Kama unapenda kalale nayeAcha uongo. Kwanza hukumpenda Magufuli sisi wapenzi wake ndio tunajua nani aliambiwa nini. Acha kuwashwa washwa kama wastaafu
Lango ambalo linatizamwa na mizinga ya jeshi Kigamboni na Masaki uongozi wa kisisa wanawakabidhi wageni?Yup, JPM aliona akili zake ni za kipumbavu.
Una surrender lango kuu la uchumi wa nchi yako, tena sehemu uliyowekeza matrilioni ya fedha zako, si ni upumbavu huo.
Hao wenye mizinga sijui wamefanywa matoi...This is unwanted kabisa kabisa...Haifai hata kuwaza...Leo sijui kama nitatulia mimi, aise not this far, hii ni zaidi ya hatari!Lango ambalo linatizamwa na mizinga ya jeshi Kigamboni na Masaki uongozi wa kisisa wanawakabidhi wageni?
MaajabuLango ambalo linatizamwa na mizinga ya jeshi Kigamboni na Masaki uongozi wa kisisa wanawakabidhi wageni?
Misukule ya Magufuli ndio wapumbavuWapumbavu hamuwezi kumuelewa Magufuli