Tetesi: Magufuli na awamu iliyoua Biashara: Ngurdoto, Impala, Naura, Tours, Warithi waapa kuirudisha: Awamu 5 ilifilisi

Tetesi: Magufuli na awamu iliyoua Biashara: Ngurdoto, Impala, Naura, Tours, Warithi waapa kuirudisha: Awamu 5 ilifilisi

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776


n.jpeg


Ngurdoto ilikua/ipo chini ya The Impala Group of Hotels (IGH) ambayo ilikua ina jumuisha Impala Hotel (Arusha), Impala Hotel (Moshi), Ngurdoto Mountain Lodge (Arusha), Naira Springs Hotel (Arusha), Impala Shuttle Services (Arusha) na The Classic Tours and Travels.

IGH ilikua inamilikia na marehemu Faustine Meleo Auye Mrema, mzaliwa wa Rombo, Kilimanjaro aliefariki July ya mwaka 2017. Hoteli yake ya kwanza ya Impala alifungia 1988.Biashara kubwa ya Ngurdoto ilikua mikutano ya kiserikali na Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Mikutano mingi ya kitaifa na kimataifa ilikua inafanyika Ngurdoto wakati wa awamu ya nne. Ilipoingia serikali ya awamu ya tano biashara hiyo kutoka kwa serikali na mikutano ya kimataifa ilipungua.

Mwaka 2016 ulifanyika kikao cha wakuu wa nchi wa Jumuiya ambapo Hayati Magufuli akalalamika kuhusu gharama za mkutano huo.Unaweza fungus link hii kwa reference ya baadhi nilisema hapo juu.

Baada ya kukosa mikutano ya kiserikali na kimataifa ndio biashara ikaanza kudorora. Na kama wewe ni mjuzi wa mambo kafuatilie chimbuko la Ngurdoto kuanzishwa.Sasa tufast forward (tusogee mbele) hadi awamu ya sita.

Kaingia Raisi Samia na serikali imeanza tena kutumia hizi facilities binafsi kwa ajili ya mikutano mbalimbali. Hivyo kusema Ngurdoto ilidorora kwa sababu ya kukosa watalii na biashara imerudi kwa sababu ya watalii sio kweli. Kwani Tanzani haijawahi kupungukiwa na watalii ukiacha wakati wa COVID-19 2020/21. Mwaka 2017 Ngurdoto iliamuliwa na Mahakama iuze mali zake kuwalipa wafanyakazi 93 TSh milioni 129.

Mwaka huo huo Tanzania ilikua na watalii wa kigeni 1,327,000. Mwaka 2022 Tanzania ilikua na watalii wa kigeni 1,454,920. Utasemaje mwaka 2017 biashara ya Ngurdoto ilidorora kwa sababu ya watalii na kwa sasa imerudi kwa sababu ya watalii? Na hata The Citizen siku tatu zilipo pita imeandika makala yenye kichwa hiki cha habari.

Kiuhalisia Mrema alikua na wake kadhaa. Na kila mke ni kama alimpa himaya yake ya kumanage. Baada ya Mrema kufariki kulitokea mgogoro wa kifamilia kuhusu nani atarithi nini. Oct mwaka huu Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Arusha ilitengua wasimamizi wa mirathi kwenye kesi ilioisha 2017.

Akateuliwa mtoto wake Randle Mrema kuwa msimamizi wa mali.Kwa hiyo tangu 2017-Oct 23 kulikua na kesi ya mirathi hivyo hoteli isingeweza kuuzwa. Ila baada ya shauri hilo la Oct 23, Randle alieteuliwa kuwa msimamizi wa mali aliongea na vyombo vya habari na akasema atafanyia kazi kulipa madeni na kufufua biashara zilizo kufa. Hivyo sidhani kama kati ya Oct-Nov watakua wameiuza hiyo hoteli. Bado iko chini ya familia ya Mrema.​
 
mtu mwenye akili ataona hapa shida sio magufuli, yani hawa jamaa walitaka kujumilikisha wao hiyo mikutano na walipwe pesa nyingi huku serikali ikiwa inapoteza tu pesa hovyo
Mikutano mingi ya kitaifa na kimataifa ilikua inafanyika Ngurdoto wakati wa awamu ya nne. Ilipoingia serikali ya awamu ya tano biashara hiyo kutoka kwa serikali na mikutano ya kimataifa ilipungua.
 
Hawa jamaa walishaiteka serikali, mikutano yote ya kijinga ilikua inafanyikia hoteli zao huku mabilioni ya pesa yakilipwa kijanja janja tu

Magufuli alipoingia akakomesha huu ujinga wakaisoma namba

We umejenga hoteli ya biashara eti unategemea mikutano ya serikali??? Pathetic


Mrema. Bana aliondoka na Mali zake akaacha warithi wajinga wajinga tu
 
Aisee!

Kwa Familia ya Faustine Meleo Auye Mrema.

Poleni kwa msiba na migogoro yote iliyofuatia. Sasa mjue Familia yenu ndio imeingizwa rasmi kwenye siasa za matope na majitaka kama bado hamjafanya hivyo. Nawashauri mutafute wakili wakuja kukanusha haya, lasivyo mjue mtasakamwa sana na huyu mleta mada.



Mbona mnahangika sana kumchafua Hayati Rais kwa migogoro yenu ya ndani?


Ipo siku hili la kusingizia, kupotosha, na kuzusha litawarudia.
 
Aisee!

Kwa Familia ya Faustine Meleo Auye Mrema.

Poleni kwa msiba na migogoro yote iliyofuatia Laiti mngejua Familia yenu sasa ndio imeingizwa rasmi kwenye siasa za matope na majitaka basi nawashauri mutafute wakili wakuja kukanusha haya, lasivyo mjue mtasakamwa sana na huyu mleta mada.



Mbona mnahangika sana kumchafua Hayati Rais kwa migogoro yenu ya ndani?


Ipo siku hili la kusingizia, kupotosha, na kuzusha litawarudia.
Umeamka na hang'over ya ugoro wa Cheka -ung'atwe hapo Matejoo eeh!

Umesoma vizuri hiyo heading ama unatumia WiFi ya shemeji hapo kwa kuibia?
Unajua kipindi Jiwe kaingia madarakani na kuanza Precision aair , makampuni ya simu, makampuni ya madini, Bureau De change kufungwa, wewe mbona unakuwa mwoga kuliko hata mtoto wa kike ambaye hajavunja ungo?

#Mpuuzi mmoja
 
Umeamka na hang'over ya ugoro wa Cheka -ung'atwe hapo Matejoo eeh!

Umesoma vizuri hiyo heading ama unatumia WiFi ya shemeji hapo kwa kuibia?
Unajua kipindi Jiwe kaingia madarakani na kuanza Precision aair , makampuni ya simu, makampuni ya madini, Bureau De change kufungwa, wewe mbona unakuwa mwoga kuliko hata mtoto wa kike ambaye hajavunja ungo?

#Mpuuzi mmoja


Ad hominem.
 
Hivi mali alizo acha marehemu mengi , kwa sasa zinapumulia nini etiii ???
 
Baada ya Mrema kufariki kulitokea mgogoro

Kiuhalisia Mrema alikua na wake kadhaa. Na kila mke ni kama alimpa himaya yake ya kumanage.

Kwa hiyo tangu 2017-Oct 23 kulikua na kesi ya mirathi hivyo hoteli isingeweza kuuzwa.
We umejenga hoteli ya biashara eti unategemea mikutano ya serikali??? Pathetic


Mrema. Bana aliondoka na Mali zake akaacha warithi wajinga wajinga tu
 


View attachment 2823412

Ngurdoto ilikua/ipo chini ya The Impala Group of Hotels (IGH) ambayo ilikua ina jumuisha Impala Hotel (Arusha), Impala Hotel (Moshi), Ngurdoto Mountain Lodge (Arusha), Naira Springs Hotel (Arusha), Impala Shuttle Services (Arusha) na The Classic Tours and Travels.

IGH ilikua inamilikia na marehemu Faustine Meleo Auye Mrema, mzaliwa wa Rombo, Kilimanjaro aliefariki July ya mwaka 2017. Hoteli yake ya kwanza ya Impala alifungia 1988.Biashara kubwa ya Ngurdoto ilikua mikutano ya kiserikali na Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Mikutano mingi ya kitaifa na kimataifa ilikua inafanyika Ngurdoto wakati wa awamu ya nne. Ilipoingia serikali ya awamu ya tano biashara hiyo kutoka kwa serikali na mikutano ya kimataifa ilipungua.

Mwaka 2016 ulifanyika kikao cha wakuu wa nchi wa Jumuiya ambapo Hayati Magufuli akalalamika kuhusu gharama za mkutano huo.Unaweza fungus link hii kwa reference ya baadhi nilisema hapo juu.

Baada ya kukosa mikutano ya kiserikali na kimataifa ndio biashara ikaanza kudorora. Na kama wewe ni mjuzi wa mambo kafuatilie chimbuko la Ngurdoto kuanzishwa.Sasa tufast forward (tusogee mbele) hadi awamu ya sita.

Kaingia Raisi Samia na serikali imeanza tena kutumia hizi facilities binafsi kwa ajili ya mikutano mbalimbali. Hivyo kusema Ngurdoto ilidorora kwa sababu ya kukosa watalii na biashara imerudi kwa sababu ya watalii sio kweli. Kwani Tanzani haijawahi kupungukiwa na watalii ukiacha wakati wa COVID-19 2020/21. Mwaka 2017 Ngurdoto iliamuliwa na Mahakama iuze mali zake kuwalipa wafanyakazi 93 TSh milioni 129.

Mwaka huo huo Tanzania ilikua na watalii wa kigeni 1,327,000. Mwaka 2022 Tanzania ilikua na watalii wa kigeni 1,454,920. Utasemaje mwaka 2017 biashara ya Ngurdoto ilidorora kwa sababu ya watalii na kwa sasa imerudi kwa sababu ya watalii? Na hata The Citizen siku tatu zilipo pita imeandika makala yenye kichwa hiki cha habari.

Kiuhalisia Mrema alikua na wake kadhaa. Na kila mke ni kama alimpa himaya yake ya kumanage. Baada ya Mrema kufariki kulitokea mgogoro wa kifamilia kuhusu nani atarithi nini. Oct mwaka huu Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Arusha ilitengua wasimamizi wa mirathi kwenye kesi ilioisha 2017.

Akateuliwa mtoto wake Randle Mrema kuwa msimamizi wa mali.Kwa hiyo tangu 2017-Oct 23 kulikua na kesi ya mirathi hivyo hoteli isingeweza kuuzwa. Ila baada ya shauri hilo la Oct 23, Randle alieteuliwa kuwa msimamizi wa mali aliongea na vyombo vya habari na akasema atafanyia kazi kulipa madeni na kufufua biashara zilizo kufa. Hivyo sidhani kama kati ya Oct-Nov watakua wameiuza hiyo hoteli. Bado iko chini ya familia ya Mrema.​
Kwanini mnasema tetesi wakati huu ni ukweli mtupu ?
 
Hiyo ni moja ya hujuma nyingi za wazawa, zilizopelekea kudorora kwa Ukumbi wa mikutano ya kimataifa - AICC. Matokeo ya mipango hiyo ovu ni pamoja na ukumbi uliojengwa Dar es salaam -JNICC, lakini huu utaratibu wa "Chukua Chako Mapema" ndio uliowafungua macho wanyarwanda na kutengeneza "Geneva" ya Afrika Kigali.... KICC!.
 
Aisee!

Kwa Familia ya Faustine Meleo Auye Mrema.

Poleni kwa msiba na migogoro yote iliyofuatia. Sasa mjue Familia yenu ndio imeingizwa rasmi kwenye siasa za matope na majitaka kama bado hamjafanya hivyo. Nawashauri mutafute wakili wakuja kukanusha haya, lasivyo mjue mtasakamwa sana na huyu mleta mada.



Mbona mnahangika sana kumchafua Hayati Rais kwa migogoro yenu ya ndani?


Ipo siku hili la kusingizia, kupotosha, na kuzusha litawarudia.
Hotel hii ina ubia na msoga gang,na hizi kelele za magufuli kaharibu,ni ule upuuzi tu wa msoga gang.
 
Utadhani wanalipa vizuri wafanyakazi basi kumbe wanyonyaji wakubwa hao

Hao msiojua Mmliki aliugua Muda mrefu na watoto ni mbumbumbu

Hiyo Ngurudoto ni ya Bibie Anna Magu akua na jeuri mbele ya Bi Anna

Mrema hotel zake zimekufa na kuzorota Kaa kukosa succession plan

Arusha ziliibuka Grand Melia nk
 
Back
Top Bottom