Magufuli alikosea sehemu moja tu: Kuipenda CCM kuliko Taifa

Dah yule mzee alikuwa katili sana aisee na alikokuwa anatupeleka ndo kulikuwa kubaya zaidi. Baada tu ya kuulawiti uchaguzi 2020 akajipitisha kwa kishindo nilikata tamaa kabisa nikaamini kwa 100% kuwa anaenda kuilawiti katiba atawale (si kuongoza) milele! Pia ishu ya mishahara kwa watumishi (ambao katutesa kupita maelezo), kilichokuwa kinafuata ni kuanza hata kupunguziwa kabisa!

As a human sikufurahia kutoka kwake madarakani kwa kifo, lakini kuna furaha ya uhuru na amani ilinishukia automatically! Nafikiri Mungu aliamua kuingilia kati aisee. Dah mzee alikuwa katili sana yaani!!!
 
Alikuwa ana nafasi nzuri ya kuiletea nchi maendeleo bila kufungamana na maovu. Pemgine ni masharti ya mganga na Zile jumuia za Siri zilimlazimisha afanye vile. Kuna wakati ulikuwa unajiuliza hivi huyu mzee anafaidikaje na mfumo huu?
 
Mungu anaipenda sana Tanzania. Wacha Mungu ?tuliomba usiku na mchana.
 
Awe kuni kabisa za moto wa jehanam
 
Porojo za ukweli lakini na wewe unajua kama ni za ukweli basi tu unajitia wazimu na kujitoa ufahamu

Wenzio amabo walikua karibu yake zaidi kuliko wewe wameanza kugeuka huko na kukiri kuwa alikurupuka we unasubiri nini?

View attachment 1764297
Tena hawa walionufaika fala mwingine hata ubalozi wa mtaa hana anatetea shetani magu
 
Mzee alikuwa mwongo hata shetani hamfikki
 
Jamaa alikuwa na sanaa nyingi sana ili aonekane anapendwa, alikuwa radhi kutumia trillions of money za walipa kodi ili tu zikatumike kutengeneza tukio la kuonesha kuwa anapendwa sana, eti muuza maindi anampelekea muindi huku akiwa na bastola kiunon[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…