Magufuli analichukuliaje hili? Je ana la kujifunza?

Magufuli analichukuliaje hili? Je ana la kujifunza?

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Habari kubwa toka Kenya Leo Rais Uhuru Kenyata Amelihutubia Bunge la Kenya na kuwaomba Wakenya Wote Msamaha kama aliwakosea katika kipindi Cha Kampeni.

Amedai kuwa kitendo cha kuongea na Raila Odinga ni katika kuileta Kenya Pamoja.

Pichani ni Rais Uhuru akishikana mikono na wabunge wote baada ya kuomba msamaha huo. Msamaha huo umeombwa pia na Makamu wa Raisi Willium Ruto.

Ruto amedai kwa sasa si muda wa kuhubiri ukabila, ukanda, udini wala Rangi bali ni Muda wa kuijenga Kenya. Amedai Wakenya waendelee kushindana kwa Hoja na sio ukabila na Udini.

IMG-20180502-WA0032.jpg


Britannica
 
Rais wa kenya anajielewa. Wa bongo kazi kutetea, mara tuna hela, mara tuna vijana smart, mara tuna viwanda, kila kitu kwake anaona tunacho. Muulize viko wapi sasa, badala ya kuonyeshwa unapelekwa kulala rumande kwa uchochezi. Chupi kabisa.
 
Rais wa kenya anajielewa. Wa bongo kazi kutetea, mara tuna hela, mara tuna vijana smart, mara tuna viwanda, kila kitu kwake anaona tunacho. Muulize viko wapi sasa, badala ya kuonyeshwa unapelekwa kulala rumande kwa uchochezi. Chupi kabisa.
Unajifanya unajua siasa...kumbe zero...
Siasa unafiki
Siasa haina uadui wa kudumu


Siasa ni kupima upepo

Uhuru anajua bila kupatana Odinga...hawezi kukubalika maeneo fulani
 
Huyo ni political strategy ambayo wengi hawatawaelewa. Inaweza kutoa auheni kidogo lakini the damage was done and is too big to repair it.

Kama yuko serious ataepa Wakenya free and fair election 2022. This thing keeps on repeating. People are getting tired. It should come to the end ... It should end!!
 
Unajifanya unajua siasa...kumbe zero...
Siasa unafiki
Siasa haina uadui wa kudumu


Siasa ni kupima upepo

Uhuru anajua bila kupatana Odinga...hawezi kukubalika maeneo fulani

Call it siasa ila ukweli unabaki palepale Uhuru is better than Pombe, hata kama ni kujionyesha ili akubalike sehemu nyingine bado kafanya kitu pombe hatoweza kukifanya kamwe, pombe akiona hakubaliki sehemu anaanza matusi au vitisho. Full kutumia nguvu 24/7. Kaeni naye pombe wenu awanyooshe nyambafu, na zero yako kaa nayo.
 
Habari kubwa toka Kenya Leo Rais Uhuru Kenyata Amelihutubia Bunge la Kenya na kuwaomba Wakenya Wote Msamaha kama aliwakosea katika kipindi Cha Kampeni.

Amedai kuwa kitendo cha kuongea na Raila Odinga ni katika kuileta Kenya Pamoja.

Pichani ni Rais Uhuru akishikana mikono na wabunge wote baada ya kuomba msamaha huo. Msamaha huo umeombwa pia na Makamu wa Raisi Willium Ruto.

Ruto amedai kwa sasa si muda wa kuhubiri ukabila, ukanda, udini wala Rangi bali ni Muda wa kuijenga Kenya. Amedai Wakenya waendelee kushindana kwa Hoja na sio ukabila na Udini.

View attachment 763830

Britannica


Halafu Mwanaume yupi kati ya Uhuru Kenya na Magufuli atakuchukuwa? Kwa maana naona unalinganisha na kuchonganisha Wanaume, mambo ya Kike hayo!
 
Call it siasa ila ukweli unabaki palepale Uhuru is better than Pombe, hata kama ni kujionyesha ili akubalike sehemu nyingine bado kafanya kitu pombe hatoweza kukifanya kamwe, pombe akiona hakubaliki sehemu anaanza matusi au vitisho. Full kutumia nguvu 24/7. Kaeni naye pombe wenu awanyooshe nyambafu, na zero yako kaa nayo.
Kila mtu anapambana na hali yake.....huku kulikua na muungwana Jk watu wakasema anachekacheka na kebehi kibao sa hv zamu ya Pombe acha afanye yake
 
Tabia ya kuomba omba msamaha ni ya kisichana,.raisi wangu Magufuli shikilia papo hapo.
 
Kila mtu anapambana na hali yake.....huku kulikua na muungwana Jk watu wakasema anachekacheka na kebehi kibao sa hv zamu ya Pombe acha afanye yake
Haya ni mawazo ya maskini mvivu. Mtu anayejua kutafuta anajua umuhimu wa kua na stability serikalini na serikali kutokuingilia mambo private. Sio mnakaa na tako ka makonda anawaambia atawachapa viboko watu wazima na mnamchukulia poa. Kwa mawazo haya utakufa maskini.
 
Haya ni mawazo ya maskini mvivu. Mtu anayejua kutafuta anajua umuhimu wa kua na stability serikalini na serikali kutokuingilia mambo private. Sio mnakaa na tako ka makonda anawaambia atawachapa viboko watu wazima na mnamchukulia poa. Kwa mawazo haya utakufa maskini.
We mwenyewe maskini ndo mana una bwabwaja tu hapa kama kidume kweli jitokeze uwaambie hao unaowalalamikia sio kukaa kupiga ngonjera tu nyuma ya keyboard... we andika mashairi yako yote ukimaliza lala ila tambua makelele yenu hayazuii kitu matajiri wapo wanasaka noti we pangu pakavu tia mchuzi tu mnazunguka humu na ma stress yenu kama nchi imewashinda ondokeni tu mkae kwa hao mabwana zenu ambao watafanya mnayoyataka
 
Huyo ni political strategy ambayo wengi hawatawaelewa. Inaweza kutoa auheni kidogo lakini the damage was done and is too big to repair it.

Kama yuko serious ataepa Wakenya free and fair election 2022. This thing keeps on repeating. People are getting tired. It should come to the end ... It should end!!
Karibu sana mzee. Naona ulijoin jamii forum 2007
 
Kila mtu anapambana na hali yake.....huku kulikua na muungwana Jk watu wakasema anachekacheka na kebehi kibao sa hv zamu ya Pombe acha afanye yake
Swadaktaa!
 
Inawezekana nyerere alivyofariki aliibukia kenya kama kenyata

Honestly mimi sasa nakusanya mtaji nikafanye biashara zangu kenya. Huku Tz nawahakikishien haitafika 2025 kuwa kma zimbabwe. Mtakuwa mnabeba mandoo ya tsh kwenda kununua sabuni.

Kiongozi mjinga na mpumbavu huonea watu wake na huvuruga maendeleo.
 
We mwenyewe maskini ndo mana una bwabwaja tu hapa kama kidume kweli jitokeze uwaambie hao unaowalalamikia sio kukaa kupiga ngonjera tu nyuma ya keyboard... we andika mashairi yako yote ukimaliza lala ila tambua makelele yenu hayazuii kitu matajiri wapo wanasaka noti we pangu pakavu tia mchuzi tu mnazunguka humu na ma stress yenu kama nchi imewashinda ondokeni tu mkae kwa hao mabwana zenu ambao watafanya mnayoyataka

Mi si maskini kijana, umaskini niliuacha miaka zaidi ya 10 iliyopita sijaugusa tena.
Na sipo bongo, nawalalamikia watanzania kama wewe ambao mmekaa mnapigwa jua. Nje kuna raha sana tu, mara ya mwisho kuona umeme umekatika ni wakati nilikuja kuvisit bongo wiki iliyopita. We endelea kukabwa sasa na huyo dikteta uchwara wako na bashite. Utanyooka tu mbwiga.
 
Watanzania na waKenya tuko tofauti sana sisi ukiwa mpole mpole kama Jakaya watu watakutukana sana sisi ni mijeledi tu!
Huwa mijeledi inageukaga unaemchapa sasa kuna siku nae atakuchapa uwe tayari kuaanda vema tako lako vema
 
Back
Top Bottom