Labda lugha gongana.
swissme
Unamajungu kinoma mkuu, tetete, mzee wa msoga kahusikaje sasa hapojamaa wa msoga
Raisi wetu kipenzi wa Tanzania John Pombe Joseph Magufuli inasemekana kuwa ameondolewa group la whatsapp la maraisi wa afrika mashariki, maraisi hao wameacha kupokea simu zake na kwenye mitandao ya kijamii wamemu-unfollow bila sababu ya msingi.
============================
Source: Entertainment News - East Africa presidents remove Magufuli from their WhatsApp group, refuse to pick his calls
Kuna siku itakuja kukuCOSTmagu hawezi chart kizungu mkuu inakuwa ngumi kutumia account yake mkuu.
swissme
Magu atakuwa hachangii chochote maana muda huo hana
wamemuona ni mnafiki kwa kushindwa kushughulikia mgogoro wa Zanzibar na kutaka kushughulikia mgogoro wa Burundi...huu ni unafiki mkubwa
magu hawezi chart kizungu mkuu inakuwa ngumi kutumia account yake mkuu.
swissme
kubomolea watu manyumba yao kunyima Uhuru vyama pinzani kufukuza watu kazini bila mpangilio kukataza tiba mbadala sasa hapo ni kuinua wananchi au kuwarudisha kwenye umasikini mtukufu
Umeshasikia kuna wakimbizi Zanzibar? Na unajua adha watu wa kigoma wanapata kutokana na uwepo wa wakimbizi wa Burundi? Yote kwa yote waswali walisema Wazanzibar hujuana kwa vilemba. Wewe hushangai composition ya kamati ya mazungumzo ya Zanzibar?wamemuona ni mnafiki kwa kushindwa kushughulikia mgogoro wa Zanzibar na kutaka kushughulikia mgogoro wa Burundi...huu ni unafiki mkubwa
wamemuona ni mnafiki kwa kushindwa kushughulikia mgogoro wa Zanzibar na kutaka kushughulikia mgogoro wa Burundi...huu ni unafiki mkubwa