Elections 2015 Magufuli anatukwepa - BBC Swahili

sio lazima kuhojiwa ili iweje na itabadilisha nn akihojiwa, achene amalize muda wake afanye anayoyaamini then tutachagua rais mwingine anayependa kuzurura huko Uraya, mbona kama misaada wanaleta bila ya yeye kuifuata, musitake kumuahibisha na vingereza vyenu vya Academy school mtoto wa mkulima kasoma st. Kayumba
 
watanzania hawahitaji Intavyuu wanahitaji maendeleo na hicho ndicho anachokifanya Rais wetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…