fangfangjt
JF-Expert Member
- Apr 25, 2008
- 571
- 139
SOURCE TBC1.
magufuli ameahidi (serikali) kutoa 40% ya gharama za daraja.
NSSF wamesema tayari wanayo 60% ya gharama nzima ya daraja.
Magufuli ametaka tenda itangazwe haraka iwezekanavyo
kweli magufuli bila madaraka ni galasa.
atupe mpangilio wa utekelezaji wa ahadi za mkuu wake. kati ya daraja la kigamboni na kugeuza kigoma kuwa dubai, kipi kinaanza, kipi kinafuata?
asije akashushuliwa tena