Magufuli kufanya suprise kwa wasanii

Magufuli kufanya suprise kwa wasanii

maatope

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2013
Posts
1,422
Reaction score
957
attachment.php
baada ya wema sepetu kuisaidia ccm kupata ushindi,sasa ni zamu yake yeye na mwana fa kupewa ubunge wa viti maalumu
ama kwa hakika magufuli ataweka historia mpya na vijana watafurahi sana maana wema sepetu ni role model wa maana
hakuna shaka cheo cha naibu waziri wa mambo ya nje atapewa mwanadada huyu ambaye alikuwa kampeni meneja wa mama samia suluhu
God bless Tanzania😛oa
 

Attachments

  • DSC02431.jpg
    DSC02431.jpg
    60 KB · Views: 2,900
Nitamuona chizi rais akifanya hivyo, WEMA?? Please! Nafasi tisa alizobakiza ni kwa ajili ya watu ambao wangefaa awape ubunge ili wawe mawaziri au manaibu mawaziri! Na sio lazima azitumie zote ndani ya mwaka, miaka miwili ijayo anaweza pata mtu si mbunge ila ana sifa za kuwa waziri au naibu waziri kutokana na mchango wake, hivyo atatumia hiyo fursa! Huu upumbavu wa kulipana fadhila kama ni kweli basi utamrudisha nyuma.
 
wema ana nyota kali ,akipata unaibu waziri mambo ya nje tutapata misaada mingi sana,halfu ni role model ambaye wasichana wengi wanamfatisha mambo yake kwa hiyo itakuwa inspiration kubwa sana,huoni hata mama samia alimtegemea sana yeye kwenye kampeni??
 
Akimteua wema inabd aanzshe na wizara ya ngono na utamu
 
wema ana nyota kali ,akipata unaibu waziri mambo ya nje tutapata misaada mingi sana,halfu ni role model ambaye wasichana wengi wanamfatisha mambo yake kwa hiyo itakuwa inspiration kubwa sana,huoni hata mama samia alimtegemea sana yeye kwenye kampeni??
We kweli ni maatope kama ana nyota kali si ingemuwezesha kipindi alipogombea Singida ??
 
Last edited by a moderator:
Sitashangaa, kwa akili za wabongo watafurahi sana wakisikia wema kateuliwa mbunge.
 
Mtu na akili zako timamu utasoma gazeti linaitwa Risasi?
 
kumbe ni gazeti la udaku!!!!!! mmhh! ngoja nipite kimya kimya!
 
Naendelea kuweka record yng ya Usmart sijawah nunua gazeti la udaku"
 
wema ana nyota kali ,akipata unaibu waziri mambo ya nje tutapata misaada mingi sana,halfu ni role model ambaye wasichana wengi wanamfatisha mambo yake kwa hiyo itakuwa inspiration kubwa sana,huoni hata mama samia alimtegemea sana yeye kwenye kampeni??

Kwi kwi kwiiiii

Mbona vipodozi havijauza hata alipoweka seli nusu bei

Hadi kaenda mahala kaambiwa vya uvunguni havina nguvu vinakumaliza ni Mungu tu ndie juu ya vyoteeee. Huyo kaenda kutoa misaada kwa watoto natumaini ni kwa roho nyeupe na sio sharti la kuvutia watu wanunue vitu vyake.

Amefulia kabisa mfano mbaya wa wasichana kuufata.
 
Kwi kwi kwiiiii

Mbona vipodozi havijauza hata alipoweka seli nusu bei

Hadi kaenda mahala kaambiwa vya uvunguni havina nguvu vinakumaliza ni Mungu tu ndie juu ya vyoteeee. Huyo kaenda kutoa misaada kwa watoto natumaini ni kwa roho nyeupe na sio sharti la kuvutia watu wanunue vitu vyake.

Amefulia kabisa mfano mbaya wa wasichana kuufata.

mashabiki wake wengi form one na two....sasa hao watoto watapata wapi hela ya kununulia vipodozi vya rolu modo wao?
 
Back
Top Bottom