Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Ushauri wake kuhusu chanjo umeendelea kuwaumbua walio hadaa umma kuwa chanjo ya Corona ni muhimu sana.
Haya sasa visa kadhaa vya watu kuganda damu vimeanza kutokea chanzo kikitajwa kuwa ni chanjo. Tunapo elekea wanasayansi watakuja na chanjo ya kuwazimua wote waliochanjwa ili wasipate madhara.
Genius Magufuli hana baya sema alininyima bandari zenu ila kwasasa nimepewa bure.
Haya sasa visa kadhaa vya watu kuganda damu vimeanza kutokea chanzo kikitajwa kuwa ni chanjo. Tunapo elekea wanasayansi watakuja na chanjo ya kuwazimua wote waliochanjwa ili wasipate madhara.
Genius Magufuli hana baya sema alininyima bandari zenu ila kwasasa nimepewa bure.