Mkikuyu- Akili timamu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,310
- 7,465
ushuru ninolipa mimi na wewe na unaibiwa na Uhuru,ruto na mamazao ni takriba 608bn kila mwakaKwani ushuru unaolipa wewe pekee yako unafika 1.5Trillion? [emoji23]
Sasa mbona hamji kuchukua ile 1.5Trillion zenu huku Kenya?ushuru ninolipa mimi na wewe na unaibiwa na Uhuru,ruto na mamazao ni takriba 608bn kila mwaka
Hizo chukueni ninyi mkanunulie mahindi ili muache kuomba chakula to Uarabuni, hatuzihitaji.Sasa mbona hamji kuchukua ile 1.5Trillion zenu huku Kenya?
hiyo 1.5 trillion ni kahaba mange kimambi anayoidai baada ya kulala na wazungu wa acacia wakokosa kumlipa, wazimu wake unamwonyesha JPM ndie aliye muibia πSasa mbona hamji kuchukua ile 1.5Trillion zenu huku Kenya?
The fun fact is they wont stop , no matter how tight the law is, there will always be a way, a style , and opportunity of stealing money. Thwy wont stopIf the old citizen misappropiated the public money let him face the law, as of now I think he's just a suspect, let's wait for the investigators to bring us clear truthful results,watu bado wanapiga tu hela, kweli binadamu ni kiumbe
The bad thing they dont care about magufuli either.. they will steal. And even forthe next president.. they will. People always find new ways to do what they do.The good is, JPM doesnt care if you're a don or not.
Kenya ukipatika na ufisadi unapandishwa cheo ama unapewa cheti rasmi cha kugombea nafasi ya kisiasa na tikiti ya Jubilee π
Hizo report zilihusu nini? Zilisema nini? Na zilishauri nini? Hapo kwanza!wewe ni mwanaume usio na hekima..unapotoshwa na maneno yasio na msingi ya kahaba mange kimambi? Waliotoa reporti yenyewe walikanusha kwamba hizo ni porojo tupu
ushuru ninolipa mimi na wewe na unaibiwa na Uhuru,ruto na mamazao ni takriba 608bn kila mwaka
Third of Kenyan budget lost to corruption: anti-graft chief[/]wewe mskuma uchwara unalipa kodi wapi,kenge wewe
Hiyo chapter ishafungwa. Well explainedUkabila na ukanda unawasumbua ninyi mapro cccm, mbn hamtaji iko wap 1.5 trillion, akili maiti bana
Kwani ushuru unaolipa wewe pekee yako unafika 1.5Trillion? [emoji23] Alafu nilidhani wazee mkiwa retire huwa wanawapa hela za bure kila mwezi? Ushuru wetu huo, lakini hatusemi kitu. [emoji38]
Sikuwa naongea kuhusu pension za wafanyikazi wa serikali au mashirika makubwa. Wazee wote Kenya, hata wale ambao walikuwa wezi wakiwa vijana huwa wanapata kitu kila mwezi.Siyo wenyu bana, si walikuwa wanajichangia kwenye mfuko tangu wanaanza kazi wakiwa vijana wa miaka 25 hivi mpaka miaka 55 au 60.
Sikuwa naongea kuhusu pension za wafanyikazi wa serikali au mashirika makubwa. Wazee wote Kenya, hata wale ambao walikuwa wezi wakiwa vijana huwa wanapata kitu kila mwezi.
Handshake to heaven. Hahaha! [emoji38]Ahaaa haaa haaa
Hiyo inaitwaje!?
Handshake to heaven. Hahaha! [emoji38]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] is he capable of doing what PCCB and the police are doing?I love this statement: He directed the police, the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB), the University as well as the Ministry to take quick action on the matter or he would follow it up himself.