Magufuli aokoa maisha ya Lemutuz, ilibaki dakika 30 apoteze maisha

Magufuli aokoa maisha ya Lemutuz, ilibaki dakika 30 apoteze maisha

nzagambadume

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2018
Posts
2,430
Reaction score
5,779
Mobimba Le Nyeyenye kamshukuru Rais JPM kwa kuokoa maisha yake maana ilibaki dakika 30 tu afe.

Hii inadhihirisha ile kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora kwamba inabidi hata Mungu amshukuru JPM. Kwa hakika kwa JPM kila goti litapigwa, sote tunashuhudia jinsi mabeberu yanavyohaha kuingia ikulu kujipendekeza na kumpongeza kwa kazi nzuri anayofanya ya KUIMARISHA BIASHARA, MAISHA YA WANANCHI, UMOJA AMANI UPENDO NA MSHIKAMANO na hii tena ya kuokoa maisha ya mtu muhimu kabisa LE MUTUZ ni jambo kubwa sana haswa ukichukulia ya kwamba muda si mrefu atateuliwa kuwa Balozi wa kudumu wa Tanzania huko UN.

magu.PNG
 
kivipi?huoni attachment ya le mobimbaz ikimshukuru Rais wa wanyonge kwa kuokoa maisha yake?
Kuna mambo ya mkuu wa Tabora, sijui mungu, umoja wa mataifa, mabeberu. Utoaji habari gani huu?
 
Kuna mambo ya mkuu wa Tabora, sijui mungu, umoja wa mataifa, mabeberu. Utoaji habari gani huu?
una IQ ngapi mkuu?kama imekushinda kuelewa nenda jukwaa la jokes au mahusiano au celebrities, huku ni ligi ngumu,wanapaweza ma great thinkers
 
Mobimba Le Nyeyenye kamshukuru Rais JPM kwa kuokoa maisha yake maana ilibaki dakika 30 tu afe.

Hii inadhihirisha ile kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora kwamba inabidi hata Mungu amshukuru JPM. Kwa hakika kwa JPM kila goti litapigwa, sote tunashuhudia jinsi mabeberu yanavyohaha kuingia ikulu kujipendekeza na kumpongeza kwa kazi nzuri anayofanya ya KUIMARISHA BIASHARA, MAISHA YA WANANCHI, UMOJA AMANI UPENDO NA MSHIKAMANO na hii tena ya kuokoa maisha ya mtu muhimu kabisa LE MUTUZ ni jambo kubwa sana haswa ukichukulia ya kwamba muda si mrefu atateuliwa kuwa Balozi wa kudumu wa Tanzania huko UN.

View attachment 1094956
Huu ni ujingaa uliyo pitiliza kumfananisha kiumbe na Mungu mnamsifia mtu mpk mnakufuru
 
una IQ ngapi mkuu?kama imekushinda kuelewa nenda jukwaa la jokes au mahusiano au celebrities, huku ni ligi ngumu,wanapaweza ma great thinkers
Unazo ngapi wewe, kama kweli unajua jinsi ya kuzipima!
 
Hii habari inamaanisha kitu kingine[emoji23][emoji23]

Kama kejeli iv
Nilijua ni mimi pekee sijaelewa [emoji3][emoji3][emoji3]
Nyie wagen jf bila shaka. Lemutuz ni kichekesho thread yake uwa Inatumika kama sehemu ya Kure fresh mind. Wewe binadamu gani mwenye miaka zaidi ya 55 anaweza kuandika kama Le bwenyenye, alibakiza dakika 30 afe. Huyu ni age mate wa anko magu laki lemutuz anaishi umri wa kijana wa 20s ajitambui kabisa huyu mstaafu...
 
Kwa hii habari ni uthibitisho tosha kwamba jamaa bado ni mgonjwa.
Tuendelee kumwombea apone kwani bado tunamhitaji.
 
Back
Top Bottom