Nakumbuka akiwa Tanga kwenye uzinduzi wa matenki ya mafuta Rais Magufuli wakati huo aliwahi kumwita Prof. Makame Mbarawa Mpumbavu.
Maana ya neno mpumbavu ni mtu aliyevuka viwango vya ujinga. Haelimiki wala haambiliki. Ya Dubai Port yamenikumbusha habari hii.
Alipohamishiwa Wizara ya maji kule mtwara Magufuli akamtukana tena baada ya feasibility study ya chujio la maji kuchukua zaidi ya miezi 6.
Maana ya neno mpumbavu ni mtu aliyevuka viwango vya ujinga. Haelimiki wala haambiliki. Ya Dubai Port yamenikumbusha habari hii.
Alipohamishiwa Wizara ya maji kule mtwara Magufuli akamtukana tena baada ya feasibility study ya chujio la maji kuchukua zaidi ya miezi 6.