Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,550
Nawasalimu, amani iwe juu yenu wanajukwaa!
Naapa kwa aliyeumba, huyu ataenda kuwa Rais ambaye atavunja historia tangu nchi hii ipate uhuru watu wataishi katika Chuki na visasi vya hapa na pale. CCM kitakua ndicho chama kitakachochukiwa na watu wote katika jamii na hata wao watachukua na wenyewe kwa wenyewe.
Mtaani CCM kitakosa heshima, litaonekana kama chama cha mabavu, chama cha wenye uchu na madaraka, chama kisichojali maamuzi ya wananchi.
Magufuli amedanganywa wa washauri wake kwamba kubakiza Chama tawala bungeni 99% ndiyo suluhisho la matatizo ya nchi hii. Wenye kuelewa maana ya utawa hufanya kazi kwa kushirikiana na mahasimu wao.
Sasa CCM wanataka wafanye kazi bila serikali kukosolewa wala kunyooshewa kidole. Sasa na tuone watafika wapi, hili litakua bunge litakalochukiwa kuliko mabunge yote duniani.
Dhambi haidumu milele na Mungu hua hadhihakiwi.
Naapa kwa aliyeumba, huyu ataenda kuwa Rais ambaye atavunja historia tangu nchi hii ipate uhuru watu wataishi katika Chuki na visasi vya hapa na pale. CCM kitakua ndicho chama kitakachochukiwa na watu wote katika jamii na hata wao watachukua na wenyewe kwa wenyewe.
Mtaani CCM kitakosa heshima, litaonekana kama chama cha mabavu, chama cha wenye uchu na madaraka, chama kisichojali maamuzi ya wananchi.
Magufuli amedanganywa wa washauri wake kwamba kubakiza Chama tawala bungeni 99% ndiyo suluhisho la matatizo ya nchi hii. Wenye kuelewa maana ya utawa hufanya kazi kwa kushirikiana na mahasimu wao.
Sasa CCM wanataka wafanye kazi bila serikali kukosolewa wala kunyooshewa kidole. Sasa na tuone watafika wapi, hili litakua bunge litakalochukiwa kuliko mabunge yote duniani.
Dhambi haidumu milele na Mungu hua hadhihakiwi.