Ni kweli kabisa, wakulima wa korosho na wafanyakazi wanajua anawatoa wapi na kuwapeleka wapiKwahiyo mkuu na wewe umeamua kutulisha matango pori siyo![emoji16][emoji16], We unafikiri hoja za akina zitto,membe, lissu etc zitawafanya wapiga kura kubadilisha mtazamo!?...heel no wananchi wanaelewa JPM kawatoa wapi na anawapeleka wapi hao upinzani wanafanya kutimiza tu azma ya vyama vingi lakini mshindi na Magufuli.
NOTE: acha kuwaaminisha wanajamii forum utapolo wako huo, chadema hawana lolote..deal done.
Sure thing. Magui alikosea na anakosea sana kuzuia watu kumkosoa, matokeo yake watu vifua vinajaa hasira na madukuduku ya kutosha, na wanapewa muda mchache wa kuyatoa , huko mbefele mbona atatamani ahame nchi kwa muda, maana kama kuteka na kuua utaua watu wangapi.Ule utulivu wa wapinzani kwa miaka mitano ulimfanya akadhani umekufa. It was a domant volcano.
Sawa. Lakini tusiamini kuwa kila awamu itakuwa ya kuporwa tu. Kila zama zina mwanzo na mwisho wake.Shida ni kwamba wao ndo wameshika mpini, ata wasipopata kura hata moja watapora ushindi na watakuongoza tu utake usitake[emoji26] so acheni kujifariji kiujumla uchaguzi huu hauna mvuto kabisa.
Hata mimi mwaka 2015 hadi 2016 nilikuwa upande wake hadi pale alipoanza kuleta mazoea na kazi tuliyompa.Si peke yake... Magufuli amekatisha tamaa watu wengi sana!
Na mpk leo kuna wakimbizi wa Zanzibar huko Mombasa.Kipindi Zanzibar imezalisha wakimbizi ulikuwa hujazaliwa bila shaka, kama huna taarifa basi elewa kwamba wakati Mkapa anagombea kwa awamu ya pili kulikuwa na matumizi makubwa ya nguvu yaliyopelekea mauaji ya watu kadhaa bara na visiwani.
Umesahau jambo moja, pia anapenda sana kukosoa wenzake/wasaidizi wake.Ndani ya 5 years magu anaimba stigla, SGR, Ndege baas!!
Ajira na maslahi kwa wafanyakazi aiiii!!!
Kuna vitoto vya lumumba buku 7 vilivyozaliwa mwaka 2000 havijui kama tanzania iliwahi kuzalisha wakimbizi.Na mpk leo kuna wakimbizi wa Zanzibar huko Mombasa.
Mzee baba nakwambia kama watu walifikiri 2015 joto lilikua ni kali basi wanajidanganya,hii 2020 ndipo Jamaa atakapojua watu walikua hawamuogopi ila walikua wameinamisha kichwa chini tu.Sure thing. Magui alikosea na anakosea sana kuzuia watu kumkosoa, matokeo yake watu vifua vinajaa hasira na madukuduku ya kutosha, na wanapewa muda mchache wa kuyatoa , huko mbefele mbona atatamani ahame nchi kwa muda, maana kama kuteka na kuua utaua watu wangapi.
Ukosoaji kipindi hiki ni kama hewa ya oksijeni, kama atapoenda atakutana nao.
Awamu hii kwa uporaji imepitizaSawa. Lakini tusiamini kuwa kila awamu itakuwa ya kuporwa tu. Kila zama zina mwanzo na mwisho wake.
Wagombea wengine watafyekwa juu kwa juu kwa kigezo cha kukosa sifaSawa. Lakini tusiamini kuwa kila awamu itakuwa ya kuporwa tu. Kila zama zina mwanzo na mwisho wake.
Cha kufanya anacho. Anaweza akawakamata na kuwaweka ndani hao wagombea ktk kituo cha polisi kisichojulikana. Shekhe Ponda hadi leo hajulikani kashikiliwa kituo gani.JPM asijue cha kufanya!!
Duuh! Huyu mwamba kweli kaja kivingine.Zipo tetesi za kupita bila kupigwa uraisi wagombea wataunga juhudi ama wakaidi kuenguliwa kisayansi.
Nahisi kuna watu watamgeukaMzee baba nakwambia kama watu walifikiri 2015 joto lilikua ni kali basi wanajidanganya,hii 2020 ndipo Jamaa atakapojua watu walikua hawamuogopi ila walikua wameinamisha kichwa chini tu.
Hii ni kweliMzee baba nakwambia kama watu walifikiri 2015 joto lilikua ni kali basi wanajidanganya,hii 2020 ndipo Jamaa atakapojua watu walikua hawamuogopi ila walikua wameinamisha kichwa chini tu.
Hayo mawazo sahauWagombea wengine watafyekwa juu kwa juu kwa kigezo cha kukosa sifa
Magu alikuwa na nafasi ya kuwa rais wa mfano sijui nani alimdanganyaHata mimi mwaka 2015 hadi 2016 nilikuwa upande wake hadi pale alipoanza kuleta mazoea na kazi tuliyompa.
Wakati huo huo hana timu ya maana ya KampeniKatika chaguzi zenye joto kali na la namna yake ni huu wa 2020!!
Kitakachopandisha joto zaidi ni aina ya mgombea anaetetea kiti chake kupitia CCM yaani John Pombe Magufuli.
Sipati picha combination ya Membe, Lissu, Mbowe, Nyalandu and the like mbele ya JPM.
Tunaomjua JPM ni mtu asiyeziweza hoja wala upinzani. JPM ni mtu mwoga na DHAIFU sana asiye na subira wala utulivu.
Miaka 5 yote ya kupiga kampeni mwenyewe bado hajiamini na mwoga mno.
Joto la mwaka huu tofauti na ilivyotarajiwa litakuwa kali sana huku hoja nzito nzito kutoka upinzani zikitamalaki huku JPM asijue cha kufanya!!
Hoja ya makinikia, wizi wa trillion 1.5, manunuzi ya kifisadi ya ndege, kivuko kibovu, nyumba za serikali kwa mahawara... Stigla na SGR vitatawala majukwaani huku akina Zitto wakijaribu kuwaelewesha watu ni kwa namna gani JPM kupitia ATCL amewalisha watanzania mzigo mzito wa hasara isiyobebeka!
Mbele ya hoja nzito Magufuli ni mwepesi kama karatasi!
Wait and see, wait and see.Hayo mawazo sahau