Acha hizo hizi si sababu za kitoto! Meli imelipwa zaidi ya bilion 3 na huko mwanza mwenye kituo cha mafuta alilipwa fidia billion 2 ! Hizi ni sababu za kitoto? Pesa hizi zingeweza kujenga zahati na kununua madawa pia kununua madawati na kuwalipa walimu haki zao, Magufuli si mwadilifu ni mtu wa kukurupuka sana na ukurupukaji wake ndiyo umelitia Taifa hasara kibao zikiwemo za kusitisha hovyo mikataba ya makandarasi na matokea yake wakishinda kesi wanalipwa mabilioni, nyumba za Serikali , kivuko feki, na billion 251 zimeyeyuka wizara ya Ujenzi kwa njia za ufisadi.