Mr Alola
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 473
- 675
Siku chache zimepita wakati tunaangalia taarifa ya habari kuna mzee mmoja wa CCM aliposikia Magufuli akitishia kubadili noti kwasababu watu wameficha pesa akaangua kicheko cha dharau.
Nikamuuliza "Kada mbona umemcheka mwenyekiti wa CCM taifa?
Akanijibu kuwa mwenyekiti amekosa washauri.
Nikamuuliza ingekuwa wewe unamshauri ungemshauri afanyaje ?
Akajibu angemshauri awape kazi MAJMMBAZ wakazitafute hata kwa mtutu.
Kila mtu alicheka na kumzomea kuwa yeye hamnazo.
Akaingilia kada mmoja wa ACT akadakia iwe hivyo TuKOSE WOTE.
Nilichogundua ni kwamba thinking ya CCM ni sawa na ya ACT na wote wamekata tamaa.
They all think KUWASHUSHA MALAIKA KUWA MASHETANI bila kujali watapata faida gani.
Hakika hatuwezi kufika kama mtizamo ndio huu
Nikamuuliza "Kada mbona umemcheka mwenyekiti wa CCM taifa?
Akanijibu kuwa mwenyekiti amekosa washauri.
Nikamuuliza ingekuwa wewe unamshauri ungemshauri afanyaje ?
Akajibu angemshauri awape kazi MAJMMBAZ wakazitafute hata kwa mtutu.
Kila mtu alicheka na kumzomea kuwa yeye hamnazo.
Akaingilia kada mmoja wa ACT akadakia iwe hivyo TuKOSE WOTE.
Nilichogundua ni kwamba thinking ya CCM ni sawa na ya ACT na wote wamekata tamaa.
They all think KUWASHUSHA MALAIKA KUWA MASHETANI bila kujali watapata faida gani.
Hakika hatuwezi kufika kama mtizamo ndio huu