Magufuli alikuwa mkweli aliposema kuwa nchi hii ni tajiri sana, tatizo ni watawala wetu, ambao hawawezi kupanga vipaumbele vya matumizi

Magufuli alikuwa mkweli aliposema kuwa nchi hii ni tajiri sana, tatizo ni watawala wetu, ambao hawawezi kupanga vipaumbele vya matumizi

Mystery

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
15,843
Reaction score
31,057
Bado nayakumbuka maneno aliyokuwa akiyatamka mara Kwa mara, Rais wa awamu ya 5, Mwendazake John Magufuli kuwa nchi hii ni tajiri sana, ambayo inaweza hata kuwa ni mfadhili wa nchi nyingine, badala ya kuwa Kila siku kuwa omba omba wa misaada.

Nitatoa mifano michache kuthibitisha kuwa nchi yetu siyo masikini kivile, Ila tatizo ni viongozi wetu, katika kupanga vipaumbele vya matumizi.

Kila Rais Samia anapofanya ziara mikoani, anakuwa na misafara mikubwa mno ya magari yasiyopungua 100, ambayo ni matumizi mabaya mno, ambapo ni pesa zetu walipa Kodi wa nchi hii.

Rais anafikia hatua ya kugawa pesa katika mambo ambayo hayana tija.

Rais analipa Kila goli linalofungwa Kwa vilabu ya mpira wa miguu, vinavyoshiriki mashindano ya club bingwa Afrika, goli Moja shilingi milioni Tano, ambazo ni pesa za walipa Kodi wa nchi hii!

Rais anakuwa na Ikulu tatu, ambazo ni Ile ya makao makuu, Dodoma.
Ikulu ya magogoni Dar-es-sdlaam na hiyo ya kizimkazi Zanzibar, ambapo zote hizo Ikulu 3 zinahudumiwa Kwa mabilioni ya pesa ya walipa Kodi wa nchi hii!

Abdul, mtoto wa Rais, Kila siku anatembea na mabulungutu ya pesa za kutaka kuwahonga wapinzani, watakaokubali, kuhama vyama vya upinzani, na kujiunga na CCM, ambazo ni pesa za walipa Kodi wa nchi hii!

Hivi Kwa mifano hiyo michache ya matumizi ya hovyo kabisa za pesa za walipa Kodi wa nchi hii, unategemea kweli maisha ya watanzania yaboreke??

Badala yake ndiyo unakuta maisha ya watanzania, walio wengi yanazidi kudidimia, Kwa msemo wa waswahili, wanasema afadhali ya Jana.

Kitu ambacho nakishangaa zaidi, hayo matumizi yote ya hovyo, hayapangwi na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambalo ndilo lenye mamlaka pekee, Kwa mujibu wa wa Katiba ya nchi, liliopewa mamlaka ya kupanga bajeti ya Kila wizara, Kila mwaka!

Huyo Magu, kasoro yake kubwa ilikuwa ni Moja tu, alikandamiza sana Demokrasia, lakini kiutendaji alikuwa anafanya vizuri sana

Nawaomba wasomaji wengine wa JF, muongezee matumizi mengine ya hovyo, yanayofanywa na hawa watawala wetu
 
Tanzania haipo tayari kuendelea na nchi haipo hapo kwa bahati mbaya.

Pamoja na resources zote tulizonazo; tu maskini kwa sababu ya uwezo mdogo wa senior civil servants na succession planning ya CCM (sitaki kutaja majina ya watoto wa viongozi) Iła baadhi yao wenye madaraka ukikaa ukiwasikiliza salalee ni ma mbumbumbu mzungu wa reli balaa.

Hata hivyo CCM can afford to be stupid, but not the civil services wao ndio wenye long term interest ya nchi na kutambua mbinu za ku manipulate poyoyo yoyote chama cha siasa kitakochomleta kama raisi havurugi mipango yao ya kuhakikisha nchi ina maintain long term goals zao za kuikuza nchi kiuchumi, ulinzi and gaining global influence. Na hiyo kazi sio rahisi kwa Tanzania.

Shida kubwa ya Tanzania ni mtu wa kubadili culture ya kufanya mambo na hiyo kazi sio nyepesi. Magufuli alianza vizuri ila kafa kishamba kweli kwa ubishi wake kwa kuweka wasaidizi wa hovyo ambao untrained in national security matters. Yaani Air Tanzania Dreamliner hiko pembeni, Dr Bashiru alishindwa kuamua wachomoe viti wapate nafasi ya kuweka kitanda wamrushe hata uingereza safari ya masaa sita direct baada ya kuona hali yake tata unamuachia Janabi huyu huyu poyoyo tunaemskiliza maisha ya raisi, jamaa hovyo kweli.

Watanzania akili zetu nyepesi sana utasikia tumepata uhuru sawa na Singapore, leo atuwagusi na hawana resources.

Kweli Singapore kilichowatoa ni port advantage tu kama tuliyonayo sisi, tena kwetu advantage ni kubwa zaidi kwa nchi zilizotuzunguka.

Singapore tumewazidi zaidi hawana arible land wala natural resources kama Tanzania, tulitakiwa tuwe tumeendelea kushinda wao.

Sasa imekuwaje leo sisi matajiri wa natural resources ni maskini kushinda wao kwa mfumo huo huo wa chama kimoja. Nenda kasome namna ‘Lee Kuan Yew’ alivyofanya mageuzi kwa mkono wa chuma. Huyo Magufuli utamuona saint kwa matendo yake. Hata yeye mwanzo akueleweka na wazungu leo wanakubali jamaa alikuwa na plan given nchi kaikuta Ina hali gani.

Shida ya Tanzania ni uwezo mdogo wa kuendesha nchi.
 
Tanzania aipo tayari kuendelea nchi haipo hapo kwa bahati mbaya.

Pamoja na resources zote tulizonazo tu maskini kwa sababu ya uwezo mdogo wa senior civil servants na succession planning ya CCM (sitaki kutaja majina ya watoto wa viongozi) Iła baadhi yao wenye madaraka ukikaa ukiwasikiliza salalee ni ma mbumbumbu mzungu wa reli balaa.

Hata hivyo CCM can afford to be stupid but not civil services wao ndio wenye long term interest ya nchi na kutambua mbinu za ku manipulate poyoyo yoyote chama cha siasa kitakochomleta kama raisi havurugi mipango yao ya kuhakikisha nchi ina maintain long term goals zao za kuiendeleza nchi kiuchumi, ulinzi and gaining global influence.

Na hiyo kazi sio rahisi kwa Tanzania, shida kubwa ya Tanzania ni mtu wa kubadili culture ya kufanya mambo na hiyo kazi sio nyepesi. Magufuli alianza vizuri ila kafa kishamba kweli kwa ubishi wake ni kuweka wasaidizi wa hovyo (air Tanzania hiko pembeni, Dr Bashiru alishindwa kuamua wachomoe viti ya kuweka kitanda wamrushe hata uingereza baada ya kuona hali yake tata unamuachia Janabi huyu huyu poyoyo tunaemskiliza maisha ya raisi) hovyo kweli.

Watanzania akili zetu nyepesi sana utasikia tumepata uhuru sawa na Singapore leo atuwagusi na hawana resources.

Kweli Singapore kilichowatoa ni port advantage tu kama tuliyonayo sisi, tena kwetu advantage ni kubwa zaidi kwa nchi zilizotuzunguka.

Singapore tumewazidi zaidi hawana arible land wala natural resources kama Tanzania, tulitakiwa tuwe tumeendelea kushinda wao.

Sasa imekuwaje leo sisi matajiri wa natural resources ni maskini kushinda wao kwa mfumo huo huo wa chama kimoja. Nenda kasome namna ‘Lee Kuan Yew’ alivyofanya mageuzi kwa mkono wa chuma. Huyo Magufuli utamuona saint kwa matendo yake. Hata yeye mwanzo akueleweka na wazungu leo wanakubali jamaa alikuwa na plan given nchi kaikuta Ina hali gani.

Shida ya Tanzania ni uwezo mdogo wa kuendesha nchi.
Ukitaka kujua kweli Magufuli alikuwa na uchungu na nchi hii na alitaka kweli kuiendeleza kiuchumi, yeye ndiye aliyeanzisha miradi mikubwa 2, ambayo itakuwa na maslahi makubwa kiuchumi, ambayo ni mradi wa umeme wa Bwawa la Mwalimu Nyerere na reli ya SGR, itakayorahisisha kusafirisha mizigo Hadi nchi za jirani

Huyu Mama hakuna Cha maana anachofanya, badala yake katika serikali yake amejaza machawa wa kusifu tu😀
 
Ukitaka kujua kweli Magufuli alikuwa na uchungu na nchi hii na alitaka kweli kuiendeleza kiuchumi, yeye ndiye aliyeanzisha miradi mikubwa 2, ambayo itakuwa na maslahi makubwa kiuchumi, ambayo ni mradi wa umeme wa Bwawa la Mwalimu Nyerere na reli ya SGR, itakayorahisisha kusafirisha mizigo Hadi nchi za jirani
Kubwa zaidi ya miradi kwangu mimi ni kauli yake ‘mkitaka mtu wa kubembeleza subirini nitoke, hapa kazi tu’.

Hiyo ndio shida kubwa ya watanzania (culture) mazoea ya kufanya mambo kuanzia kwa wananchi, serikalini, vyama vya siasa bungeni na baadhi ya wafanyabiashara.

Magufuli alikuwa anawapa akili ya kuwa adoptive na mazingira. Mambo yskibadilika na wewe lazima ubadilike hivyo ndivyo mambo yanavyoenda duniani.

Watanzania wamekariri mambo na hawataki kubadilika hasa hayo makundi niliyoyataja awali, na kazi ya kubadili watu tabia sio rahisi na aikosi resistance hasa kama changes ni abrupt.

Ndio msingi mzima wa science ya ‘change management’ theories zake, na zenyewe zina mipaka ya kubembelezana.

Sasa kuelewa changamoto za Singapore nchi ambayo ilikuwa imejaaa mateja wakati ‘‘Lee Kuan Yew’ anaipokea, ina cultural divisions (based on ethnicity), uchumi wake unategemea (resources za Malaysia) ambao waliwaachia wajitoe kwa kujua ghasia tu maskini ya kutupa.

Advantage ya Singapore ilikuwa ni port tu tena kwa nchi moja Malaysia na kuwafukia wengine kuweka port hub. Worst mwekezaji mkubwa wa port alikuwa mwingereza na alijitia baada ye Singapore kupata uhuru.

Tyson’s historia ya ‘‘Lee Kuan Yew’ mbinu zake za kuibadili Singapore kwa karata alizolisi aikuwa kazi ndogo.

Nchi yetu sio na civil services sio ya kizslwndo Magufuli alitakiwa kulindwa kwa nguvu zote ata kuongezewa muda kulikuwa na justification.

Kafa kishamba kweli halafu mapoyoyo yaliyobaki yanashangalia kujiona washindi. Singapore hawapo hapo walipo kwa democracy Iła kwa vision za ‘‘Lee Kuan Yew’ na Magufuli alikuwa na vision sema ushamba wake ni usalama wa hovyo mjomba chanja COVID sio mzaha aelewi. Jamaa kawaangusha sana watanzania kwa ushamba wake
 
Tanzania aipo tayari kuendelea nchi haipo hapo kwa bahati mbaya.

Pamoja na resources zote tulizonazo tu maskini kwa sababu ya uwezo mdogo wa senior civil servants na succession planning ya CCM (sitaki kutaja majina ya watoto wa viongozi) Iła baadhi yao wenye madaraka ukikaa ukiwasikiliza salalee ni ma mbumbumbu mzungu wa reli balaa.

Hata hivyo CCM can afford to be stupid but not civil services wao ndio wenye long term interest ya nchi na kutambua mbinu za ku manipulate poyoyo yoyote chama cha siasa kitakochomleta kama raisi havurugi mipango yao ya kuhakikisha nchi ina maintain long term goals zao za kuiendeleza nchi kiuchumi, ulinzi and gaining global influence.

Na hiyo kazi sio rahisi kwa Tanzania, shida kubwa ya Tanzania ni mtu wa kubadili culture ya kufanya mambo na hiyo kazi sio nyepesi. Magufuli alianza vizuri ila kafa kishamba kweli kwa ubishi wake ni kuweka wasaidizi wa hovyo (air Tanzania hiko pembeni, Dr Bashiru alishindwa kuamua wachomoe viti ya kuweka kitanda wamrushe hata uingereza baada ya kuona hali yake tata unamuachia Janabi huyu huyu poyoyo tunaemskiliza maisha ya raisi) hovyo kweli.

Watanzania akili zetu nyepesi sana utasikia tumepata uhuru sawa na Singapore leo atuwagusi na hawana resources.

Kweli Singapore kilichowatoa ni port advantage tu kama tuliyonayo sisi, tena kwetu advantage ni kubwa zaidi kwa nchi zilizotuzunguka.

Singapore tumewazidi zaidi hawana arible land wala natural resources kama Tanzania, tulitakiwa tuwe tumeendelea kushinda wao.

Sasa imekuwaje leo sisi matajiri wa natural resources ni maskini kushinda wao kwa mfumo huo huo wa chama kimoja. Nenda kasome namna ‘Lee Kuan Yew’ alivyofanya mageuzi kwa mkono wa chuma. Huyo Magufuli utamuona saint kwa matendo yake. Hata yeye mwanzo akueleweka na wazungu leo wanakubali jamaa alikuwa na plan given nchi kaikuta Ina hali gani.

Shida ya Tanzania ni uwezo mdogo wa kuendesha nchi.
Well said..

NB.
All in all,
Hizi third world 🌎 countries including Tanzania ni Raw material for developed countries.

Nilikua napiga story na mwana diplomasia mmoja mcongoman akanambia unaona Hawa Marais wetu wanakua Chini ya maelekezo ukienda kinyume unafutwa (eraser) the same case kwa the late JPM na wengine wengi walio na ambao wame wai kujitutumua na kwenda against
 
Tanzania aipo tayari kuendelea nchi haipo hapo kwa bahati mbaya.

Pamoja na resources zote tulizonazo tu maskini kwa sababu ya uwezo mdogo wa senior civil servants na succession planning ya CCM (sitaki kutaja majina ya watoto wa viongozi) Iła baadhi yao wenye madaraka ukikaa ukiwasikiliza salalee ni ma mbumbumbu mzungu wa reli balaa.

Hata hivyo CCM can afford to be stupid but not civil services wao ndio wenye long term interest ya nchi na kutambua mbinu za ku manipulate poyoyo yoyote chama cha siasa kitakochomleta kama raisi havurugi mipango yao ya kuhakikisha nchi ina maintain long term goals zao za kuiendeleza nchi kiuchumi, ulinzi and gaining global influence.

Na hiyo kazi sio rahisi kwa Tanzania, shida kubwa ya Tanzania ni mtu wa kubadili culture ya kufanya mambo na hiyo kazi sio nyepesi. Magufuli alianza vizuri ila kafa kishamba kweli kwa ubishi wake ni kuweka wasaidizi wa hovyo (air Tanzania hiko pembeni, Dr Bashiru alishindwa kuamua wachomoe viti ya kuweka kitanda wamrushe hata uingereza baada ya kuona hali yake tata unamuachia Janabi huyu huyu poyoyo tunaemskiliza maisha ya raisi) hovyo kweli.

Watanzania akili zetu nyepesi sana utasikia tumepata uhuru sawa na Singapore leo atuwagusi na hawana resources.

Kweli Singapore kilichowatoa ni port advantage tu kama tuliyonayo sisi, tena kwetu advantage ni kubwa zaidi kwa nchi zilizotuzunguka.

Singapore tumewazidi zaidi hawana arible land wala natural resources kama Tanzania, tulitakiwa tuwe tumeendelea kushinda wao.

Sasa imekuwaje leo sisi matajiri wa natural resources ni maskini kushinda wao kwa mfumo huo huo wa chama kimoja. Nenda kasome namna ‘Lee Kuan Yew’ alivyofanya mageuzi kwa mkono wa chuma. Huyo Magufuli utamuona saint kwa matendo yake. Hata yeye mwanzo akueleweka na wazungu leo wanakubali jamaa alikuwa na plan given nchi kaikuta Ina hali gani.

Shida ya Tanzania ni uwezo mdogo wa kuendesha nchi.
Well said..

NB.
All in all,
Hizi third world 🌎 country including Tanzania ni Raw material for developed countries.

Nilikua napiga story na mwana diplomasia mmoja mcongoman akanambia unaona Hawa Marais wetu wanakua Chini ya maelekezo ukienda kinyume unafutwa (eraser) the same case kwa the late JPM na wengine wengi walio na ambao wame wai kujitutumua na kwenda against
 
Well said..

NB.
All in all,
Hizi third world 🌎 country including Tanzania ni Raw material for developed countries.

Nilikua napiga story na mwana diplomasia mmoja mcongoman akanambia unaona Hawa Marais wetu wanakua Chini ya maelekezo ukienda kinyume unafutwa (eraser) the same case kwa the late JPM na wengine wengi walio na ambao wai kujitutumua na kwenda against
Kwa sababu wazungu wanajua hiyo movement ni ‘one man band’ huyu kiongozi hana support ndani ya chama wala kwenye taasisi yake ya ulinzi.

Ukimtoa na movement yote kwisha, wakati kwao movement kama hizo (or long term goals za nchi ni plan za usalama) aje kiongozi wa conservative, labour or liberal; long term plans za nchi usalama wao wa taifa hawa compromise.

Wewe shinda uchaguzi wako na ilani unayojua mwenyewe lakini ukishapewa kuongoza serikali ilani yako watahakikisha aivurugi long term plan wanayoijua senior servants (anyway yao uwa more detailed based on security risks za nchi).

Sasa ukiona nchi raisi anaweza badili katibu mkuu kiongozi kirahisi (head of civil services) na mkurugenzi wa usalama kama Tanzania. Elewa hiyo ni nchi ya hovyo. Maana yake hata hao waongoza nchi (senior civil servants) hawana safeguarding measures za kuakikisha raisi ateui poyoyo yoyote ili tu awe chini ya control yake na kuvuruga mipango yao.

Hakuna usalama hapo Tanzania, watu awajaamua tu na wala hawana sababu ya kuivuruga nchi yaani Mange Kimambi na Maria Sarungi ndio influencers, that’s just a joke. Sasa kama hao ndio watu wanaowasambua wataweza mbinu za wazungu wakiamua kuvuruga nchi.
 
Kwa sababu wazungu wanajua hiyo movement ni ‘one man band’ huyu kiongozi hana support ndani ya chama wala kwenye taasisi yake ya ulinzi.

Ukimtoa na movement yote kwisha, wakati kwao movement kama hizo (or long term goals za nchi ni plan za usalama) aje kiongozi wa conservative, labour or liberal; long term plans za nchi usalama wao wa taifa awa compromiseZ

Wewe shinda uchaguzi wako na ilani unayojua mwenyewe lakini ukishapewa kuongoza serikali ilani yako watahskikisha aiharubu long term plan ya senior servants (anyway yao uwa more detailed based on security risks za nchi).

Sasa ukiona nchi raisi anaweza badili katibu mkuu kiongozi kirahisi na mkurugenzi wa usalama kama Tanzania jua hiyo ni nchi ya hovyo. Maana yake hata hao waongoza nchi hawana safeguarding measures za kuakikisha raisi ateui poyoyo yoyote ili tu awe chini ya control yake.

Hakuna usalama hapo Tanzania, watu awajaamua tu na wala hawana sababu ya kuivuruga yaani Mange Kimambi na Maria Sarungi ndio influencers, that’s just a joke. Sasa kama hao ndio watu wanaowasambua wataweza mbinu za wazungu wakiamua kuvuruga nchi.
Ni kweli ndio maana wengi wao huchagua upande na kua ma "puppet leader"

Na ukiwa msolid na mbishi + Ujuaji sana ukaenda kinyume na matakwa yao hawabishani na wewe una be ""ELIMINATED"" na inakua end of the story na ndio huwakuta WOTEE .

Kama taifa still tuna safar NDEFU SANAA kujinasua hapa tulipo kwenye huu mkwamo
 
Bado nayakumbuka maneno aliyokuwa akiyatamka mara Kwa mara, Rais wa awamu ya 5, Mwendazake John Magufuli kuwa nchi hii ni tajiri sana, ambayo inaweza hata kuwa ni mfadhili wa nchi nyingine, badala ya kuwa Kila siku kuwa omba omba wa misaada.

Nitatoa mifano michache kuthibitisha kuwa nchi yetu ni tajiri, Ila tatizo la viongozi wetu, katika kupanga vipaumbele vya matumizi.

Kila Rais anapofanya ziara mikoani, anakuwa na misafara mikubwa mno ya magari yasiyopungua 100, ambayo ni matumizi mabaya mno, ambapo ni pesa zetu walipa Kodi wa nchi hii.

Rais anafikia hatua ya kugawa pesa katika mambo ambayo hayana tija.

Rais analipa Kila goli linalofungwa Kwa vilabu ya mpira wa miguu, vinavyoshiriki mashindano ya club bingwa Afrika, goli Moja shilingi milioni Tano, ambazo ni pesa za walipa Kodi wa nchi hii!

Rais anakuwa na Ikulu tatu, ambazo ni Ile ya makao makuu, Dodoma.
Ikulu ya magogoni Dar-es-sdlaam na hiyo ya kizimkazi Zanzibar, ambapo zote hizo Ikulu 3 zinahudumiwa Kwa mabilioni ya pesa ya walipa Kodi wa nchi hii!

Abdul, mtoto wa Rais, Kila siku anatembea na mabulungutu ya pesa za kutaka kuwahonga wapinzani, watakaokubali, kuhama vyama vya upinzani, na kujiunga na CCM, ambazo ni pesa za walipa Kodi wa nchi hii!

Hivi Kwa mifano hiyo michache ya matumizi ya hovyo kabisa za pesa za walipa Kodi wa nchi hii, unategemea kweli maisha ya watanzania yaboreke??

Badala yake ndiyo unakuta maisha ya watanzania, walio wengi yanazidi kudidimia, Kwa msemo wa waswahili, wanasema afadhali ya Jana.

Kitu ambacho nakishangaa zaidi, hayo matumizi yote ya hovyo, hayapangwi na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambalo ndilo lenye mamlaka pekee, Kwa mujibu wa wa Katiba ya nchi, liliopewa mamlaka ya kupanga bajeti ya Kila wizara, Kila mwaka!

Huyo Magu, kasoro yake kubwa ilikuwa ni Moja, alikandamiza sana Demokrasia, lakini kiutendaji alikuwa anafanya vizuri sana

Nawaomba wasomaji wengine wa JF, muongezee matumizi mengine ya hovyo, yanayofanywa na hawa watawala wetu
This is sad. Mkuu, mkosoe Rais Samia, serikali yake na CCM kwa ujumla kwa uongozi mbovu, uongozi janga, uongozi msiba (tragedy). Utaeleweka. LAKINI kumtumia Magufuli kama kigezo linganifu kilicho sahihi cha maendeleo ya nchi hii ni kudhihirisha uelewa duni na mkanganyiko wa fikra kuhusu dhana nzima ya maendeleo.

Hakuna mlinzi (guardian) wa misimamo ya CCM anayestahili kuwa kigezo sahihi cha maendeleo ya nchi hii. Labda kama huwezi kusoma katikati ya mistari kuelewa ukweli kuhusu misimamo na mikakati ya hicho chama.

Jiulize tu kwa nini viongozi wa CCM hawataki demokrasia, uchaguzi huru na wa haki, haki za binadamu, katiba makini, uhuru wa vyombo vya habari na uhuru wa kupashana habari kwa ujumla. WOTE. Badala yake wanasisitiza amani, uzalendo na kuwaenzi viongozi. WOTE. Kipaumbele chao ni propaganda zaidi ya utendaji makini wa majukumu ya serikali. WOTE.

Kwao “kuwahubiria” wananchi na kuwaaminisha “mema” wanayayofanya (pasipo kuhojiwa) ni muhimu kuliko kitu chochote. WOTE. Na akitokea mtu kutaka kuwa fact-check uongo wao wanahamaki hadi kutaka kuua kutia vilema. WOTE.

Ni kama kulinganisha kifo kipi ni bora? Kuliwa na mamba au kuliwa na fisi (devil’s alternative).
 
Bado nayakumbuka maneno aliyokuwa akiyatamka mara Kwa mara, Rais wa awamu ya 5, Mwendazake John Magufuli kuwa nchi hii ni tajiri sana, ambayo inaweza hata kuwa ni mfadhili wa nchi nyingine, badala ya kuwa Kila siku kuwa omba omba wa misaada.

Nitatoa mifano michache kuthibitisha kuwa nchi yetu ni tajiri, Ila tatizo la viongozi wetu, katika kupanga vipaumbele vya matumizi.

Kila Rais anapofanya ziara mikoani, anakuwa na misafara mikubwa mno ya magari yasiyopungua 100, ambayo ni matumizi mabaya mno, ambapo ni pesa zetu walipa Kodi wa nchi hii.

Rais anafikia hatua ya kugawa pesa katika mambo ambayo hayana tija.

Rais analipa Kila goli linalofungwa Kwa vilabu ya mpira wa miguu, vinavyoshiriki mashindano ya club bingwa Afrika, goli Moja shilingi milioni Tano, ambazo ni pesa za walipa Kodi wa nchi hii!

Rais anakuwa na Ikulu tatu, ambazo ni Ile ya makao makuu, Dodoma.
Ikulu ya magogoni Dar-es-sdlaam na hiyo ya kizimkazi Zanzibar, ambapo zote hizo Ikulu 3 zinahudumiwa Kwa mabilioni ya pesa ya walipa Kodi wa nchi hii!

Abdul, mtoto wa Rais, Kila siku anatembea na mabulungutu ya pesa za kutaka kuwahonga wapinzani, watakaokubali, kuhama vyama vya upinzani, na kujiunga na CCM, ambazo ni pesa za walipa Kodi wa nchi hii!

Hivi Kwa mifano hiyo michache ya matumizi ya hovyo kabisa za pesa za walipa Kodi wa nchi hii, unategemea kweli maisha ya watanzania yaboreke??

Badala yake ndiyo unakuta maisha ya watanzania, walio wengi yanazidi kudidimia, Kwa msemo wa waswahili, wanasema afadhali ya Jana.

Kitu ambacho nakishangaa zaidi, hayo matumizi yote ya hovyo, hayapangwi na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambalo ndilo lenye mamlaka pekee, Kwa mujibu wa wa Katiba ya nchi, liliopewa mamlaka ya kupanga bajeti ya Kila wizara, Kila mwaka!

Huyo Magu, kasoro yake kubwa ilikuwa ni Moja, alikandamiza sana Demokrasia, lakini kiutendaji alikuwa anafanya vizuri sana

Nawaomba wasomaji wengine wa JF, muongezee matumizi mengine ya hovyo, yanayofanywa na hawa watawala wetu
Sisi tunanunulia magoli
 
Chama cha mapinduzi kwa sasa hakina tofauti na genge la wahuni, serikali iliyopo madarakani imejaa maharamia na majangili ambao malengo yao ni kujinufaisha wao binafsi, familia na marafiki zao.

CCM ikianguka na kuondoka madarakani, Taifa litasonga mbele.
 
Chama cha mapinduzi kwa sasa hakina tofauti na genge la wahuni, serikali iliyopo madarakani imejaa maharamia na majangili ambao malengo yao ni kujinufaisha wao binafsi, familia na marafiki zao.

CCM ikianguka na kuondoka madarakani, Taifa litasonga mbele.
Umenena kweli tupu, kuwa hawa viongozi wa serikali hii ya CCM, wanachoangalia wao ni Kula Kwa urefu wa kamba zao😀
By Samia Suluhu's voice
 
Lawama zote kwa CCM.....Miradi kibao imegoma. Wakandarasi hawajalipwa ila local contractors eti wamemnunulia Rais ndege.....
 
Rais wa awamu ya 5, Mwendazake John Magufuli kuwa nchi hii ni tajiri sana,
Yeye mwnewe alikuwa mshenzi tu,, alweka vipaumbele gani ili kuliinua taifa kiuchumi? Badala yake akawa anafanya vitu vya hovyo hovyo tu.
1. Kujenga daraja la Busisi....kwenda kwa wakwe zake.
2. Kuua, kuteka na kupora.
3. Kujenga SGR....reli isiyokuwa na faida chochezi kiuchumi.
4. Kujenga makao makuu Dodoma,....ili kampuni yake ya Mayanga Construction ipate tenda.
5. Kujenga Kijiji cha Chato ili kiwe jiji. ..ushamba tu
 
Bado nayakumbuka maneno aliyokuwa akiyatamka mara Kwa mara, Rais wa awamu ya 5, Mwendazake John Magufuli kuwa nchi hii ni tajiri sana, ambayo inaweza hata kuwa ni mfadhili wa nchi nyingine, badala ya kuwa Kila siku kuwa omba omba wa misaada.

Nitatoa mifano michache kuthibitisha kuwa nchi yetu ni tajiri, Ila tatizo la viongozi wetu, katika kupanga vipaumbele vya matumizi.
Naunga mkono hoja. Tanzania bado tuna tatizo la upangaji vipaumbele vyetu, baada ya Elimu, Afya na kilimo, ilipaswa ije nishati!. Ni aibu na hatari kupikia kuni na mkaa!
P
 
Wote wanaoiunga mkono hoja hii, mnapaswa kufika mbaali sana kwa mstakabari wa nchi yetu
 
Bado nayakumbuka maneno aliyokuwa akiyatamka mara Kwa mara, Rais wa awamu ya 5, Mwendazake John Magufuli kuwa nchi hii ni tajiri sana, ambayo inaweza hata kuwa ni mfadhili wa nchi nyingine, badala ya kuwa Kila siku kuwa omba omba wa misaada.

Nitatoa mifano michache kuthibitisha kuwa nchi yetu ni tajiri, Ila tatizo la viongozi wetu, katika kupanga vipaumbele vya matumizi.

Kila Rais anapofanya ziara mikoani, anakuwa na misafara mikubwa mno ya magari yasiyopungua 100, ambayo ni matumizi mabaya mno, ambapo ni pesa zetu walipa Kodi wa nchi hii.

Rais anafikia hatua ya kugawa pesa katika mambo ambayo hayana tija.

Rais analipa Kila goli linalofungwa Kwa vilabu ya mpira wa miguu, vinavyoshiriki mashindano ya club bingwa Afrika, goli Moja shilingi milioni Tano, ambazo ni pesa za walipa Kodi wa nchi hii!

Rais anakuwa na Ikulu tatu, ambazo ni Ile ya makao makuu, Dodoma.
Ikulu ya magogoni Dar-es-sdlaam na hiyo ya kizimkazi Zanzibar, ambapo zote hizo Ikulu 3 zinahudumiwa Kwa mabilioni ya pesa ya walipa Kodi wa nchi hii!

Abdul, mtoto wa Rais, Kila siku anatembea na mabulungutu ya pesa za kutaka kuwahonga wapinzani, watakaokubali, kuhama vyama vya upinzani, na kujiunga na CCM, ambazo ni pesa za walipa Kodi wa nchi hii!

Hivi Kwa mifano hiyo michache ya matumizi ya hovyo kabisa za pesa za walipa Kodi wa nchi hii, unategemea kweli maisha ya watanzania yaboreke??

Badala yake ndiyo unakuta maisha ya watanzania, walio wengi yanazidi kudidimia, Kwa msemo wa waswahili, wanasema afadhali ya Jana.

Kitu ambacho nakishangaa zaidi, hayo matumizi yote ya hovyo, hayapangwi na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambalo ndilo lenye mamlaka pekee, Kwa mujibu wa wa Katiba ya nchi, liliopewa mamlaka ya kupanga bajeti ya Kila wizara, Kila mwaka!

Huyo Magu, kasoro yake kubwa ilikuwa ni Moja, alikandamiza sana Demokrasia, lakini kiutendaji alikuwa anafanya vizuri sana

Nawaomba wasomaji wengine wa JF, muongezee matumizi mengine ya hovyo, yanayofanywa na hawa watawala wetu
Upo sahihi ila kwa Abduli hebu weka ushahidi wa hayo mabulungutu nasi tushuhudie hayo yasemwayo na wahuni!
 
Back
Top Bottom