Magufuli kafanya mengi ila Air Tanzania, TRC, na Tanesco aliwazidishia upendeleo. Staff wa hizi taasisi wanaomchukia Magufuli hawana shukrani

Magufuli kafanya mengi ila Air Tanzania, TRC, na Tanesco aliwazidishia upendeleo. Staff wa hizi taasisi wanaomchukia Magufuli hawana shukrani

MKATA KIU

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
3,410
Reaction score
8,184
Habari wadau

Huu ni ukweli mchungu

1. Magufuli kaikuta Air Tanzania ikiwa haina ndege hata 1. Ila kaifufua na kainunulia ndege za kutosha

2. Magufuli kakuta shirika la reli TRC linaelekea kujifia.. kalifufua kwa kuliwekezea ma trilioni ya hela na kafosi kujenga reli ya SGR na kawanunulia treni ya umeme.

3. Magufuli kakuta Tanesco ikielekea kufa madeni kibao huku haina uwezo wa kuzalisha umeme. Inategemea umeme wa kuuziwa kwa bei na gharama za kifisadi na kina Songas, inagine Tanesco anauzwa unit moja ya umeme kwa shilingi 900 halafu anaenda kuuzia wananchi unit moja kwa shilingi 350. Hasara tupu

Magufili kafosi kajenga bwawa leo hiii Tanesco imepata umeme 2100 megawatt za kutosha kuwasha nchi nzima

Binafsi nawashangaa sana wafanyakazi wa haya mashirika wanaomchukia magufuli.
 
Habari wadau

Huu ni ukweli mchungu

1. Magufuli kaikuta Air Tanzania ikiwa haina ndege hata 1. Ila kaifufua na kainunulia ndege za kutosha

2. Magufuli kakuta shirika la reli TRC linaelekea kujifia.. kalifufua kwa kuliwekezea ma trilioni ya hela na kafosi kujenga reli ya SGR na kawanunulia treni ya umeme.

3. Magufuli kakuta Tanesco ikielekea kufa madeni kibao huku haina uwezo wa kuzalisha umeme. Inategemea umeme wa kuuziwa kwa bei na gharama za kifisadi na kina Songas, inagine Tanesco anauzwa unit moja ya umeme kwa shilingi 900 halafu anaenda kuuzia wananchi unit moja kwa shilingi 350. Hasara tupu

Magufili kafosi kajenga bwawa leo hiii Tanesco imepata umeme 2100 megawatt za kutosha kuwasha nchi nzima

Binafsi nawashangaa sana wafanyakazi wa haya mashirika wanaomchukia magufuli.
Air Tz haina ndege bali inakodi, fatilia vizuri habari zako.
 
Habari wadau

Huu ni ukweli mchungu

1. Magufuli kaikuta Air Tanzania ikiwa haina ndege hata 1. Ila kaifufua na kainunulia ndege za kutosha

2. Magufuli kakuta shirika la reli TRC linaelekea kujifia.. kalifufua kwa kuliwekezea ma trilioni ya hela na kafosi kujenga reli ya SGR na kawanunulia treni ya umeme.

3. Magufuli kakuta Tanesco ikielekea kufa madeni kibao huku haina uwezo wa kuzalisha umeme. Inategemea umeme wa kuuziwa kwa bei na gharama za kifisadi na kina Songas, inagine Tanesco anauzwa unit moja ya umeme kwa shilingi 900 halafu anaenda kuuzia wananchi unit moja kwa shilingi 350. Hasara tupu

Magufili kafosi kajenga bwawa leo hiii Tanesco imepata umeme 2100 megawatt za kutosha kuwasha nchi nzima

Binafsi nawashangaa sana wafanyakazi wa haya mashirika wanaomchukia magufuli.
Wanao mchukia ni wajinga. Mashetani kabisa
 
Habari wadau

Huu ni ukweli mchungu

1. Magufuli kaikuta Air Tanzania ikiwa haina ndege hata 1. Ila kaifufua na kainunulia ndege za kutosha

2. Magufuli kakuta shirika la reli TRC linaelekea kujifia.. kalifufua kwa kuliwekezea ma trilioni ya hela na kafosi kujenga reli ya SGR na kawanunulia treni ya umeme.

3. Magufuli kakuta Tanesco ikielekea kufa madeni kibao huku haina uwezo wa kuzalisha umeme. Inategemea umeme wa kuuziwa kwa bei na gharama za kifisadi na kina Songas, inagine Tanesco anauzwa unit moja ya umeme kwa shilingi 900 halafu anaenda kuuzia wananchi unit moja kwa shilingi 350. Hasara tupu

Magufili kafosi kajenga bwawa leo hiii Tanesco imepata umeme 2100 megawatt za kutosha kuwasha nchi nzima

Binafsi nawashangaa sana wafanyakazi wa haya mashirika wanaomchukia magufuli.
Ungeonesha wapi wafanyakazi wa hizo taasisi wakimchukia Magufuli, tofauti na hapo hisia zako tu zinakusumbua dhidi ya wale wanaotoa mawazo yao.
 
Habari wadau

Huu ni ukweli mchungu

1. Magufuli kaikuta Air Tanzania ikiwa haina ndege hata 1. Ila kaifufua na kainunulia ndege za kutosha

2. Magufuli kakuta shirika la reli TRC linaelekea kujifia.. kalifufua kwa kuliwekezea ma trilioni ya hela na kafosi kujenga reli ya SGR na kawanunulia treni ya umeme.

3. Magufuli kakuta Tanesco ikielekea kufa madeni kibao huku haina uwezo wa kuzalisha umeme. Inategemea umeme wa kuuziwa kwa bei na gharama za kifisadi na kina Songas, inagine Tanesco anauzwa unit moja ya umeme kwa shilingi 900 halafu anaenda kuuzia wananchi unit moja kwa shilingi 350. Hasara tupu

Magufili kafosi kajenga bwawa leo hiii Tanesco imepata umeme 2100 megawatt za kutosha kuwasha nchi nzima

Binafsi nawashangaa sana wafanyakazi wa haya mashirika wanaomchukia magufuli.
Walijua kufanya kazi mashirika hayo ni sawa na kua na hisa kupata gawio bila wewe kuwekeza chochote. Na zaidi ya hapo unapewa mshahara kila mwezi. Sasa wakiona namna utaratibu uliyokuja na falsafa za kimagufuli kuwabana kufanya kazi kwa mshahara wanachukia. Bila shaka wanapewa habari huko nyuma jinsi wafanyakazi walikua wanapiga hela kwenye hayo mashirika ya umma na ndio maana yalifilisika. Wapo matajiri wakubwa nchini hivi leo kutokana na kuvuna wasichopanda kwenye hayo mashirika ya umma.
 
Staff wa TRC wamshukuru kwa lipi hasa wakati mishahara ya staff wa TRC ni kama ujira wa kuli tu anaebeba mizigo..
Wastaafu hawapewi stahiki zao na shirika hata senti tano, wafanyakazi wanalidai shirika stahiki na posho zao zinaminywa na zingine hazilipwi pamoja na kazi ngumu inayofanyika..

Hio miradi ya ujenzi wanaonufaika ni watu wa juu tu ila sio mfanyakazi wa kawaida
 
50% ya wafanyakazi wa serikali ni wavivu ,hawafanyi kazi ,wanakula mishahara ya bure.---Kuna tafitii ilitoka kama miezi miwili nyuma
 
Back
Top Bottom