Magufuli, kama mwanao aliumwa Covid-19? Ulijuaje na wewe hukubaliani na vipimo na upimaji ulishasitishwa? Kama alipona ulijuaje hana virus? Confusion!

Magufuli, kama mwanao aliumwa Covid-19? Ulijuaje na wewe hukubaliani na vipimo na upimaji ulishasitishwa? Kama alipona ulijuaje hana virus? Confusion!

field marshall1

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2017
Posts
1,171
Reaction score
2,732
Hotuba ya Magufuli ilikuwa ya hovyo, very controversial and contradictory...Nimeshangazwa na jinsi alivyokuwa akijichanganya.
Mwanzo Upimaji nchini Tanzania ulisimamishwa kwa kisingizio kuwa wakipima wengi wanakuwa positive...Je mtoto wake rais ni katika hao False positive, kama rais anaamini mtoto ni positive iweje wengine wasiwe positive?

Kwa vile upimaji ulishapigwa marufuku, je mtoto wa Magufuli alipimiwa wapi??? na baada ya kupona ni vipimo gani vilimthibitisha hana hao virus? Please be mindful that there is no testing which is taking place in Tanzania at this moment. HAPO
AMETUACHA MIDOMO WAZI!

Kama mtoto wake alipimwa akajulikana ana tatizo...kwanini anazuia watanzania wengine wasipimwe na kupewa matibabu? Hata matibabu ya hayo mitishamba kama aliyotumia mwanawe?

Kuhusu dawa ya Madagascar, mbona rais hakuiongelea? Tuliambiwa dawa imepatikana na Kabudi akainywa ya kwake tukaambiwa mbili zimebaki za rais kugawa yeye....Je aliitumia pia kumtibia mtoto wake? Siyo mbaya tukijua kama ilifanya kazi vizuri.

Magufuli amedanganya kuwa hawezi kufunga mipaka kwa sababu uchumi utakufa, anaelewa kabisa kuwa ufungaji wa mipaka hauhusu malori na mizigo inayopita kwenda jirani...Hata mipaka ingefungwa sukari ingeletwa tu kwa malori. Kinachokatazwa ni movement of people na siyo muda wote bali mambo yakirejea kawaida wanafungua.

Ndiyo utashughulikia na mambo ya nyumba yako lakini kunakuwa na misimamo ya pamoja kwa sababu magonjwa ya milipuko hayana na hayajui mipaka, hivyo wakati wenzetu wanaweka mikakati (Strategies) rais wetu anaenda tofauti, anadanganya watanzania kwa sababu hawajali hata wakifa...Magufuli anatumia nguvu nyingi kupingana na ukweli. Kwanini anapenda kwenda tofauti na viongozi wengine.

Mwenyezi Mungu hajasikiliza sala la Magufuli wala za serikali, kipindi cha maombi feki, watu wengi wamefariki kwa CORONA ikiwemo na wabunge watatu....angetubu labda na kuwa muadilifu tungeweza kusema Mungu analilinda Taifa.

Anachoshindwa kujua ni kuwa Urais ni taasisi, siyo kitu cha binafsi au ubunge, hata ubunge nao unatakiwa wakati wa bunge uwe DODOMA, Lakini yeye kahamia kwake, tunamuona makanisani tu, wiki ya nane sasa....Ni lini ikulu imehamia Chato? Kama ni hivyo basi ingekuwa ni vyema kusiwe na Ikulu, hivyo kila rais aongoze nchi kutoka katika kijiji chake.

Mwisho, Rais wetu ni denier wa ugonjwa, amekataza wasipime na kutoa majibu, wakati watanzania wengi wapo kwenye hospitali ambazo hajazitaja kama Mount Meru, Sokoine etc etc wengi kwa mamia kama si maelfu acha wale wanaougulia nyumbani. HAKUNA UPIMAJI, JE UTAJUAJE KUWA UGONJWA UMEPUNGUA WAKATI INCUBATION YA UGONJWA NI SIKU 14? Magufuli ni tatizo, nia yake si nzuri kwa nchi na kwa wananchi wa Tanzania.
 
Huyu ni rais wa Malaika anaongea na Mungu moja kwa moja......NDIO MAANA ALISEMA CHANGANYA NA ZA KWAKO
Carl Peter's
 
Zile bangi za shule ya Sekondari Sengerema hazijaisha, pafu moja linakaa kichwani miaka Saba. Ndio mtajua bangi ni noma.
Msiamini maneno ya watu waasi na wasaliti ambao wanaanza kufanya Mambo halafu wanaishia njiani.
Bora tu angeendelea kupuliza Hadi leo
 
Remdesvir Tsh 10, 000,000/= per single dose Nani ataweza haPa ugonjwa Hakuna na Kama upo ni limau
 
Hotuba ya Magufuli ilikuwa ya hovyo, very controversial and contradictory...Nimeshangazwa na jinsi alivyokuwa akijichanganya.
Mwanzo Upimaji nchini Tanzania ulisimamishwa kwa kisingizio kuwa wakipima wengi wanakuwa positive...Je mtoto wake rais ni katika hao False positive, kama rais anaamini mtoto ni positive iweje wengine wasiwe positive?

Kwa vile upimaji ulishapigwa marufuku, je mtoto wa Magufuli alipimiwa wapi??? na baada ya kupona ni vipimo gani vilimthibitisha hana hao virus? Please be mindful that there is no testing which is taking place in Tanzania at this moment. HAPO
AMETUACHA MIDOMO WAZI!

Kama mtoto wake alipimwa akajulikana ana tatizo...kwanini anazuia watanzania wengine wasipimwe na kupewa matibabu? Hata matibabu ya hayo mitishamba kama aliyotumia mwanawe?

Kuhusu dawa ya Madagascar, mbona rais hakuiongelea? Tuliambiwa dawa imepatikana na Kabudi akainywa ya kwake tukaambiwa mbili zimebaki za rais kugawa yeye....Je aliitumia pia kumtibia mtoto wake? Siyo mbaya tukijua kama ilifanya kazi vizuri.

Magufuli amedanganya kuwa hawezi kufunga mipaka kwa sababu uchumi utakufa, anaelewa kabisa kuwa ufungaji wa mipaka hauhusu malori na mizigo inayopita kwenda jirani...Hata mipaka ingefungwa sukari ingeletwa tu kwa malori. Kinachokatazwa ni movement of people na siyo muda wote bali mambo yakirejea kawaida wanafungua.

Ndiyo utashughulikia na mambo ya nyumba yako lakini kunakuwa na misimamo ya pamoja kwa sababu magonjwa ya milipuko hayana na hayajui mipaka, hivyo wakati wenzetu wanaweka mikakati (Strategies) rais wetu anaenda tofauti, anadanganya watanzania kwa sababu hawajali hata wakifa...Magufuli anatumia nguvu nyingi kupingana na ukweli. Kwanini anapenda kwenda tofauti na viongozi wengine.

Mwenyezi Mungu hajasikiliza sala la Magufuli wala za serikali, kipindi cha maombi feki, watu wengi wamefariki kwa CORONA ikiwemo na wabunge watatu....angetubu labda na kuwa muadilifu tungeweza kusema Mungu analilinda Taifa.

Anachoshindwa kujua ni kuwa Urais ni taasisi, siyo kitu cha binafsi au ubunge, hata ubunge nao unatakiwa wakati wa bunge uwe DODOMA, Lakini yeye kahamia kwake, tunamuona makanisani tu, wiki ya nane sasa....Ni lini ikulu imehamia Chato? Kama ni hivyo basi ingekuwa ni vyema kusiwe na Ikulu, hivyo kila rais aongoze nchi kutoka katika kijiji chake.

Mwisho, Rais wetu ni denier wa ugonjwa, amekataza wasipime na kutoa majibu, wakati watanzania wengi wapo kwenye hospitali ambazo hajazitaja kama Mount Meru, Sokoine etc etc wengi kwa mamia kama si maelfu acha wale wanaougulia nyumbani. HAKUNA UPIMAJI, JE UTAJUAJE KUWA UGONJWA UMEPUNGUA WAKATI INCUBATION YA UGONJWA NI SIKU 14? Magufuli ni tatizo, nia yake si nzuri kwa nchi na kwa wananchi wa Tanzania.
Huyo ni mkuu wa nchi mpumbavu wewe, anauwezo wa kupeleka sample zake nchi yoyote ulimwenguni akapata huduma ya uhakika tena malamoja.
 
Huyo ni mkuu wa nchi mpumbavu wewe, anauwezo wa kupeleka sample zake nchi yoyote ulimwenguni akapata huduma ya uhakika tena malamoja.
Nchi gani kule kw anaowaita mabeberu?? Au kwa majirani zetu anaowaona kuwa wanatumiwa na mabeberu kuhujumu uchumi wetu kwa kisingizio cha corona??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo ni mkuu wa nchi mpumbavu wewe, anauwezo wa kupeleka sample zake nchi yoyote ulimwenguni akapata huduma ya uhakika tena malamoja.
Wewe unayefikiri kwa kutumia pua zako. Kwa hiyo kwa sababu yeye ana uwezo wa kuwapima watoto na wake zake sisi ndiyo tukatazwe kupimiwa wagonjwa wetu ili hata wakifa ni sawa tu? Acha ushabiki na mahaba ya kumsitiri msukuma mwenzio, pia acha kufikiri kwa kutumia makamasi. Wasukuma wanatukana ovyo, Kiswahili chenyewe haujui , "Malamoja" ndiyo nini wewe fisi?
 
Huyo ni mkuu wa nchi mpumbavu wewe, anauwezo wa kupeleka sample zake nchi yoyote ulimwenguni akapata huduma ya uhakika tena malamoja.

Kama ndivyo
1. Data alizosoma jana kanisani alizipata kutoka maabala gani?

2. Je uhai wa watanzania wengine sio muhimu hata waspimwe?
 
Huyo ni mkuu wa nchi mpumbavu wewe, anauwezo wa kupeleka sample zake nchi yoyote ulimwenguni akapata huduma ya uhakika tena malamoja.
Sasa hapo mpumbavu utakuwa ni wewe ambae unadhani kuwa rais anaweza kuwaacha mamilioni ya watanzania hawana vipimo halafu yeye akapeleka sample ya mtoto wake kupimwa nje ya nchi.

Usimfanye kiongozi wetu mbinafsi kwa kiwango hicho, na unatakiwa kuwa na heshima kwa kiongozi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hotuba ya Magufuli ilikuwa ya hovyo, very controversial and contradictory...Nimeshangazwa na jinsi alivyokuwa akijichanganya.
Mwanzo Upimaji nchini Tanzania ulisimamishwa kwa kisingizio kuwa wakipima wengi wanakuwa positive...Je mtoto wake rais ni katika hao False positive, kama rais anaamini mtoto ni positive iweje wengine wasiwe positive?

Kwa vile upimaji ulishapigwa marufuku, je mtoto wa Magufuli alipimiwa wapi??? na baada ya kupona ni vipimo gani vilimthibitisha hana hao virus? Please be mindful that there is no testing which is taking place in Tanzania at this moment. HAPO
AMETUACHA MIDOMO WAZI!

Kama mtoto wake alipimwa akajulikana ana tatizo...kwanini anazuia watanzania wengine wasipimwe na kupewa matibabu? Hata matibabu ya hayo mitishamba kama aliyotumia mwanawe?

Kuhusu dawa ya Madagascar, mbona rais hakuiongelea? Tuliambiwa dawa imepatikana na Kabudi akainywa ya kwake tukaambiwa mbili zimebaki za rais kugawa yeye....Je aliitumia pia kumtibia mtoto wake? Siyo mbaya tukijua kama ilifanya kazi vizuri.

Magufuli amedanganya kuwa hawezi kufunga mipaka kwa sababu uchumi utakufa, anaelewa kabisa kuwa ufungaji wa mipaka hauhusu malori na mizigo inayopita kwenda jirani...Hata mipaka ingefungwa sukari ingeletwa tu kwa malori. Kinachokatazwa ni movement of people na siyo muda wote bali mambo yakirejea kawaida wanafungua.

Ndiyo utashughulikia na mambo ya nyumba yako lakini kunakuwa na misimamo ya pamoja kwa sababu magonjwa ya milipuko hayana na hayajui mipaka, hivyo wakati wenzetu wanaweka mikakati (Strategies) rais wetu anaenda tofauti, anadanganya watanzania kwa sababu hawajali hata wakifa...Magufuli anatumia nguvu nyingi kupingana na ukweli. Kwanini anapenda kwenda tofauti na viongozi wengine.

Mwenyezi Mungu hajasikiliza sala la Magufuli wala za serikali, kipindi cha maombi feki, watu wengi wamefariki kwa CORONA ikiwemo na wabunge watatu....angetubu labda na kuwa muadilifu tungeweza kusema Mungu analilinda Taifa.

Anachoshindwa kujua ni kuwa Urais ni taasisi, siyo kitu cha binafsi au ubunge, hata ubunge nao unatakiwa wakati wa bunge uwe DODOMA, Lakini yeye kahamia kwake, tunamuona makanisani tu, wiki ya nane sasa....Ni lini ikulu imehamia Chato? Kama ni hivyo basi ingekuwa ni vyema kusiwe na Ikulu, hivyo kila rais aongoze nchi kutoka katika kijiji chake.

Mwisho, Rais wetu ni denier wa ugonjwa, amekataza wasipime na kutoa majibu, wakati watanzania wengi wapo kwenye hospitali ambazo hajazitaja kama Mount Meru, Sokoine etc etc wengi kwa mamia kama si maelfu acha wale wanaougulia nyumbani. HAKUNA UPIMAJI, JE UTAJUAJE KUWA UGONJWA UMEPUNGUA WAKATI INCUBATION YA UGONJWA NI SIKU 14? Magufuli ni tatizo, nia yake si nzuri kwa nchi na kwa wananchi wa Tanzania.
Unamuuliza nani??ukiwa kama nani?? mwacheni rais wetu mpendwa
 
Back
Top Bottom