Magufuli na Trump lao moja? Je,yaliyomo yamo?

dalalitz

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2013
Posts
3,423
Reaction score
1,987
Wote ni marais ambao misimamo yao imekuwa haiaminiki kufanikiwa kwa baadhi ya raia wao lakini wakielekea kuwa na misimamo ileile na wakijitahidi kusimamia katika wanachokiamini kufikia katika wanayoamini ndio maisha Bora kwa wananchi wao siku za usoni

Rais wa Marekani,
Donald Trump na
Rais wa Tanzania,
John Magufuli.

Unadhani wanashabihiana kwa yapi?
Je, Huenda ni Marafiki?
Wanatofautiana kwa yapi pengine?
Je, Kila mmoja kati yao ataweza kufanikiwa kuifikisha Nchi yake kule anakowaaminisha raia wake na Dunia kwa ujumla?

Karibuni kwa mjadala wa Kistaarabu.

Ukitukana nakurushia Jini.

Nawasilisha.
 
Dah.... tuwekane Sawa kwanza..... Jini la kike au la kiume?[emoji13]
 
Wanafanana kwa kuwa "half crazies".

Pia wapenda "totos"

N.a. mwisho hakuna atakayefanikiwa kwani sera zao ni "bifu" kwa kwenda mbele!

Trump Ana mbabe wake (kiduku) mwingine tusubiri kidooogo.
 
Trump aliposema Shitholes nilitarajia huyu anaejifanya mbabe amjibu..haha ningemuona kidume..maana angeletewa drone pale..na hivi anaogopa ndege..angehamishia ikulu madale mazima..
 
Trump aliposema Shitholes nilitarajia huyu anaejifanya mbabe amjibu..haha ningemuona kidume..maana angeletewa drone pale..na hivi anaogopa ndege..angehamishia ikulu madale mazima..
[emoji23][emoji28][emoji23]
 
Akili za trump na magufuli ni sawa na mafuta na maji. Kamwe haviwez kufanana
 
Trump aliposema Shitholes nilitarajia huyu anaejifanya mbabe amjibu..haha ningemuona kidume..maana angeletewa drone pale..na hivi anaogopa ndege..angehamishia ikulu madale mazima..
Kwa nn anaogopa ndege ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…