Magufuli Baki ni halali kisheria, akiambiwa afuate sheria na Katiba ni Uchochezi

Magufuli Baki ni halali kisheria, akiambiwa afuate sheria na Katiba ni Uchochezi

Mahweso

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2014
Posts
1,098
Reaction score
1,501
Udikteka huwa kama hivi,
Akisema yeye au wao ni sahihi, wakisema wengine ni Uchochezi, na haya maneno ya uchochezi huwa kwenye Serikali za Kidikteta, Dikteta hulitumia hili neno kufanikisha malengo yake,

Siasa hadi leo tunaamini imepigwa marufuku kwa Wapinzani, CCM kwao siasa ipo palepale,

Polepole yupo mikoani anafanya Siasa,

Mpogolo, Shaka sijui na wengine tunawaona wanajitangaza kujenga chama, Ushahidi muulizeni Polepole wale Chadema aliosema watajiunga siku sio nyingi CCM alikuwa anaongea Kisiasa? au kiserikali.

Mfukuze Paka peupe lakini akifika mwisho kukawa hakuna njia ya kukimbilia anakufa na wewe, kuweni makini sana na mnayoyafanya.
 
fanyeni kazi acheni kufwatilia mambo kama haya yanazidi kuwapa stress .................... katiba ipo na ni lazima aifwate hakuna cha baki wala nini.............

sanasana abaki kuwa mwenyekiti wa chama chao
 
fanyeni kazi acheni kufwatilia mambo kama haya yanazidi kuwapa stress .................... katiba ipo na ni lazima aifwate hakuna cha baki wala nini.............

sanasana abaki kuwa mwenyekiti wa chama chao
Unaongelea katiba ya nchi au katiba ya sisiemu?
 
nimekubali kumbe CCM ni wepesi mno, yaani wakisikia Lowassa wanatamani kujichimbia ardhini. Sasa nawashauri hata hiyo 2020 wapitishe sheria Kampeni iwe siku moja tu
 
Udikteka huwa kama hivi,
Akisema yeye au wao ni sahihi, wakisema wengine ni Uchochezi, na haya maneno ya uchochezi huwa kwenye Serikali za Kidikteta, Dikteta hulitumia hili neno kufanikisha malengo yake,

Siasa hadi leo tunaamini imepigwa marufuku kwa Wapinzani, CCM kwao siasa ipo palepale,

Polepole yupo mikoani anafanya Siasa,

Mpogolo, Shaka sijui na wengine tunawaona wanajitangaza kujenga chama, Ushahidi muulizeni Polepole wale Chadema aliosema watajiunga siku sio nyingi CCM alikuwa anaongea Kisiasa? au kiserikali.

Mfukuze Paka peupe lakini akifika mwisho kukawa hakuna njia ya kukimbilia anakufa na wewe, kuweni makini sana na mnayoyafanya.
Ufafanuzi kidogo Mkuu!"Mfukuze paka akifika peupe atakufa na wewe"!Huu usemi una maana gani?
 
Udikteka huwa kama hivi,
Akisema yeye au wao ni sahihi, wakisema wengine ni Uchochezi, na haya maneno ya uchochezi huwa kwenye Serikali za Kidikteta, Dikteta hulitumia hili neno kufanikisha malengo yake,

Siasa hadi leo tunaamini imepigwa marufuku kwa Wapinzani, CCM kwao siasa ipo palepale,

Polepole yupo mikoani anafanya Siasa,

Mpogolo, Shaka sijui na wengine tunawaona wanajitangaza kujenga chama, Ushahidi muulizeni Polepole wale Chadema aliosema watajiunga siku sio nyingi CCM alikuwa anaongea Kisiasa? au kiserikali.

Mfukuze Paka peupe lakini akifika mwisho kukawa hakuna njia ya kukimbilia anakufa na wewe, kuweni makini sana na mnayoyafanya.
Haya Yana mwisho wake, ukiona giza linakuwa totoro ujue kunakalibia kupambazuka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ufafanuzi kidogo Mkuu!"Mfukuze paka akifika peupe atakufa na wewe"!Huu usemi una maana gani?
Usemi wangu ni huu Mkuu sio kama ulivyosema,

Mfukuze Paka peupe lakini akifika mwisho kukawa hakuna njia ya kukimbilia anakufa na wewe, kuweni makini sana na mnayoyafanya.
Maana yake ataonea Wapinzani kwa kuwaweka ndani, lakini ipo siku watachoka.
 
Usemi wangu ni huu Mkuu sio kama ulivyosema,

Mfukuze Paka peupe lakini akifika mwisho kukawa hakuna njia ya kukimbilia anakufa na wewe, kuweni makini sana na mnayoyafanya.
Maana yake ataonea Wapinzani kwa kuwaweka ndani, lakini ipo siku watachoka.
Ubarikiwe!Nilikuwa najaribu kuifupisha.Nimekuelewa.Kimsingi wameshachoka,vifua vimejaa upepo,wasiokuwa na misimamo ya kisiasa ndio hao wanaorudi kwenye kundi wanalofanananalo!Kiujumla hali si shwari.
 
Kuna mkakati kabambe wa kubadilisha vifungu vya katiba magufuri aendelee kubaki madarakani kwa miongo kadhaa na Kuna vikundi vinafadhiriwa na serikali juu ya jambo hili, muda utaongea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom