BONGOLALA JF-Expert Member Joined Sep 14, 2009 Posts 16,508 Reaction score 11,897 Feb 23, 2012 #1 Serikali imeshinda kesi dhidi ya wavuvi haramu,hivyo meli imetaifishwa.
CHAI CHUNGU JF-Expert Member Joined Feb 20, 2012 Posts 7,113 Reaction score 933 Feb 23, 2012 #2 BONGOLALA said: Serikali imeshinda kesi dhidi ya wavuvi haramu,hivyo meli imetaifishwa. Click to expand... Poa mkuu But plz Chanzo??????????? Na jee wale jamaa waliokamatwa vp wamepigwa mvua ngapi ngapi???????????
BONGOLALA said: Serikali imeshinda kesi dhidi ya wavuvi haramu,hivyo meli imetaifishwa. Click to expand... Poa mkuu But plz Chanzo??????????? Na jee wale jamaa waliokamatwa vp wamepigwa mvua ngapi ngapi???????????
Lucas JF-Expert Member Joined Dec 3, 2011 Posts 2,457 Reaction score 1,110 Feb 23, 2012 #3 fine wanatulipa bei gani? imetugharimu bei gani hiyo kesi? wale samaki tuliwatunza kwa bei gani kabla ya kusambazwa bure? tumeingiza faida au hasara kwa ushindi huo?
fine wanatulipa bei gani? imetugharimu bei gani hiyo kesi? wale samaki tuliwatunza kwa bei gani kabla ya kusambazwa bure? tumeingiza faida au hasara kwa ushindi huo?
Ngambo Ngali JF-Expert Member Joined Apr 17, 2009 Posts 3,517 Reaction score 1,363 Feb 23, 2012 #4 BONGOLALA said: Serikali imeshinda kesi dhidi ya wavuvi haramu,hivyo meli imetaifishwa. Click to expand... Serikali imetaifisha au bahari imetaifisha? Maana nasikia meli yenyewe inazama
BONGOLALA said: Serikali imeshinda kesi dhidi ya wavuvi haramu,hivyo meli imetaifishwa. Click to expand... Serikali imetaifisha au bahari imetaifisha? Maana nasikia meli yenyewe inazama
pmwasyoke JF-Expert Member Joined May 27, 2010 Posts 4,760 Reaction score 3,324 Feb 23, 2012 #5 Ngambo Ngali said: Serikali imetaifisha au bahari imetaifisha? Maana nasikia meli yenyewe inazama Click to expand... Hata picha ya meli hiyo ikizama tumeiona
Ngambo Ngali said: Serikali imetaifisha au bahari imetaifisha? Maana nasikia meli yenyewe inazama Click to expand... Hata picha ya meli hiyo ikizama tumeiona