Elections 2015 Magufuli atueleze ile M Bank iliyo ndani ya Jengo la Mapato Dar ni ya nani?


Waigizaji wanatafuta shutuma za magufuri, wanaacha za fisadi papa
 
Kwani inakuhusu nini. Yaani Watanzania tunashindwa hata kufikiri maisha kwa sababu tu wengine wanamiliki vitu fulani. Mbona hujauliza benki zingine zipo kibao.

Hujauliza wanaomiliki hotel na makampuni.
 
Fisadi Lowasa karudi mnae huko
 
Kwani inakuhusu nini. Yaani Watanzania tunashindwa hata kufikiri maisha kwa sababu tu wengine wanamiliki vitu fulani. Mbona hujauliza benki zingine zipo kibao.

Hujauliza wanaomiliki hotel na makampuni.
Mmh
 
Mmh!! Dhaifu atoke madarakani?!!

Umeshapata majibu now?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…