Magufuli Bus Terminal hakuna mabadiliko yoyote, ni kama imetelekezwa

Magufuli Bus Terminal hakuna mabadiliko yoyote, ni kama imetelekezwa

barafuyamoto

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2014
Posts
32,378
Reaction score
29,739
Habari zenu,

Inasikitisha ila ndio ukweli, kama kichwa cha habari kinavyojieleza, kituo hiki mara ya mwisho nilifika kabla JPM hajafariki, ingawa kilikua hajikakamilika ila kulikua na kurupushani kidogo ukiona wajenzi wanafanya kazi.

Leo nimepita tena ila sijaona mabadiliko yoyote makubwa, kero zile zile bado zipo na pia hata watumiaji na wafanyabiashara wanalalamika kua kituo ni kama kimetelekezwa toka JPM afariki.

Kuna watu wanamuangusha rais Samia makusudi.
 
Labda ujenzi ndio umefikia tamati, mpunga tuluotoa ndio umeifikisha hapo
 
Kipaumbambele cha SSH ni kuuza sura na kutumbua pesa, hayo ma miundombinu ni matatizo yenu hayamhusu yeye Rais wa kisasa anayetumia akili, acha tufungue nchi kwanza kwa mafisadi wale kidogo ndio tutawakumbuka nyie.
 
Hicho kituo kimejengwa barabarani pia kuna hela nyingi zilipigwa hapo.
Msitukumbushe machungu.

FB_IMG_16182416836257506.jpg
 
Kipaumbambele cha SSH ni kuuza sura na kutumbua pesa, hayo ma miundombinu ni matatizo yenu hayamhusu yeye Rais wa kisasa anayetumia akili, acha tufungue nchi kwanza kwa mafisadi wale kidogo ndio tutawakumbuka nyie.
Akili zako zipo sehemu gani? Maka.lioni au kwenye kisi.mi?
 
Back
Top Bottom