Elections 2015 Magufuli hafai kuwa kiongozi mkubwa wa nchi, unaikumbuka hii

Hakuna alilovumishiwa hata moja hapo...tofauti yake na wengine ni kuwa yeye mambo yake mengi yalikuwa underground.

Afu anajua kula na vipofu...yaani anapiga sana kazi afu pia anaiba!

Msiemtaka kaja
 
Hauna jinsi, KUBALI MATOKEO, ndo rais wako mtarajiwa huyo!
 
Mtake msitake banaa...JPM ndio mpango mzima,subirini nvua za mawe nyie mlio wajinga wajinga
 
Kama kawauzia nyumba watz big up magufuli kapunguza namba ya wapangaji tunataka kila mtz amili nyumba
 
Mzee Umepita mule mule aiseee tatizo ni ujinga Una nafasi kubwa sana ktk mass ya wa'Tz Ndio maana wanachagua kwa pupa
 
Siasa za Tanzania zimejaa fitna na majungu...zimevamiwa na watu wanaofikiria kuwa matajiri haraka haraka kwa kutumia siasa.

Muacheni JPM afanye kazi yake
 
Umefunguka watanzania tumelogwa ni kama kuku akikamatwa kifaranga wake na kimbulu anasahau halafu anarudi palepale haya yote yalikuwepo mjengoni leo wamesahau yote Escrow .Richmond etc imebaki magufuli hivi tumelogwa?
Tumerogwa au hatukusoma?hatuelewi chochote zaid ya kupewa kapelo na pilau chama kipo miaka 50 Hosp hamna haya panadol ni hatari hii
 
Hapa kazi tu

Lazima hamkutegemea alivyo kiongozi JEMBE kuwahi kutokea nchini.

Magufuli oyeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…