Magufuli: Nilipanga kuchukua timu ya jeshi iwe ya Taifa

!
!
Mashujaa, Worriors, Mambo, Sijui JKT Ruvu Si Ni Za Jeshi Hizi?
Labda Kombe La Kupasua Mawe Kwa Vichwa
 
"If you do not know how to manage your game, you pay the price," Amunike said. "There were a lot of crazy things going on and we committed a lot of mistakes. Our positioning was wrong, our marking was wrong."
 
Na Mimi nimepanga washabiki tuende tukachezee timu ya Taifa maana sisi ndio wazalendo hasa tangu Uhuru bado tunashangilia Tuu[emoji1787]
 
Sasa si watakua wanapiga watu mibuti timu nzima ipewe red card
 
Kuanzia asubuhi jioni wao uwe mpira tu anayeshindwa apigwe rock up, hayo ni maneno aloyasema kipindi cha nyuma Ikulu, kutokana na matokeo mabovu ya stars ya kila wakati
Aisee
 
Nonsense. Huyo walishasema alikuwa na faili Mirembe, Dodoma. Ingekuwa hivyo akina Israel, US, UK wangefanya hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…