali maafa yake kwa taifa na nitatoa mifano michache

1. Kitendo cha kutumia usalama wa taifa kuchunguza wanasiasa wa upinzani ni kusaidia CCM lakini haijanufaisha taifa. Hii imefanya mpaka sasa watu kutokuamini usalama wa taifa badala yake wanaona ni kama chombo cha kisiasa zaidi kuliko kitengo cha usalama wa nchi

2. Kitendo cha kuzuia mikutano ya siasa bila sababu ya kimsingi ya kikatiba nayo imeweka dosari kubwa sana kwenye taifa na kuweka fikra kwa viongozi wajawo wasiheshimu sheria. Huwezi kuwa Raisi wa nchi halafu ukatumia madara yako kufanya vitu vya kunufaisha upande wa chama chako pekee. Msingi wa katiba ni ushindani wa hoja na uchaguzi huru na kama ukiondoa upinzani ni sawa na kukatalia katiba ambayo wewe mwenyewe umeapa kuilinda.

3. Kitendo cha wanasiasa wa wapinzani kupigwa risasi, kubambikwa kesi na hata wengine kupotea. Nchi kama Tanzania na usalama wake huwezi kupigwa risasi bila watu wa usalama kujua! Hii wala halina mjadala Hayati Magu aliweka mbele chama kuliko taifa. Vilevile walishidwa hata kutoa ushahidi wa wale waliopigwa risasi kama kweli walikuwa wanahatarisha taifa! Huwezi kuagiza au kuruhusu watu wauliwe kwasababu tu ni wa vyama pinzani . Hii ni kujali chama zaidi ya taifa.

4 Uchaguzi wa serikali za mitaa na wa mwaka 2020 usalama wa taifa waliutaifisha. Huwezi kitendo cha kuweka wabunge karibu wote wa CCM kwa kuiba na kubadilisha kura bila kujali nchi au hata wananchi kwa manufaa ya chama sio sawa. Mpedwa wetu alikosea hapa na Mungu amsamehe.Sasa kama mbinu ilikuwa kuongezewa muda wa Uraisi Mungu hakutaka hivyo. Na Hii ndiyo maana ni muhimu kufuata misingi na haki maana huwezi kujua kama utakuwepo!

Kuna mengi kafanya mazuri lakini kwenye siasa mpedwa wetu alikosea sana.

Mama ameona hii na ata jaribu kujali nchi kuliko chama hata kama akipata maadui ndani ya chama ilimradi Mtanzania anaendelea
CCM wamejifanya miungu kwenye nchi hii. Wanatutawala wanavyotaka, wanafanya wanachotaka, kiujumla wamelewa madaraka na lao ni moja tu kulinda madaraka yao kwa gharama yoyote.
Ukisikia lugha yao, wawe bungeni, au kwingineko ni kana kwamba nchi hii kawapa Mungu peke yao.
Mabadiliko kwenye nchi hii yanategemea divine intervention, basi.
Au watake wao.
Kumbuka madaraka ya kulevya, huharibu wenye madaraka hayo kabisa.
Absolute power corrupts absolutely.
 
Alikosea mengi tu, hayana hata idadi, tukianza kuyaandika tutaishia kujaza server za JamiiForums.

Ila kubwa kuliko yote, alikosea kuwa muongo kupita kiasi. Khaaaah yule mzee anahitaji tuzo ya uongo, haki ya mungu.

Makosa yake yanaitesa familia yake sasa hivi hayupo, si kwa madudu aliofanya kuwekwa wazi na matusi anayotolewa Marehemu mzee wao.
 
Msinichanganyie.......*nileteeni Gwajima hahahahaaha Mungu atabaki kuwa juu,katuepusha na sintofahamu iliyokuwa ikiendelea nchini bila kumwaga damu duhhhh
CCM wamejifanya miungu kwenye nchi hii. Wanatutawala wanavyotaka, wanafanya wanachotaka, kiujumla wamelewa madaraka na lao ni moja tu kulinda madaraka yao kwa gharama yoyote.
Ukisikia lugha yao, wawe bungeni, au kwingineko ni kana kwamba nchi hii kawapa Mungu peke yao.
Mabadiliko kwenye nchi hii yanategemea divine intervention, basi.
Au watake wao.
Kumbuka madaraka ya kulevya, huharibu wenye madaraka hayo kabisa.
Absolute power corrupts absolutely.
 
Mungu amsamehe.Sasa kama mbinu ilikuwa kuongezewa muda wa Uraisi Mungu hakutaka hivyo. Na Hii ndiyo maana ni muhimu kufuata misingi na haki maana huwezi kujua kama utakuwepo!

Hapo kwenye kumuombea msamaha eti MUNGU amsamehe hapana kwakweli AHUKUMIWE TU kwa matendo yake mabaya aliyofanya katika uongozi wake

Na ikiwa itatokezea mizani ya mazuri yake itazidi mabaya basi afunguliwe mlango wa PEPO (hili ni gumu kwa sababu alukusudia kutoa uhai wa watu wengi. Kwa misingi ya dini karibu zote kuua binadamu mwenzio halina msamaha)

Ila ikitokea mabaya yakizidi mazuri hapana kwakweli MOTO wa JEHANAMU unamuhusu
 
Porojo tupu.
Porojo za ukweli lakini na wewe unajua kama ni za ukweli basi tu unajitia wazimu na kujitoa ufahamu

Wenzio amabo walikua karibu yake zaidi kuliko wewe wameanza kugeuka huko na kukiri kuwa alikurupuka we unasubiri nini?

20210426_015138.jpg
 
Back
Top Bottom