Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe hata video ujaiyangilia unakimbilïa ku ccomment. It seems huna MB zakutoshaAisee huyu rais wenu bana. Wawekezaji kwenye viwanda vya Tz na Kenya vinahusiana kivipi? Acha aendelee kupa Kenya promo za bure. Nawaonea huruma sana hao wawekezaji.
Hahaha 😀, mimi nimejaribu kuitizama lakini nikapoteza hamu kabla ya hata sekunde ishirini za kwanza kuisha. Kuna sauti zingine ukiziskia tu unaanza kusinzia.Kiukweli sina MB na hata ningekuwanazo nisingezichezea.
Aisee huyu rais wenu bana. Wawekezaji kwenye viwanda vya Tz na Kenya vinahusiana kivipi? Acha aendelee kupa Kenya promo za bure. Nawaonea huruma sana hao wawekezaji.
Kweli, namba tunaisoma.
Magufuli inaonekana yuko radar 24/7. Pia humu kwenye jukwaa la Kenya atakuwa anapitia.
Hii hotuba kaitoa pindi alipokutana na wawekezaji wa viwanda nchini ilikutatua kero zao.
Magufuli inaonekana yuko radar 24/7. Pia humu kwenye jukwaa la Kenya atakuwa anapitia.
Hii hotuba kaitoa pindi alipokutana na wawekezaji wa viwanda nchini ilikutatua kero zao.
Magufuli inaonekana yuko radar 24/7. Pia humu kwenye jukwaa la Kenya atakuwa anapitia.
Hii hotuba kaitoa pindi alipokutana na wawekezaji wa viwanda nchini ilikutatua kero zao.
Umekurupuka.. Unge sikiliza ndyo utoe povu. Magufuli haja itaja Kenya moja kwa moja amesema chombo cha habari cha nchii jirani kimepotosha kuhusu Dangote cement then aka clarify hiyo issue. Mimi namu unga mkono vyombo vyenu vinapenda sana kupindisha habari za Tz. Humu tumesha litazama sana, Hiki siyo kitu kizuri regulator wenu inabidi ali ingilie kati hili swala Tz haiwezi kufurahia. Kipindi mlivyo chinjana blame ilipelekwa kwenye vyombo vyenu vya habari sasa mna leta choko choko kwa Tz. Madhala yake yamesha anza kuonekana na kwa Magufuli ato sita kusema na kutenda pia.Video yenyewe naona ni ndefu zaidi ya saa moja, muda ambao sina ila nimemskliza dakika chache za mwanzo, sijaona tatizo naona anaongea vizuri tena maneno ya kujenga. Labda amenogewa huko mwisho mwisho na kupoteza network na kuanza madongo dhidi ya Kenya, kitu ambacho ni aibu kwa rais wa nchi kujishusha kwenye level hiyo.
Rais anafaa kuwa mtu ambaye thinking capacity yake haipo Kimanzense Manzese ambayo ni mipasho kila siku.
Halafu la kushangaza, Watanzania walivyo watu wa majungu, kwenye hotuba yote hiyo wamefuata kaeneo ambapo anashambulia Kenya. Ina maana hana lolote lingine na la maana ambalo mnaweza kumskliza na kujifunza, aisei nyie noma hadi huruma.
Kabisa mchezo wenyewe basi ............Kiukweli sina MB na hata ningekuwanazo nisingezichezea.