Magufuli herooo!

BONGOLALA

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2009
Posts
16,508
Reaction score
11,897
Serikali imeshinda kesi dhidi ya wavuvi haramu,hivyo meli imetaifishwa.
 
fine wanatulipa bei gani? imetugharimu bei gani hiyo kesi? wale samaki tuliwatunza kwa bei gani kabla ya kusambazwa bure? tumeingiza faida au hasara kwa ushindi huo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…