Elections 2015 Magufuli ataja mafisadi CCM

Magufuli anaweza kuwa wajibisha mafisadi hawa...


JK.
Mmiliki wa Homeshopn center.
Kinana.
Rizwani.
Singhasingha wa IPTL.
Chenge.
Dialo.
Mwigulu.
Rostamu.
Mkapa.
Salma Jk.
Mwakiembe??????ataweza kuwawajibisha hawa au Analeta Ngonjera tu!!!!!!!!!!!!
 
kwani wanashindwa nini kutuma polisi wakakamate hao mafisadi leo hii? serikali yao, polisi yao,, mahakama yao, mgambo wao, jeshi lao...kwa nini hao mafisadi hawakamatwi leo wanasubiri mpaka magufuri aapishwee??
Sisi ni wajinga sawa...hatuna elimu, lakini sio wajinga kiasi hiki....
 
Alitaja waziri aliyeuza nyumba za serikali?
 
hivi wewe unajua mana ya kutaja? akithubutu kuwataja kwa majina mi kura yangu amepata
 
walisema ahadi za lowassa hazitekelezeki lakini cha ajabu gamba lao hadi sasa limetoa ahadi ambazo kwa utekelezaji wake zinahitaji trilion 63 na bado linatoa ahadi huenda zikafika 70, wakati huohuo ahadi za lowassa hadi sasa ni trilion 28, kama zikiongezeka sna zinaweza kufika 30 au 35. sasa hapo nani tapeli kama sio mafunguo
 

yani we jamaa unachokizungumzaa inaonekana kama vileee kuna mtu amekukaririsha na wewe unakuja kuturopokea umu.......embu jaribu kuwa mtu wa ku meditate kitu kwanza kabla hujanza kuropoka kwa watuuuu........izo habari za kahawa peleka ufipani.....nitoleee hapa mihemko yako ya kiushabiki......magufuli angeamua kufanya ufisadi kabisa na serious kwenye wizara ya ujenzi nadhani tungelikua tunaongea mengineeeeee saiviiii.....na mtanyooooooooka.hapa kazi tuuuuuu
 
Wale ambao bado tunasubiri awataje mafisadi walioko ndani ya CCM tukutane hapa.
 
Unayakumbuka maneno yako..?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…