Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Acha ujinga na ficha ujinga wako. Hicho kilikuwa kichaka cha kutakatisha hela. Wangekuwa wanajiendesha kibiashara wala wasingekwama. Kumbuka hata Moro kulikuwa na mfanyabiasha mchaga jambazi aliyekuwa anapora vitu vya watu na kufungua maduka kwa kuwapa wachaga wenzie na ilijulikana wachaga ni wafanya biashara maarufu sana hapo Moro ila alipofariki tu wachaga wote walishapoteq morogoro ni waha for now ambao walikuwa wanafanya biashara kwa haki. So Ngurudoto and the like ni magenge ya waharifu yamejengwa kwa hela za wizi na yanatumika kujustify wizi, ikija awamu nyingine watafungiwa tena tu kama hawajirekebisha
View attachment 2823412
Ngurdoto ilikua/ipo chini ya The Impala Group of Hotels (IGH) ambayo ilikua ina jumuisha Impala Hotel (Arusha), Impala Hotel (Moshi), Ngurdoto Mountain Lodge (Arusha), Naira Springs Hotel (Arusha), Impala Shuttle Services (Arusha) na The Classic Tours and Travels.
IGH ilikua inamilikia na marehemu Faustine Meleo Auye Mrema, mzaliwa wa Rombo, Kilimanjaro aliefariki July ya mwaka 2017. Hoteli yake ya kwanza ya Impala alifungia 1988.Biashara kubwa ya Ngurdoto ilikua mikutano ya kiserikali na Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Mikutano mingi ya kitaifa na kimataifa ilikua inafanyika Ngurdoto wakati wa awamu ya nne. Ilipoingia serikali ya awamu ya tano biashara hiyo kutoka kwa serikali na mikutano ya kimataifa ilipungua.
Mwaka 2016 ulifanyika kikao cha wakuu wa nchi wa Jumuiya ambapo Hayati Magufuli akalalamika kuhusu gharama za mkutano huo.Unaweza fungus link hii kwa reference ya baadhi nilisema hapo juu.
Baada ya kukosa mikutano ya kiserikali na kimataifa ndio biashara ikaanza kudorora. Na kama wewe ni mjuzi wa mambo kafuatilie chimbuko la Ngurdoto kuanzishwa.Sasa tufast forward (tusogee mbele) hadi awamu ya sita.
Kaingia Raisi Samia na serikali imeanza tena kutumia hizi facilities binafsi kwa ajili ya mikutano mbalimbali. Hivyo kusema Ngurdoto ilidorora kwa sababu ya kukosa watalii na biashara imerudi kwa sababu ya watalii sio kweli. Kwani Tanzani haijawahi kupungukiwa na watalii ukiacha wakati wa COVID-19 2020/21. Mwaka 2017 Ngurdoto iliamuliwa na Mahakama iuze mali zake kuwalipa wafanyakazi 93 TSh milioni 129.
Mwaka huo huo Tanzania ilikua na watalii wa kigeni 1,327,000. Mwaka 2022 Tanzania ilikua na watalii wa kigeni 1,454,920. Utasemaje mwaka 2017 biashara ya Ngurdoto ilidorora kwa sababu ya watalii na kwa sasa imerudi kwa sababu ya watalii? Na hata The Citizen siku tatu zilipo pita imeandika makala yenye kichwa hiki cha habari.
Kiuhalisia Mrema alikua na wake kadhaa. Na kila mke ni kama alimpa himaya yake ya kumanage. Baada ya Mrema kufariki kulitokea mgogoro wa kifamilia kuhusu nani atarithi nini. Oct mwaka huu Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Arusha ilitengua wasimamizi wa mirathi kwenye kesi ilioisha 2017.
Akateuliwa mtoto wake Randle Mrema kuwa msimamizi wa mali.Kwa hiyo tangu 2017-Oct 23 kulikua na kesi ya mirathi hivyo hoteli isingeweza kuuzwa. Ila baada ya shauri hilo la Oct 23, Randle alieteuliwa kuwa msimamizi wa mali aliongea na vyombo vya habari na akasema atafanyia kazi kulipa madeni na kufufua biashara zilizo kufa. Hivyo sidhani kama kati ya Oct-Nov watakua wameiuza hiyo hoteli. Bado iko chini ya familia ya Mrema.
Hakuna nchi Inaendeshwa kishikaji! Sehemu kubwa ya Wabongo magumashi ni mengi! Hao unaowaita matajiri wengi ni matajiri uchwara tu!JPM alikuwa na ujasiri wa hali ya juu mpaka akawa mfano wa maamuzi magumu haswa kutoka kwenye media za nje.
Humo humo kwenye kuja na maamuzi magumu alizidisha kiburi ikawa ni kama vile anaonewa baadhi ya matajiri akiwa na unyonge wa maisha aliyoishi huko nyuma.
Samia ameingia na diplomasia ya msamaha na inaonekana anataka kuwa rais mpaka 2030 hivyo ametambua kuwa adui wa leo haraka sana anaweza kuwa rafiki wa kesho halafu keshokutwa akaja kuwa adui mbaya kuliko alivyokuwa juzi.
Amejua namna za kujishusha kisiasa na kutafutwa kuungwa mkono na wenye uwezo kwa maana ya matajiri.
Hao jamaa wanaonga wengine ni wajinga! Hata Tai Five Mwanza 2016 Mchaga alikopa na akashindwa kulipa mkopo ikanunuliwa na Mmiliki wa mabasi ya BATCO!Acha ujinga na ficha ujinga wako. Hicho kilikuwa kichaka cha kutakatisha hela. Wangekuwa wanajiendesha kibiashara wala wasingekwama. Kumbuka hata Moro kulikuwa na mfanyabiasha mchaga jambazi aliyekuwa anapora vitu vya watu na kufungua maduka kwa kuwapa wachaga wenzie na ilijulikana wachaga ni wafanya biashara maarufu sana hapo Moro ila alipofariki tu wachaga wote walishapoteq morogoro ni waha for now ambao walikuwa wanafanya biashara kwa haki. So Ngurudoto and the like ni magenge ya waharifu yamejengwa kwa hela za wizi na yanatumika kujustify wizi, ikija awamu nyingine watafungiwa tena tu kama hawajirekebisha
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,kwa maelezo yako,hotel ziliyumba kwa kukosa deals za serikali wakati wa Maghu!sasa hiyo ni pesa ya umma, Kodi, kama raisi anaona kufanyia mkutano kwenye kumbi za wizara ni nafuu kuliko hotel yako, ubaya upo wapi?
View attachment 2823412
Ngurdoto ilikua/ipo chini ya The Impala Group of Hotels (IGH) ambayo ilikua ina jumuisha Impala Hotel (Arusha), Impala Hotel (Moshi), Ngurdoto Mountain Lodge (Arusha), Naira Springs Hotel (Arusha), Impala Shuttle Services (Arusha) na The Classic Tours and Travels.
IGH ilikua inamilikia na marehemu Faustine Meleo Auye Mrema, mzaliwa wa Rombo, Kilimanjaro aliefariki July ya mwaka 2017. Hoteli yake ya kwanza ya Impala alifungia 1988.Biashara kubwa ya Ngurdoto ilikua mikutano ya kiserikali na Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Mikutano mingi ya kitaifa na kimataifa ilikua inafanyika Ngurdoto wakati wa awamu ya nne. Ilipoingia serikali ya awamu ya tano biashara hiyo kutoka kwa serikali na mikutano ya kimataifa ilipungua.
Mwaka 2016 ulifanyika kikao cha wakuu wa nchi wa Jumuiya ambapo Hayati Magufuli akalalamika kuhusu gharama za mkutano huo.Unaweza fungus link hii kwa reference ya baadhi nilisema hapo juu.
Baada ya kukosa mikutano ya kiserikali na kimataifa ndio biashara ikaanza kudorora. Na kama wewe ni mjuzi wa mambo kafuatilie chimbuko la Ngurdoto kuanzishwa.Sasa tufast forward (tusogee mbele) hadi awamu ya sita.
Kaingia Raisi Samia na serikali imeanza tena kutumia hizi facilities binafsi kwa ajili ya mikutano mbalimbali. Hivyo kusema Ngurdoto ilidorora kwa sababu ya kukosa watalii na biashara imerudi kwa sababu ya watalii sio kweli. Kwani Tanzani haijawahi kupungukiwa na watalii ukiacha wakati wa COVID-19 2020/21. Mwaka 2017 Ngurdoto iliamuliwa na Mahakama iuze mali zake kuwalipa wafanyakazi 93 TSh milioni 129.
Mwaka huo huo Tanzania ilikua na watalii wa kigeni 1,327,000. Mwaka 2022 Tanzania ilikua na watalii wa kigeni 1,454,920. Utasemaje mwaka 2017 biashara ya Ngurdoto ilidorora kwa sababu ya watalii na kwa sasa imerudi kwa sababu ya watalii? Na hata The Citizen siku tatu zilipo pita imeandika makala yenye kichwa hiki cha habari.
Kiuhalisia Mrema alikua na wake kadhaa. Na kila mke ni kama alimpa himaya yake ya kumanage. Baada ya Mrema kufariki kulitokea mgogoro wa kifamilia kuhusu nani atarithi nini. Oct mwaka huu Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Arusha ilitengua wasimamizi wa mirathi kwenye kesi ilioisha 2017.
Akateuliwa mtoto wake Randle Mrema kuwa msimamizi wa mali.Kwa hiyo tangu 2017-Oct 23 kulikua na kesi ya mirathi hivyo hoteli isingeweza kuuzwa. Ila baada ya shauri hilo la Oct 23, Randle alieteuliwa kuwa msimamizi wa mali aliongea na vyombo vya habari na akasema atafanyia kazi kulipa madeni na kufufua biashara zilizo kufa. Hivyo sidhani kama kati ya Oct-Nov watakua wameiuza hiyo hoteli. Bado iko chini ya familia ya Mrema.
Huwezi kumkwepa tajiri maishani mwako. Kuupata utajiri ni changamoto ya wengi na wanakuwa ni wachache kwa sababu ya vigezo vyenye kuwatofautisha.Hakuna nchi Inaendeshwa kishikaji! Sehemu kubwa ya Wabongo magumashi ni mengi! Hao unaowaita matajiri wengi ni matajiri uchwara tu!
Bakharesa 2015 alianza kujenga hotel yake Verde Zanzibar na baadae 2020 akaanza ujenzi wa bagamoyo Sugar!
Mbona hakufirisiwa?
Hao unaodai sijui wa Kaskazini ni uongo na ukabila ndo unawasumbua!
Kwa hiyo wewe unaamini Kabisa hiyo hotel sababu ya Kusimama operation ni Utawala wa Magufuli?Huwezi kumkwepa tajiri maishani mwako. Kuupata utajiri ni changamoto ya wengi na wanakuwa ni wachache kwa sababu ya vigezo vyenye kuwatofautisha.
Inawezekana kuwa matajiri wengi tulionao wana tabia za hovyo lakini busara sio kuwachukia ni kuangalia huo udhaifu walionao na namna ya kuufanya usiwe wa kudumu.
Hauwezi kuiondoa roho ya kutafuta utajiri kwa kuwakomoa matajiri wachache unaokuwa nao kwa wakati husika, sana sana utawatia umaskini wa kudumu masikini walio wengi na unaweza kuangamiza kabisa Taifa likaingia vitani na katika ufukara wa kudumu.
Ndo maana halisi ya mzunguko wa pesa lazima hotel zipate viongozi wa serikali ili kuwa na cash flow nzuri. Sasa zikifungiwa zinakuwa na kazi Gani zaidi ya wachache kuziiba tu kama walivyokuwa wakifanya akina makonda na sabaya waliokuwa wanajichotea tu. Makonda ni billione na ubillionare kaupata enzi za jpmHamjui tu watu walivyokua wanapigwa pesa kizembe, mikutano ya watumishi hata kutoka wilaya Moja tu wao wanaamua kwenda kufanyia kwenye mahoteli ya kifahari huku wakiandikiana posho za kufuru
Kwa akili hizi za kutowabana watu serikalini maendeleo hatutayaona mpaka kiama, pesa ni zetu wananchi ila zikifika serikalini hakuna wa kuhoji, tunawaacha watumie wanavyotaka
Si kweli, kwani hakukuwa na PCCB,TISS, TRA na wengineo?Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,kwa maelezo yako,hotel ziliyumba kwa kukosa deals za serikali wakati wa Maghu!sasa hiyo ni pesa ya umma, Kodi, kama raisi anaona kufanyia mkutano kwenye kumbi za wizara ni nafuu kuliko hotel yako, ubaya upo wapi?
Huwezi kulazimisha watu wakulipe richa ya kwamba unawapiga parefu.
Mrema alitia ajira kwa wengi sana sanaHizi akili za kimasikini. Unataka serikali ihodhi pesa zote sekta binafsi isiwe na pesa? Serikali inatakiwa iachie pesa zizunguke mtaani. Sasa under magufuli, kandarasi za ujenzi- tba na Suma jkt. Mikutano a semina za kiserikali- aicc/madrasa ya shule. Kwa sera hizo eventually pesa yote inakuwa imehodhiwa na serikali, na mtaani kutakuwa hakuna pesa. Pia wivu wa kike muachage. Unaona wivu Mrema kutajirika, bila kufikiria aliajiri watu wangapi kwenye biashara zake.