Magufuli atajwa Sweden, sielewi kisweed wanaojua tusaidie kutafsiri

In sho

In short paragraph one: What makes Dr.

Paragraph 1: What makes Dr. Magufuli famous are the very simple things that caught the Tanzania population by surprise. In a continent where corruption and embezzlement of public funds is a way of life for African Leaders, Dr. Magufuli accurate and quick measures have been hailed as very impressive.

In short wanaongelea hatua mbalimbali anazozichukua !
 
Hayo hayana maana...Wananchi wake tunateseka na maisha magumu.
Hizo sifa ni bure kabisa.
 
Nilizani nitakutana na jina Dikteta Uchwara


Lakin sijaona zaidi ya misifa kemkem
 
Yaa!! Lufufu alikuwa mtaalam wa kutafsiri mapicha hata kama ni uongo wee unaesikiliza unakubali tuu!![emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
...ww kiswedish hujui ilikuwaje ukasoma hiyo makala au kufungua gazeti
 
nimeona sehemu imeandikwa kama uchwara
 

bravo kwa tafsiri, hiyo ndio kazi nzur ya magu, wanaojitambua wanaiona, sio mara ooh ukuta swain
 
Gazeti limeshangazwa na kuvutiwa na kauli ya kufyatua watoto. Waswidi Wana shida kubwa ya kufyatua watoto na wana hatari ya kuwa na negative population growth.
Na utatafuta sana ubaya na wala hutaupata
. Magufuli ataheshimika hata na kwa wenzetu. Hewa ww
 
Hayo hayana maana...Wananchi wake tunateseka na maisha magumu.
Hizo sifa ni bure kabisa.
Kafanye kazi . Maisha gani magumu ulikuwa unajipatia posho na visafari vya bure mirija imefungwa eti maisha magumu!! Vivu hili!
 
Na utatafuta sana ubaya na wala hutaupata
. Magufuli ataheshimika hata na kwa wenzetu. Hewa ww
Mimi sijamtaja Magufuli. We vipi? Umejiunga lini JF? Ulikuwa wapi wakati wa uchaguzi? Unamfahamu mtu anaitwa Mussa Alan? Mmawia? Swissme? Kama huwajui hawa basi nakushauri ukae kimya tu!
 
Mimi sijamtaja Magufuli. We vipi? Umejiunga lini JF? Ulikuwa wapi wakati wa uchaguzi? Unamfahamu mtu anaitwa Mussa Alan? Mmawia? Swissme? Kama huwajui hawa basi nakushauri ukae kimya tu!
Unauliza nimejiunga lini Jf? Seriously? Mimi siyo mtoto wa juzi kama ww. Nafikiri hujui hata kutazama details za mtu. Anyway nimekusamehe. Hao unaotaka niwafahamu sina muda huo
 
Sasa unaishije huko kama hata lugha hujui??Ila ni Hivi

I bạn nhiều hơn, I loe yu nhiều hcơn bất chứ ai elehse trong thế giới này. tôi gmuốn bhạn biết tôi cảm thấy như thhkhế nào vềj bạn. Tôvi mhuốn tôi chđã có bạn bên cạnh tôi và tôi có thể giữ bạn trvong tay cho tôi bayo giờ ... gkg
 
Unauliza nimejiunga lini Jf? Seriously? Mimi siyo mtoto wa juzi kama ww. Nafikiri hujui hata kutazama details za mtu. Anyway nimekusamehe. Hao unaotaka niwafahamu sina muda huo
Wherever! Whatever! Whomever! Endelea kudandia dandia mambo hata yasiyokuhusu. Good luck na kwa vile ni mara yangu ya kwanza kukuona hapa JF, I don't real care. Hata kama ungekuwa kakake na Jes.ka to hell with it. [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Asanteeee hili jamaa sijui limetokea wapi.
Na kwa vile na mimi ndio mara yangu ya kwanza kumuona hapa JF I don't care either...[emoji12][emoji12]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…