Elections 2015 Magufuli: Nikifanikiwa kuwa rais nitakulinda kwelikweli Diallo

mpigie kura magufuli achana na tafasiri nyingine ambayo haina maslahi ya watu watanzania
 
hapa kazi tuu kama hujakuja kwa magufuli rudi nyumbani ccm kimbia aibu mapema sana
 
Ninachokishuhudia hapo mwanza, ni kwamba watu wamekuja kushuhudia hizo band!!
 
... too bad. Smelling highest level of cronyism, nepotism, and favoritism kama huyu jamaa akiingia ikulu
 

Unaongea as if Lowassa alikuwa anafanya mikutano yote live...huo muda wa kutosha Lowassa aliopewa ni upi?

Kuhusu Diallo, Magufuli ameahidi kumlinda dhidi ya nini, au dhidi ya nani? kivipi?
 

Diallo si wa kumfananisha na Bakhresa kwa kutoa ajira.
Unaijua mishahara ya watangazaji wake? Kwanini anakimbiwa daily?
 
butua tu baba
 
Star tv inafilisika mbona Magu hana msaada
 
Tayari mchakato umeanza .
 
Habari za Leo Mkuu? Nipo KITAI hapa, nageuka soon, niambie nikukute wapi tule ugali na dagaa wa nyasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…