Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Goodluck with that ape
Sawa babe. Geuka nyumawivu tu, kale viporo vya makande, acha JPM afanye kazi
Uwezo wenyewe wa kuelewa unao mzee
Ndio hapo sasa.Alafu mkiitwa ape na wazungu, mnalalamika.
Hiyo ishu ya umeme rufiji ilikuwepo tangu enzi za nyerere ni udhubutu kaonyesha tuu sii kwamba yeye ndo kabuni huo mradi labda nikuulize swali wewe mleta mada.
Ni kitu gani kipya ameleta au alichoahidi tangu aingie madarakani amekitekeleza tofauti na hivi amabvyo amevifanya ambavyo waliomtangulia walikuwa tayari viko kwenye mkakati
Hao waliomtangulia kwann hawakufanya uthubutu??!!Hiyo ishu ya umeme rufiji ilikuwepo tangu enzi za nyerere ni udhubutu kaonyesha tuu sii kwamba yeye ndo kabuni huo mradi labda nikuulize swali wewe mleta mada.
Ni kitu gani kipya ameleta au alichoahidi tangu aingie madarakani amekitekeleza tofauti na hivi amabvyo amevifanya ambavyo waliomtangulia walikuwa tayari viko kwenye mkakati