Wazungu ndio huamua nini wakuoneshe wewe uliyepo Afrika, lengo ni kuendeleza kuwatia hofu na kueneza propaganda za nchi za Magharibi licha ya maasi yao duniani.We wa wapi wewe?
BBC Swahili inarushwa na StarTv kila siku baada ya taarifa ya Habari ya saa 2 usiku Wazungu wamefika wapi tena.
hahahahaAkakamatwe kwa nguvu ahojiwe, si anahojiwa kiswahili sa anaogopa nini...
Leo kwenye taarifa ya habari ya BBC Swahili saa tatu usiku, imeripotiwa kuwa John Magufuli amekuwa akikwepa kila BBC wanapotaka kumfanyia mahojiano. Matumaini yao ilikuwa iwe jana, finally, cha ajabu, jamaa akasepa dakika za mwisho.
Kwa maswali yale aliyopigwa Lowassa, no wonder Magufuli anakimbia. Huu ni udhaifu pia.
Leo kwenye taarifa ya habari ya BBC Swahili saa tatu usiku, imeripotiwa kuwa John Magufuli amekuwa akikwepa kila BBC wanapotaka kumfanyia mahojiano. Matumaini yao ilikuwa iwe jana, finally, cha ajabu, jamaa akasepa dakika za mwisho.
Kwa maswali yale aliyopigwa Lowassa, no wonder Magufuli anakimbia. Huu ni udhaifu pia.
.Yeye ni Rais wa nchi amechaguliwa kihalali, ameapishwa kisheria na sasa anaongoza nchi yake na anafanya vizuri tu..
Leo kwenye taarifa ya habari ya BBC Swahili saa tatu usiku, imeripotiwa kuwa John Magufuli amekuwa akikwepa kila BBC wanapotaka kumfanyia mahojiano. Matumaini yao ilikuwa iwe jana, finally, cha ajabu, jamaa akasepa dakika za mwisho.
Kwa maswali yale aliyopigwa Lowassa, no wonder Magufuli anakimbia. Huu ni udhaifu pia.
Ha! kumbe ndivyo ilivyo anogopa nini wenda alikua na kazi nzito wakati huo na inabidi wampe taarfa ili apangiwe ratiba.Leo kwenye taarifa ya habari ya BBC Swahili saa tatu usiku, imeripotiwa kuwa John Magufuli amekuwa akikwepa kila BBC wanapotaka kumfanyia mahojiano. Matumaini yao ilikuwa iwe jana, finally, cha ajabu, jamaa akasepa dakika za mwisho.
Kwa maswali yale aliyopigwa Lowassa, no wonder Magufuli anakimbia. Huu ni udhaifu pia.
Kiongozi ama mtu yeyote ana uhuru wa kukubali mahojiano ama la. Ana uhuru wa kupendekeza muda na wakati anaoutaka yeye mhojiwa na siyo mwandishi wa Habari peke yake. Lazima BBC inaelewa hilo. Na hata mhojiwa akiwa na sababu yoyote ana uhuru wa kutotoa kibali cha kusailiwa kwa wakati huo. Rais Maghufuli hana cha kuhofia.Yeye ni Rais wa nchi amechaguliwa kihalali, ameapishwa kisheria na sasa anaongoza nchi yake na anafanya vizuri tu. BBC watatafuta muda mzuri na watapata najua wanafahamu taratibu za kumpata Mkuu wa Nchi kwa mahojiano.
Hii thread ya 2015 mkuu!!Hii taarifa inaweza kuwa na kweli.
Magufuli tangu aingie madarakani hataki kuongea na media si za Bongo wala za Ughaibuni. Ni siku ile tu alipokuwa anatimiza Mwaka Ikulu alipoongea na Wanahabari kwa TAABU SANA HUKU AKIPIGA POROJO BADALA YA KUJIBU MASWALI YA MSINGI. Huu ni udhaifu ambao hata yeye anaujua na ndo maana anawakimbia BBC!!!
Kwa hulka ya JPM bila shaka anahofu kuja kupigwa maswali magumu na kushindwa kuyajibu kwa ufasaha hasa yanayohusu KATIBA, DEMOKRASIA, UPINZANI na JECHA WA JECHA KUFUTA MATOKEO HUKO ZENJ!! Na pengine hii ndo sababu inayomfanya JPM asisafiri kwenda nchi za Nje hasa za Ulaya, Asia na Marekani. Kule kuna Mapaparazi noma sana. Sidahni JPM kama anaweza kuhojiwa kwenye kipindi kinachoitwa HARD TALK!! Anaweza kuchanganyikiwa akajikuta anaongea KISUSWANGLISH(Kisukuma, Swahili na English kwa pamoja!
Hii nayo inaweza kuchukua miaka mpaka kuja kuongea na BBC kwa kisingizio anainyosha nchi!!! Ngoja tusubiri akishakuwa tayari.
Mkuu hii thread ni ya kabla ya uchaguzi 2015!!
Mkuu kama mfuasi ana hali hiyo huyo kiongozi wake ana hali gani?Umetumwa we we sio bure
Zaidi ya Barabara hakuna kingine anachojua.
Anatuharibia uchumi banaaaa anajua kujenga jenga apate cha juuu.......ni uharibifuuu wa nchu....anaharibu uchumii
Huko BBC ataleta aibu tupu, bora asiende.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji24] [emoji10]Akakamatwe kwa nguvu ahojiwe, si anahojiwa kiswahili sa anaogopa nini...