Africa lazima iwe scrambled kwa namna yoyote ile ,huyo Magu kwani ndio kafanya nini?
Kama kujilinda tuu unategemea vifaa vya wazungu sasa huko ndiko kujilinda? Kim wa Korea Kaskazini ndio mwamba hasa
Nmerudi kua mwenyekiti View attachment 1791541
Kunywa tiba asili ama ukufe kama magufuliWee ni aina ya watu hata kujua duniani nini kinaendelea na jisi gani tutakoka kwenye makucha haya wala hujui. Wewe ukijilia ugali wako na bamia, huna la zaidi unaenda zako kujilalia.
[emoji14] [emoji14] π